Democracy index 2021: Kenya lags behind Tanzania

Democracy index 2021: Kenya lags behind Tanzania

Khee! wajue sasa baba wa democracy ukanda huu ni Tz
Tanzania imekua ni kinara wa demokrasia tangu hizi nchi zipate Uhuru wake, alipoingia Magufuli, kidogo tukashuka, Kenya wakapiga sana kelele kwa kutuzidi mwaka mmoja, sasa hivi tumerudi katika nafasi yetu.

Kenya wamebaki na GDP tu kwasasa, tumewazidi kila eneo kwa sasa hivi.
 
Mimi siwezi kukubaliana na hii ripoti, tatizo watanzania hamjui English, na wewe mleta hii mada sio mkenya, wewe ni bongolala unayejifanya ni mkenya.

Kenya kuna katiba bora kuliko zote duniani, Kenya tuna Uhuru wa kujieleza, vyombo vyetu vya habari vipo huru kueleza lolote, iweje nchi inayoongozwa na Magufuli wametuzidi?
Tony254
@komora
Sinister
Hehehehee, makenya yameumia kweli kweli [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_1601928919970.jpg
tapatalk_1594760257749.jpg
 
huwa tunawaambia hapa kuna tofauti kubwa sana kati ya,

kukosa nidhamu na kukosoa kingozi.

naibu rais anaanza kampeni kabla ya wakati,unaita ni democrasia!!!!!
 
Kwa hiyo hiyo ranking ya kidunia inayosema Tanzania 93, Kenya 95 na Uganda 99, unaipinga?

Habari kuhusu afya ya rais wenu mnatoa Kenya. Watanzania wanao ujasiri wa kusema kwamba Makufuli amekufa wako nje ya nchi.

Anaye sauti kubwa kwa hili suala alimiminiwa risasi na rais.

The fact that your dictator president has wiped out free press, means the white men who write these reports know very little about your country.

How many Tanzanians are in exile, vs how many Kenyans are in exile?
 
Habari kuhusu afya ya rais wenu mnatoa Kenya. Watanzania wanao ujasiri wa kusema kwamba Makufuli amekufa wako nje ya nchi.

Anaye sauti kubwa kwa hili suala alimiminiwa risasi na rais.

The fact that your dictator president has wiped out free press, means the white men who write these reports know very little about your country.

How many Tanzanians are in exile, vs how many Kenyans are in exile?
Unasahau sonko yupo ndani baada ya kumsema vibaya Rais, unakumbuka pia mashahidi kwenye kesi ya uhuru na ruto iliyokuwa icc waliuawa kabla ya kutoa huo ushahidi. Unajua polisi waliuwa watu wengi tu kisa hawakuwa ndani wakati covid inaingia.
 
Habari kuhusu afya ya rais wenu mnatoa Kenya. Watanzania wanao ujasiri wa kusema kwamba Makufuli amekufa wako nje ya nchi.

Anaye sauti kubwa kwa hili suala alimiminiwa risasi na rais.

The fact that your dictator president has wiped out free press, means the white men who write these reports know very little about your country.

How many Tanzanians are in exile, vs how many Kenyans are in exile?
Hahahaha, Jacob Jumwa, Msando, Makaburi, Aboud Rogo, and hundreds of youths from coast who are killed in the hands of your rude security apparatus and those who are killed during election periods just for expressing their constitution right, where do you put them. Kenya is a shithole country.
 
Mkuu, sijawahi sema kama taifa langu tumefika, lakini hapo Tz kututangulia sikubaliani na hii ripoti. Juzi tu nyingine katolewa na taasisi ya FREEDOM HOUSE.
Ukipata muda pitia uchambuzi wao baina ya nchi ZETU hizi mbili utaona Kenya inaongoza. Kenya: Freedom in the World 2021 Country Report | Freedom House
Hii nayo apa ni ripoti ya tz
Kama hutaki kunya boga, upuuzi wote mnaofanyiwa na GoK bado unahisi mko vzr democratically[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu, sijawahi sema kama taifa langu tumefika, lakini hapo Tz kututangulia sikubaliani na hii ripoti. Juzi tu nyingine katolewa na taasisi ya FREEDOM HOUSE.
Ukipata muda pitia uchambuzi wao baina ya nchi ZETU hizi mbili utaona Kenya inaongoza. Kenya: Freedom in the World 2021 Country Report | Freedom House
Hii nayo apa ni ripoti ya tz
Economist democracy index is much more reputable and trustworthy in comparison to freedom house.
 
Mkuu, sijawahi sema kama taifa langu tumefika, lakini hapo Tz kututangulia sikubaliani na hii ripoti. Juzi tu nyingine katolewa na taasisi ya FREEDOM HOUSE.
Ukipata muda pitia uchambuzi wao baina ya nchi ZETU hizi mbili utaona Kenya inaongoza. Kenya: Freedom in the World 2021 Country Report | Freedom House
Hii nayo apa ni ripoti ya tz
Hata Mimi sikubali kabisa Kenya kuizidi Tanzania katika demokrasia, serikali ya Kenya inaongoza kwa maujai ya kinyama dhidi ya RAIA wake hapa Africa
 
Hahahaha, Jacob Jumwa, Msando, Makaburi, Aboud Rogo, and hundreds of youths from coast who are killed in the hands of your rude security apparatus and those who are killed during election periods just for expressing their constitution right, where do you put them. Kenya is a shithole country.

