Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nipo pm fanya mamboIngia PM
Kuna siku nilimwambia kitu akasema oooh ndio maaan nimekunyima namba pm kumbe nilikuwa na mawazo tofauti kabisaAsante nimeipata mkuu! Kumbe ndo maana kakimbia Uzi wake baada ya kujulikana. Yaani huyu hakuna chochote ni demu wa kawaida sana
Mkuu embu njoo pm tafadhari na mimi nisipitweDone
Nimeku PM mkuu..
Yuko online kabisa anaperuz anawaza kuja na id nyingne tena hii ndio jf ukijifanya unaijua yenyewe itakujua ZaidLazima ataichukia jamii forum aise! Unajiona matawi ya juu kumbe mdangaji tu
[emoji16]Yuko online kabisa anaperuz anawaza kuja na id nyingne tena hii ndio jf ukijifanya unaijua yenyewe itakujua Zaid
Inaitwa ulipo nipo
Atapambana saaaana lakini hatashinda. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Shunie I will never surrenderNamuona namuonaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama huna nae mtoto,unamwandika yeye na mchepuko wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Namimi☺,ahsanteIngia PM
Mkuu, huwa nakuheshimu sana ila twende kiuhalisia. Je ni sahihi kila unapoenda kulala na mwanamke ututaarifu humu ndani?
Naona umeandika we are bullying her, lakni kiuhalisia ni tabia yake mbovu ya ku post vitu vyake vya chumbani akiwa na mabwana ndio imepelekea haya yote.
Inaonekana alikosa malezi fulani kwenye familia yake au bado utoto unamsumbua? hata kama ni kutafuta umaarafu humu ndani si kwa kupost vitu negative kama hivyo anavyoenda kubanduliwa...
She is insane..