Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

Mungu awape nguvu mdumu milele mkuu. Uwazi, upendo,uwajibikaji, na kushughulikiana ziwe tunu za maisha yenu.

Huku mkiwa huru ninyi kwa ninyi bila kufichana kitu.
 
Mungu awape nguvu mdumu milele mkuu. Uwazi, upendo,uwajibikaji, na kushughulikiana ziwe tunu za maisha yenu.

Huku mkiwa huru ninyi kwa ninyi bila kufichana kitu.
Aaamen [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Mlisema haolewi mbona kaolewa alililiiiiii
 
Daah je ikitokea iyo couple itakapovunjika ...nadhani utawaomba mods wafute thread zAko zote zinszokuhusu ww na demis



Ni maon tuu na mtazamo
 
Nendeni mkaongezeke muijaze dunia. Tena umechelewa wahi nawe UTIMIZE UNABII HUO.

Dogo karibu ktk chama la WAKUBWA uwanja mpana sana huu kuna milima na mabonde yataka uvumilivu wa helms na akili sanasana.
 
Nendeni mkaongezeke muijaze dunia. Tena umechelewa wahi nawe UTIMIZE UNABII HUO.

Dogo karibu ktk chama la WAKUBWA uwanja mpana sana huu kuna milima na mabonde yataka uvumilivu wa helms na akili sanasana.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Maisha yake yaliishia machinjioni vingunguti,pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…