Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Mangi mi najua mpo wote Dodoma
Picha zake sina

Nishakimbia huo mji.
Nipo dsm sasa.
Nishaipata,
Aisee kuna dadazi humu nashindwa kutana nao kwakua najua naweza kukutana nao baadae wakanilaumu bure......

Mtu anakuwa na nyodo kibao, unakuwa na mategemeo makubwa alafu unakuja kutana nae inabidi usikitike.....

Sasa km Ndo wengi mpo kama Demis kiukweli hali ni mbaya sana JF.
 

Nyodo kama zipi 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ afu mangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwe mnatuumba kichwaniii kabisaaa
 
Aisee...
 
Kwa komenti hii utawaamsha waliolala
By the way mi namuona yupo fresh tu na akinipa natindua
 
Ili ndio tatizo wengi humu wanatengeneza imagination ya mlivyo halafu wakijaona picha ni tofauti mapovu kama yote
Nyodo kama zipi [emoji2222][emoji2222][emoji2222] afu mangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwe mnatuumba kichwaniii kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…