Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Ukiambiwa uthibitishe hiki unachosema hapa utaweza??

Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,

Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu

sasa fanya kunipisha tu maana nitakuvuruga mpaka uone humu pachungu
Zingekua sizao wala wasingekimbia jukwaa najua wengine si zao ila kwa hili la juzi kati huwezi kutulisha tango pori
 
Ukiambiwa uthibitishe hiki unachosema hapa utaweza??

Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,

Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu

sasa fanya kunipisha tu maana nitakuvuruga mpaka uone humu pachungu
Unanifuraishaga 😂
 
Ukiambiwa uthibitishe hiki unachosema hapa utaweza??

Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,

Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu

sasa fanya kunipisha tu maana nitakuvuruga mpaka uone humu pachungu
Hili nalo ni tusi?
 
HAPAHAPA NA MIMI NACHUKUA FURSA!!!!! (KWENYE YATU BIASHARA HAICHACHI)Ni kuhusu biashara ya uzaji wa makufuli kwa kina dada rangi zipo za aina tofautitofauti size zote kulingana na oda yako pm iko wazi
 

Attachments

  • IMG-20190830-WA0012.jpg
    IMG-20190830-WA0012.jpg
    93 KB · Views: 34
Back
Top Bottom