Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Ndo naingia mda huu foleni ilikuwa ndefu sana ATM hata sijui kinachoendelea!
 
Na nikijiachia sitaki kuona watu waliojivika kofia ya kurekebisha watu.. wakinipigia kelele! Na kama kumfundisha ungemPM kistaarabu... mwambie sipendi hiki na hiki,,,,sio kum bully mtoto wa watu huku mmejificha kwenye kofia ya maudhui ya mada zake ..,
Hiyo thread alimtumia mdau huyu unae mu-attack pm?
 
location anapoenda kuliwa si ndio?? na si mara moja kuna nyuzi zake nyingi anajisifia anajiuza...

hawa ndio wanafanya wadada wadharaulike, hana soni ya umama kabisa...
Mkuu pm yangu iko on fanya mambo baharia!!
 
Nimeipata picha ya demiss ila nisingekuwa na connection hapa mjini nisingeipata
 
Mkuu, huwa nakuheshimu sana ila twende kiuhalisia. Je ni sahihi kila unapoenda kulala na mwanamke ututaarifu humu ndani?

Naona umeandika we are bullying her, lakni kiuhalisia ni tabia yake mbovu ya ku post vitu vyake vya chumbani akiwa na mabwana ndio imepelekea haya yote.

Inaonekana alikosa malezi fulani kwenye familia yake au bado utoto unamsumbua? hata kama ni kutafuta umaarafu humu ndani si kwa kupost vitu negative kama hivyo anavyoenda kubanduliwa...

She is insane..
Kwa ulichofanya unaona wewe ndio wazazi walipatia malezi yako? Mara ngapi wanaume mmekuwa mkipost humu ujinga mnaofanya? Lini ulimbuly mwanaume alofanya hivyo?

Wewe una mambo yako binafsi na D, kama amekulia pesa yako basi kapambane nae alikokulia pesa yako na sio kuleta hasira zako binafsi kwa D.

Hiki unachofanya ni cyber bullying na nashangaa unajiona uko sahihi. Umepost picha zake,ukapigwa ban kama haitoshi bado umefungua id mpya kwaajili ya kumbully na kuendelea kusambaza picha zake. Sijui unatarajia kuachive nini.

GROW UP.
 
Back
Top Bottom