Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,075
- 1,466
Tafrani ipi?Bora kua single mama kuliko kurudi kwa ile tafrani hapana kwa kweli!!! Loohh!!
Mimi wanione wanvyoona wao!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafrani ipi?Bora kua single mama kuliko kurudi kwa ile tafrani hapana kwa kweli!!! Loohh!!
Mimi wanione wanvyoona wao!!!
Yaani hapa kama vile nakuona hapo lugombo unavyo hangaika kupakia mikungu ya ndiziNi gumu kama kunyela kakomu mto Kiwira pale magereza chuoni kwa chini?
Ha haa haa umejuajee maaanaYaani hapa kama vile nakuona hapo lugombo unavyo hangaika kupakia mikungu ya ndizi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nanyela tayari
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha haa haa umejuajee maaana
leo ni juma3 hapa kinyika full ndizi.
Juzi nilikuwa Katengele!
Usiwalangue wandali wenzako bana, au wewe mtu kati?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimekuona maana mi nilikuwa soko la hapa kinyika
Ndio nikanyela kuja lugombo kununua mahitaji
Kama ulikuwa katengele basi tulikuwa wote si unajua kule kunapatika mifugo kwa bei rahisi
Hapana mi sio mtu kati huwa nakuwa na biashara zangu za kuuza ndiziUsiwalangue wandali wenzako bana, au wewe mtu kati?
Niko chuoni hapa, karibu!Hapana mi sio mtu kati huwa nakuwa na biashara zangu za kuuza ndizi
Ila usijali hapa saizi nataka nihamie huku kwenye mananasi
Inawezekana maana ujue Mimi ni na ndugu huko wengi sana ukianzia hapo kk lugombo ikuti luswisiNiko chuoni hapa, karibu!
Usikute mimi ndugu yako iasee
Hahaahahahah katrina sasa hivi ana 60 na kitu kama hakudanganya na anapenda vijana kama weweSky Eclat yeye danga lake linampeleka india anakutana na vyoo vya ajabu ajabu aache kukesha akisimulia humu? labda cyo mimi!
Demiss ndo kabisaa yeye danga lake (asije nisikia) yeye usiku kucha ni ungo na usinga unazani atalala saa ngapi,
Mzigua90 yeye katulia na Lions Hills na Captain Morgan Bareedi kwenye kikapu na vile vimotomoto vinawaka kwenye kinywaji Ataacha kupiga soga?
AmKATRINA tafuta danga humu, wengi tupo singo... Wakwanza mimi na sisi tuwatambie na kuwatema mate ptuuuuuuu.....
Mama Sabrina mekumic
How? SPAMHapana sio ya matusi wala nini,ilikuwa picha flan ya Mbibi mzee kavaa kimasai halafu kala Miwani,Mods wakaona kama nafanya SPAM.
Raha jipe mwenyewe ukisubiri kupewa utadodaa mamaaBora kua single mama kuliko kurudi kwa ile tafrani hapana kwa kweli!!! Loohh!!
Mimi wanione wanvyoona wao!!!
Like serious?nilishafunga mjadala baada ya kugundua mleta uzi ana umri wa mamangu
ingia kwenye akaunti ya mleta uzi hutaaminiLike serious?
Ni nani etiHata wewe unamjua sana. Ukitaka nawe kumjua nitafute kwa wakati wako
Michepuko haina lolote la kufanya mbele ya penzi
Eishhh..Aiseee
Yote maisha lakiniEishhh..
Tafran ipi mama?Bora kua single mama kuliko kurudi kwa ile tafrani hapana kwa kweli!!! Loohh!!
Mimi wanione wanvyoona wao!!!