Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mangi mi najua mpo wote Dodoma
Picha zake sina
Siwezi kutenda hivyo ninayo ya Demiss na Mangeleno ya leo ila sitampa mtu.
Nishakimbia huo mji.
Nipo dsm sasa.
Nishaipata,
Aisee kuna dadazi humu nashindwa kutana nao kwakua najua naweza kukutana nao baadae wakanilaumu bure......
Mtu anakuwa na nyodo kibao, unakuwa na mategemeo makubwa alafu unakuja kutana nae inabidi usikitike.....
Sasa km Ndo wengi mpo kama Demis kiukweli hali ni mbaya sana JF.
Dina..I really appreciate you.Nyodo kama zipi [emoji2222][emoji2222][emoji2222] afu mangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwe mnatuumba kichwaniii kabisaaa
Nimeifuta mkuuHuyu manengelo sijaipata....
Fanya fanya basi
I will do....Nyodo kama zipi 🤸♀️🤸♀️🤸♀️ afu mangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwe mnatuumba kichwaniii kabisaaa
Nguvu zinazotumika ksaka hizo picha,zingetumika shambani kila mtu angekuwa tajiri.
Aisee...Nishakimbia huo mji.
Nipo dsm sasa.
Nishaipata,
Aisee kuna dadazi humu nashindwa kutana nao kwakua najua naweza kukutana nao baadae wakanilaumu bure......
Mtu anakuwa na nyodo kibao, unakuwa na mategemeo makubwa alafu unakuja kutana nae inabidi usikitike.....
Sasa km Ndo wengi mpo kama Demis kiukweli hali ni mbaya sana JF.
Nishakimbia huo mji.
Nipo dsm sasa.
Nishaipata,
Aisee kuna dadazi humu nashindwa kutana nao kwakua najua naweza kukutana nao baadae wakanilaumu bure......
Mtu anakuwa na nyodo kibao, unakuwa na mategemeo makubwa alafu unakuja kutana nae inabidi usikitike.....
Sasa km Ndo wengi mpo kama Demis kiukweli hali ni mbaya sana JF.
Nyodo kama zipi [emoji2222][emoji2222][emoji2222] afu mangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwe mnatuumba kichwaniii kabisaaa
Wewe ushakuwa tajiri?
Kwa komenti hii utawaamsha waliolala
By the way mi namuona yupo fresh tu na akinipa natindua
Ili ndio tatizo wengi humu wanatengeneza imagination ya mlivyo halafu wakijaona picha ni tofauti mapovu kama yote
Safi sana hu ndo uanaume.....mchagua k si mto.bajiKwa komenti hii utawaamsha waliolala
By the way mi namuona yupo fresh tu na akinipa natindua
Wewe ushakuwa tajiri?
Wanahisi sisi humu ni kina Beyoncé hakuna sisi ni kama nyie tu [emoji1787]
Dina..I really appreciate you.
Huna kweli picha za demiss?
Mademu wakali wamo kibao zinazovujishwa sio zao halisi