Zingekua sizao wala wasingekimbia jukwaa najua wengine si zao ila kwa hili la juzi kati huwezi kutulisha tango pori
Unanifuraishaga 😂Ukiambiwa uthibitishe hiki unachosema hapa utaweza??
Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,
Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu
sasa fanya kunipisha tu maana nitakuvuruga mpaka uone humu pachungu
Hili nalo ni tusi?Ukiambiwa uthibitishe hiki unachosema hapa utaweza??
Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,
Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu
sasa fanya kunipisha tu maana nitakuvuruga mpaka uone humu pachungu
Amefukua vifungu vya kufanye reference ya matusi niliowahi kutukana [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Unanifuraishaga [emoji23]
Hili nalo ni tusi?
Unanifuraishaga [emoji23]
Okay najua malalamikiwa na alietoa taarifa ni mtu mmoja, nimekusoma Id mbili mtu mmoja.Ni taarifa tu nimekupa
Kateme mate wanichape basiOkay najua malalamikiwa na alietoa taarifa ni mtu mmoja, nimekusoma Id mbili mtu mmoja.
Ndo chakula cha bei rahisi mkuuUnaingia hotel bado unakula chips si bora ungeenda kigest bubu tu
Njoo tunywe woteKanywe panadol utapoa
Picha mkuuDone
Sasa mbona zikivujishwa wahusika wanapotea humu majukwaani?Mademu wakali wamo kibao zinazovujishwa sio zao halisi
Hahaha aise wananzengo bwanaMbona vyombo vya hiyo hotel ni kama vya kwa mama ntilie?
Oh ok....
Manake humu bana...huezi jua!
Waweza mpa mtu Like halafu mwenzio akadhani ndo mshakuwa couple [emoji1787]
Show hizi.Minaenda shambaniView attachment 1191416
Haya mabaharia, location iko wazi hiyo [emoji6]Asubuhi ya Leo NMB wamecheka hivyo naanzaje maisha kama hivi.
Jamani mm sitaki stress kuanzia Leo mm ni Team Kiduku Lilo
Atakayenionea wivu huyo mchawi maana hapendi mwanamke nijitume niwe na maendeleo.View attachment 1188840View attachment 1188842View attachment 1188843View attachment 1188844
Njoo tuendelee na huku Shunie baada ya kupata supu.Hiyo supu umeshaimaliza eenh
Vipi dada? salary ya September hukupokea?Asubuhi ya Leo NMB wamecheka hivyo naanzaje maisha kama hivi.
Jamani mm sitaki stress kuanzia Leo mm ni Team Kiduku Lilo
Atakayenionea wivu huyo mchawi maana hapendi mwanamke nijitume niwe na maendeleo.View attachment 1188840View attachment 1188842View attachment 1188843View attachment 1188844