From all those you have mentioned, only Msando's murder is even suspected to be political.

Jacob Jumwa - Not even a politician. Just a crooked and corrupt businessman eyeing government contracts with lots of enemies.
Makaburi and Rogo - Radical Muslims recruiting Mombasa youth into Al shabaab.

Those have nothing to do with democracy.

Trying to murder your main opponent, is attack on democracy.
Silencing the media is attack on democracy.

All Shithole Tanzania, LDC bongolala can do is sit down and hope to be like Kenya.
Mna bahati sana Supremo wenu mwendawazimu amemuaga. Otherwise mlikuwa mnaelekea pabaya.
 
Unasahau sonko yupo ndani baada ya kumsema vibaya Rais, unakumbuka pia mashahidi kwenye kesi ya uhuru na ruto iliyokuwa icc waliuawa kabla ya kutoa huo ushahidi. Unajua polisi waliuwa watu wengi tu kisa hawakuwa ndani wakati covid inaingia.

Sonko hayuko ndani kwa kumsema vibaya Rais.

Ni kweli kwamba Sonko yuko ndani baada ya kumsema vibaya rais, lakini hio sio sababu.

Sonko ni mwizi na jangili kutoka kitambo ambaye ako na kesi karibu mia moja kortini.

Kisha ukileta hio ya polisi kuuwa watu juu ya Covid, sidhani kingereza chako kimefika point ya kuelewa maana ya democracy.

Hii ni democracy index. Inapima uwazi wa uchaguzi na enviroment ambayo uchaguzi na siasa zinachapwa.
Tanzania iko dictatorship chini ya Magufuli.
 
From all those you have mentioned, only Msando's murder is even suspected to be political.

Jacob Jumwa - Not even a politician. Just a crooked and corrupt businessman eyeing government contracts with lots of enemies.
Makaburi and Rogo - Radical Muslims recruiting Mombasa youth into Al shabaab.

Those have nothing to do with democracy.

Trying to murder your main opponent, is attack on democracy.
Silencing the media is attack on democracy.

All Shithole Tanzania, LDC bongolala can do is sit down and hope to be like Kenya.
Mna bahati sana Supremo wenu mwendawazimu amemuaga. Otherwise mlikuwa mnaelekea pabaya.
Kenya inaongoza Africa nzima kwa police brutality, political assassinations, crime, political instability, killing of political demonstrators, how can a stupid country like Kenya be ahead of Tanzania, this ranking demonstrates the reality.
 
Sonko hayuko ndani kwa kumsema vibaya Rais.

Ni kweli kwamba Sonko yuko ndani baada ya kumsema vibaya rais, lakini hio sio sababu.

Sonko ni mwizi na jangili kutoka kitambo ambaye ako na kesi karibu mia moja kortini.

Kisha ukileta hio ya polisi kuuwa watu juu ya Covid, sidhani kingereza chako kimefika point ya kuelewa maana ya democracy.

Hii ni democracy index. Inapima uwazi wa uchaguzi na enviroment ambayo uchaguzi na siasa zinachapwa.
Tanzania iko dictatorship chini ya Magufuli.
Punguza ujinga wenu wa kupinga kila kitu, ukweli ni kwamba Tanzania ipo namba 93 na Kenya 95, Tanzania is ahead of Kenya in democracy, sasa mumebaki na GDP pekee, kila kitu tunawazidi.
 
Sonko hayuko ndani kwa kumsema vibaya Rais.

Ni kweli kwamba Sonko yuko ndani baada ya kumsema vibaya rais, lakini hio sio sababu.

Sonko ni mwizi na jangili kutoka kitambo ambaye ako na kesi karibu mia moja kortini.

Kisha ukileta hio ya polisi kuuwa watu juu ya Covid, sidhani kingereza chako kimefika point ya kuelewa maana ya democracy.

Hii ni democracy index. Inapima uwazi wa uchaguzi na enviroment ambayo uchaguzi na siasa zinachapwa.
Tanzania iko dictatorship chini ya Magufuli.
We jamaa nashindwa hata nianzie wapi kwa hivi vioja ulivyoandika, kwako watu kuuawa na polisi kwa kushindwa kukaa ndani si kipimo kinachoonyesha hamna democracy basi niambie kwa kizungu cha malkia maana ya demokrasia ambayo inahalisha kuua watu au inasema kuua watu bila sababu ya msingi si kipimo cha demokrasia?

Saying Tanzania is under dictatorship doesnot in any manner dispute the fact that Kenya is in far worse condition with regard to upholding democratic values.

We all know sonko charges are bogus and yes he is a thug but why was he charged afer slandering remarks against uhuru?
 
Mimi siwezi kukubaliana na hii ripoti, tatizo watanzania hamjui English, na wewe mleta hii mada sio mkenya, wewe ni bongolala unayejifanya ni mkenya.

Kenya kuna katiba bora kuliko zote duniani, Kenya tuna Uhuru wa kujieleza, vyombo vyetu vya habari vipo huru kueleza lolote, iweje nchi inayoongozwa na Magufuli wametuzidi?
Tony254
@komora
Sinister
The star[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom