Tamati
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,085
- 1,960
hahahahaaaHahahaha anatumikia kwanza 70k ya chumba,bado alichokula na ya kwake hapo kwanin nisimpakie congo dust View attachment 1189360
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaaaHahahaha anatumikia kwanza 70k ya chumba,bado alichokula na ya kwake hapo kwanin nisimpakie congo dust View attachment 1189360
Aliyepata nafasi ya kuscreen picha yake naomba anitumie PM. Nitampa Tshs 20000.
Ameukimbia uzi wake hukuAwe mzuri hivyo asingekimbia uzi wake huu...
Hata robo ya nusu hajamfikia, fanya kuzoom kucha za hawa ufananishe na zile za kwake...
Hahahaha, umeona eehWatu washamba sana humu
Ukikutana nae live, mood yote inakata utamtoa kitimoto halafu unamfukuza hana hadhi ya kuliwa na wajanja wa mjini...
Atawasomba washamba wa shinyanga na wadodoma...
Hahahahahaa mkuu usitukatishe tamaa basiUkikutana nae live, mood yote inakata utamtoa kitimoto halafu unamfukuza hana hadhi ya kuliwa na wajanja wa mjini...
Atawasomba washamba wa shinyanga na wadodoma...
Hiyo thread alimtumia mdau huyu unae mu-attack pm?Na nikijiachia sitaki kuona watu waliojivika kofia ya kurekebisha watu.. wakinipigia kelele! Na kama kumfundisha ungemPM kistaarabu... mwambie sipendi hiki na hiki,,,,sio kum bully mtoto wa watu huku mmejificha kwenye kofia ya maudhui ya mada zake ..,
Mkuu nifanyie uungwana na mm naomba sana hiyo picha PMIngia PM
Mkuu pm yangu iko on fanya mambo baharia!!location anapoenda kuliwa si ndio?? na si mara moja kuna nyuzi zake nyingi anajisifia anajiuza...
hawa ndio wanafanya wadada wadharaulike, hana soni ya umama kabisa...
HahahahahahaDada uzi muhimu upo chit-chat au dada na wewe mmoja wa mod aliyefuta post zangu
Kigori....!!Hahahahahaha
AbeeeeKigori....!!
Mkono wako mzuri sana eti kigori.Abeeee
Nini imehappen eti
Fanya kunifowardiaNimeipata picha ya demiss ila nisingekuwa na connection hapa mjini nisingeipata
Kumbuka kodi ya nyumba , mtungi was gas, mchele, unga, maharage, sukari n.k
Kwa ulichofanya unaona wewe ndio wazazi walipatia malezi yako? Mara ngapi wanaume mmekuwa mkipost humu ujinga mnaofanya? Lini ulimbuly mwanaume alofanya hivyo?Mkuu, huwa nakuheshimu sana ila twende kiuhalisia. Je ni sahihi kila unapoenda kulala na mwanamke ututaarifu humu ndani?
Naona umeandika we are bullying her, lakni kiuhalisia ni tabia yake mbovu ya ku post vitu vyake vya chumbani akiwa na mabwana ndio imepelekea haya yote.
Inaonekana alikosa malezi fulani kwenye familia yake au bado utoto unamsumbua? hata kama ni kutafuta umaarafu humu ndani si kwa kupost vitu negative kama hivyo anavyoenda kubanduliwa...
She is insane..