Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Huh!!!

Mi mbebez wa nani tena?

Isije kuwa mtu kaniota kwenye ndoto zake huko halafu akanifanya niwe mbebez wake kichwani mwake!

Au isije kuwa nime-Like bandiko la mtu halafu huyo mtu akadhani mi ndo bebi wake.

Hebu fanya kunijulisha....leo nani anasema mi ni mbebez wake [ukiondoa Mother Confessor]?
Hahahahaha Saint Ngabu bora umekuja ulikuwa unauliziwa apa Mother Confessor ukuje
 
Mbona hata mm mlokole babe,.na pombe nimeacha
Asubutuuu niko nakunywa heineken zangu apa na zilivyo tamu naachaje mm, Mungu wangu anifanyie wepesi tu kwenye hili jamani niweze kuacha na kuokoka kabisa
20190421_170529.jpg
 
Back
Top Bottom