Hahahahaha Saint Ngabu bora umekuja ulikuwa unauliziwa apa Mother Confessor ukujeHuh!!!
Mi mbebez wa nani tena?
Isije kuwa mtu kaniota kwenye ndoto zake huko halafu akanifanya niwe mbebez wake kichwani mwake!
Au isije kuwa nime-Like bandiko la mtu halafu huyo mtu akadhani mi ndo bebi wake.
Hebu fanya kunijulisha....leo nani anasema mi ni mbebez wake [ukiondoa Mother Confessor]?
Eti Nyani Ngabu yuko wapiiπ??
Mishyuu pipii[emoji41][emoji41]
Hahahahaha Saint Ngabu bora umekuja ulikuwa unauliziwa apa Mother Confessor ukuje
Woiii nimecheka kwa nguvuu,.nlitaka kushangaa mimi nani huyo mwenye ubavu na wewe zaidi ya shushushuuπ ShunieIβm right here babes.
Youβre my one and only babeπ
Naona Shualina anataka kukutisha na hao wabebz wa kufikirika....
Kibaigwa love β€
Asubutuuu niko nakunywa heineken zangu apa na zilivyo tamu naachaje mm, Mungu wangu anifanyie wepesi tu kwenye hili jamani niweze kuacha na kuokoka kabisaMbona hata mm mlokole babe,.na pombe nimeacha
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Iβm right here babes.
Youβre my one and only babe[emoji6]
Naona Shualina anataka kukutisha na hao wabebz wa kufikirika....
Kibaigwa love [emoji3590]
Eeenh pipi tena ya kulamba au kumung'unya babeMishyuu pipii
Hahahha mimi nilijisemea tu NgabuWe Shualina wewe....
Nani tena anadai mi ni mbebez wake?
πππππ pambe tyuuuu em njoo hapa la chaaz kwanzaaa kwani shin'ngapi bhanaaaAsubutuuu niko nakunywa heineken zangu apa na zilivyo tamu naachaje mm, Mungu wangu anifanyie wepesi tu kwenye hili jamani niweze kuacha na kuokoka kabisa View attachment 1189169
Dina
Mashaallah,.AhsanteDemiss mrembo
Mkuu kuku wa kienyeji haoView attachment 1189168
Demiss mbona hii paja ndogo au ni yakifaranga alaf hotel gani hii huduma zake kama za kwa mama ntilie
Ebu kuwa serious basi niombe ruhusa kwa shem bebe wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambe tyuuuu em njoo hapa la chaaz kwanzaaa kwani shin'ngapi bhanaaa
Atarudi tu tumvumilie kidogo kwasasa anapiga sarakasi zoteAmeukimbia na uzi wake wakati si kawaida yake,mm mpaka nilikuwa namlalamikia Demiss kwa kuharibu nyuzi za watu lkn leo amekuwa kimyaaa
Mkuu kuku wa kienyeji hao