Democracy index 2021: Kenya lags behind Tanzania

Democracy index 2021: Kenya lags behind Tanzania

Umesikia kuna kazi imesimama
Sababu eti JPM haja onekana? Uongozi bora ni pamoja na kugawa kazi hadi rais asipo bado mambo ni shwari..
Nakumbuka 2019 mkitafuta kenyatta alipokuwa amejifungia mwezi moja
Eti kugawa kazi ipi hiyo? [emoji1] IGP yeye, waziri wa afya yeye, kupima COVID yeye, barakoa zenye 'sumu' yeye. Alafu mwishowe badala ya kujifukiza anakimbilia ventilator. [emoji4]
 
Eti kugawa kazi ipi hiyo? [emoji1] IGP yeye, waziri wa afya yeye, kupima COVID yeye, barakoa zenye 'sumu' yeye. Alafu mwishowe badala ya kujifukiza anakimbilia ventilator. [emoji4]
JPM anaelewa kazi zote za kiserikali, miaka 25 amefanya kazi serikalini 10 akiwa kwa baraza la mawaziri.
Usi sahahu yeye ni Dokta na amesomea hadi ulaya.
Ukiwa mfanyikazi wa serikali, usahau kuleta ukajanja kwa JPM, atakuumbua.. Lakini bado kazi anagwa yote kimantiki
 
JPM anaelewa kazi zote za kiserikali, miaka 25 amefanya kazi serikalini 10 akiwa kwa baraza la mawaziri.
Usi sahahu yeye ni Dokta na amesomea hadi ulaya.
Ukiwa mfanyikazi wa serikali, usahau kuleta ukajanja kwa JPM, atakuumbua.. Lakini bado kazi anagwa yote kimantiki
Haya sawa basi jombaa. Atukuzwe sana JPM! Amen.
 
Back
Top Bottom