Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Heheheeh acha tu nna raha balaaHahaaa hii baridi ndiyo inafanya ufyatuliwe mkuu?
Aysee naona mambo ni moto moto.baba watoto shughuli anaimudu sawa sawa Cyo kwa raha hizoHeheheeh acha tu nna raha balaa
Yaan safari hiii nimepatikanaAysee naona mambo ni moto moto.baba watoto shughuli anaimudu sawa sawa Cyo kwa raha hizo
Anataka kukomoa alikotoka? Inaonekana Cyo mchezo hadi avatar umebadiliYaan safari hiii nimepatikana
Mungu awape nguvu mdumu milele mkuu. Uwazi, upendo,uwajibikaji, na kushughulikiana ziwe tunu za maisha yenu.Am so sorry to write this... Na si kawaida yangu kuandika hiki ninachoandika.. But like anybody else... Nina hisia kama wengine.. Nina matamanio kama wengine..... Nina upweke kama wengine.... Nilikuwa na mpenzi hapa na sikuruka ruka kama wengine leo hapa kesho pale .. Msipeleke mawazo yenu kwa Asprin mzee wa kukagua 😳 😳 😳
Baadae my heart bit (she knows how much I loved n respected her) akaenda mbali nami.. It was something unpreventable..... Nikawasiliane naye.. Because she cares akanipa kibali... Na kibali hicho akatunukiwa chamdeko .. The rest is very known to everybody... Demiss chamdeko sio malaika kumchafua haitopunguza Makhabati yangu kwake.... NAMPENDA... SANA... HALAFU SANA..!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante sana... Mtuombee
Nendeni mkaongezeke muijaze dunia. Tena umechelewa wahi nawe UTIMIZE UNABII HUO.Am so sorry to write this... Na si kawaida yangu kuandika hiki ninachoandika.. But like anybody else... Nina hisia kama wengine.. Nina matamanio kama wengine..... Nina upweke kama wengine.... Nilikuwa na mpenzi hapa na sikuruka ruka kama wengine leo hapa kesho pale .. Msipeleke mawazo yenu kwa Asprin mzee wa kukagua 😳 😳 😳
Baadae my heart bit (she knows how much I loved n respected her) akaenda mbali nami.. It was something unpreventable..... Nikawasiliane naye.. Because she cares akanipa kibali... Na kibali hicho akatunukiwa chamdeko .. The rest is very known to everybody... Demiss chamdeko sio malaika kumchafua haitopunguza Makhabati yangu kwake.... NAMPENDA... SANA... HALAFU SANA..!!!
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Nendeni mkaongezeke muijaze dunia. Tena umechelewa wahi nawe UTIMIZE UNABII HUO.
Dogo karibu ktk chama la WAKUBWA uwanja mpana sana huu kuna milima na mabonde yataka uvumilivu wa helms na akili sanasana.
Maisha yake yaliishia machinjioni vingunguti,pole mkuuHumu jf kuna demu mmoja nilikuwa nafukuzia, mtoto nilisha mweka kwenye himaya ya mikono yangu, Kumbe yule demu alikuwa alisha jiunga na jukwaa la wakubwa ila alikuwa anapita kimya kimya, siku moja akaja akanidaka na post kule JLW ndiyo alipo gundua mim ni mtu wa namna gani na id akaja kubadilisha, hakuwa anataka kabisa kuniona sijui alikuja kufia wapi yule mbuzi
Heri ipo mbali sana,Dar hadi SumbawangaSubira yavuta heri