Jeiefu
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 781
- 1,580
Ukiambiwa uthibitishe hiki unachosema hapa utaweza??
Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,
Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu
sasa fanya kunipisha tu maana nitakuvuruga mpaka uone humu pachungu
Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,
Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu
sasa fanya kunipisha tu maana nitakuvuruga mpaka uone humu pachungu
Zingekua sizao wala wasingekimbia jukwaa najua wengine si zao ila kwa hili la juzi kati huwezi kutulisha tango pori