Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Nikupe Mwaliko??

Yetu sisi ya kibabe,

Mbuzi 3, pombe kama zotee,

Mziki mnene,

Afu inafanyikiaa porini (outdoor),

Kizungu yaniiiii

Ila lzm uwe couple,
Mana itakuwa madhambi tupu
Hiyo ya mitego. Mambo ya couples tena. Bebeni Na singles tuje.
 
Sasa ndo unafki nisiopenda Mimi. Kwani anatuogopa nini wakati kumpiga hatuwezi hata

Hahahaa!!

Watu hawanaga ujasiri wa kutumia IDs za zilizozoeleka. Wanaogopa.

Ana kwa ana ndo watajinyea kabisa.

Kaazi kweli kweli yaani!!
 

Unaonekana umeamua tu kuwachokoza hawa.

Lakini nawe si umekuwa ukikesha kubaini hayo uyasemayo?

Hao ulowataaja ni baadhi ya wengi hata wewe, wanaoifanya hii JF isimame.

Si waona hata mawazo yao na michango yao ilivyotulia?
 
Hahahaa!!

Watu hawanaga ujasiri wa kutumia IDs za zilizozoeleka. Wanaogopa.

Ana kwa ana ndo watajinyea kabisa.

Kaazi kweli kweli yaani!!
Akija Na ID yake majina yote mazuri anakuita akitumia ID ingine utajuta kuifahamu hiyo ID Kwa maneno unayopewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…