Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umefanyajr hadi wewe sio malaika?Mme wangu jaman umenifanyaa nilie kwa haya maneno yako [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Nakupenda na hakuna kitakachotutenganisha nakupenda Jr
@jambazi acha mafumboHumu jf kuna demu mmoja nilikuwa nafukuzia, mtoto nilisha mweka kwenye himaya ya mikono yangu, Kumbe yule demu alikuwa alisha jiunga na jukwaa la wakubwa ila alikuwa anapita kimya kimya, siku moja akaja akanidaka na post kule JLW ndiyo alipo gundua mim ni mtu wa namna gani na id akaja kubadilisha, hakuwa anataka kabisa kuniona sijui alikuja kufia wapi yule mbuzi
Hongera sana kwa uzuri brotherAm very handsome thank you
Na amepata kweliDemiss huyu huyu mtoto wa Dodoma??
Umepata toto la haja mkuu[emoji122] [emoji122]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee Wa manyanga subiri nguvu ya manyanga iishe mtoto asepe.
Wala sijabisha, uko sahihi kabisa bro hongera tuu hivyohivyoBeauty has so many interpretations
Wala sijabisha, uko sahihi kabisa bro hongera tuu hivyohivyo
Mashikolo magenivisokolokwinyo at its level!lol
Nipo na wewe mme wanguAsante sana... Mtuombee
Punguza UtunduHumu jf kuna demu mmoja nilikuwa nafukuzia, mtoto nilisha mweka kwenye himaya ya mikono yangu, Kumbe yule demu alikuwa alisha jiunga na jukwaa la wakubwa ila alikuwa anapita kimya kimya, siku moja akaja akanidaka na post kule JLW ndiyo alipo gundua mim ni mtu wa namna gani na id akaja kubadilisha, hakuwa anataka kabisa kuniona sijui alikuja kufia wapi yule mbuzi