Democracy is an illusion of the Illuminati to be able to advance their agenda and ultimately enslave humanity.

Democracy is an illusion of the Illuminati to be able to advance their agenda and ultimately enslave humanity.

I know all governments are evil,but some are more evil than others.The American government is especially too evil.Unazungumziaje serikali ya Marekani ambayo wazi wazi kabisa inapora resources za nchi zingine kule DRC Congo,all over the Sahel,Libya,Syria,Iraq,South America;is killing people in those countries by creating conflicts one after another ili iweze ku-justify uwepo wake iendelee kuiba;is spreading diseases all over the world like Ebola,HIV-Aids,Herpatis A-D,Zika etc.;is feeding people poisons in the form of foods,tena vyakula vya misaada &GMOs;is bullying other countries,is imposing hegemony and tyranny over other countries;has fought more unjust wars than any other and has killed more people in those wars than any other country in human history;nchi ambayo imeruhusu watu wake wawe abducted by Aliens(demonic entities) na miili yao iwe mutilated in the course of experimentation for technology exchange ?Unazungumziaje nchi ambayo imefanya mauaji ya kinyama kabisa ya wanadamu kwa bomu la atomic kule Hiroshima na hii vita ya kinyama kuwahi kushuhudiwa katika historia ya wanadamu kule Yemen?

Kumbuka kwamba hawa hawa ndio wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya duniani.Umeshawahi kujiuliza kwa nini hawataki kutoka Afghanistan na kilimo cha popy kinazidi kushamiri Afghanistan ingawa wapo?Uliwashawahi kujiuliza kwa mini Bush Senior na Junior walikuwa Marais wa Marekani na wana Oil Offshore Rigs kule Texas?Hawa ndio wanaoifanikishia serikali ya Marekani kuingiza madawa ya kulevya Marekani kwa kuitumia Oil Rigs na fast boats zao!So wakapewa zawadi ya kuitawala Marekani.

Hivi haikushangazi hata kidogo kwamba watu hawa hawa waovu kiasi hicho,ndio wanaokuletea the so called democracy,eti ujitawale vizuri,wana wema gani,hustuki tu aa.How stupid and foolish are you.Jamani amkeni,mmelala mno.

Conspiracy Theorist wewe!

Una proof US government imeleta magonjwa duniani?

Yaani US ilete magonjwa duniani wakati na wao wao wanaishi dunia hiyo hiyo?

Nataka proof beyond reasonable doubt,mengine ni blah blah tupu!

Kuvamia nchi zingine kila nchi zinafanya,US kuvamia kuwashinda imekua nongwa!??

Na wewe kujua government fulani ni evil zaidi ya zingine unatumia kipimo gani?

Utasikia natumia ubongo na macho yangu kupima,hivyo si vipimo ni tetesi na opinion tu!

Mengine yote ni conspiracies tupu!
 
Conspiracy Theorist wewe!

Una proof US government imeleta magonjwa duniani?

Yaani US ilete magonjwa duniani wakati na wao wao wanaishi dunia hiyo hiyo?

Nataka proof beyond reasonable doubt,mengine ni blah blah tupu!

Kuvamia nchi zingine kila nchi zinafanya,US kuvamia kuwashinda imekua nongwa!??

Na wewe kujua government fulani ni evil zaidi ya zingine unatumia kipimo gani?

Utasikia natumia ubongo na macho yangu kupima,hivyo si vipimo ni tetesi na opinion tu!

Mengine yote ni conspiracies tupu!
Conspiracy theories?Kuiba mafuta ya Syria na Iraq ni conspiracy,bomb la Hiroshima ni conpiracy,vita ya Yemen,kuisambaratisha South America ni Conspiracy,kuiba resources in the Sahel including the DRC-Congo ni conspiracy, kufumbia macho mauaji ya Khashoggi in exchange for money ni conspiracy,acha ujinga wewe.

Kwanza hao hao washenzi ndio waliofundisha watu kuita siri zao zinazowekwa wazi conspiracies,ili watu wadharau na wasiamini.Narudia tens kama Wamarekani wangekuwa wanaamini in Democracy wasingekua na ushirika wowote na Saudi Arabia wala Bahrain because these are the most extreme dictatorships in the World.

Kwa mara nyingine tena nasema wake up fella.You are like a sheep being sent to a slaughter parlour.
 
Conspiracy theories.Kuiba mafuta Syria na Iraq ni conspiracy,bomb la Hiroshima ni conpiracy,vita ya Yemen,kuisambaratisha South America ni Conspiracy,kuina resources in the Sahel ni conspiracy nk.nk.ni conspiracy ,kufumbia macho mauaji ya Khashoggi for money ni conspiracy,acha ujinga wewe.

Kwanza hao hao washenzi ndio waliofundisha watu kuita siri zao zinazowekwa wazi conspiracies,ili watu wadharau na wasiamini.

Kwa mara nyingine tena nasema wake up fella.You are like a sheep being sent to a slaughter parlour.

Mkuu

Unajua kwanini kuvamia nchi na kuua watu na kupora mali ni “halali”?

Unajua hilo?

Duh,Kashoggi?Kauliwa na serikali yake mwenyewe ya Saudia!Marekani inahusika vipi?

Upo hapa unakomaa na mabaya ya USA as if serikali yako ya Tanzania ni malaika?

Hakuna serikali malaika hapa duniani!

You motherfvckers are catching feelings pale USA anapowashinda zaidi yenu katika huo “ubaya” mnaodai!

Conspiracy theories ni hayo mauongo unayotoa kuhusu eti kujenga magonjwa na kusambaza duniani wakati na wao wao wapo dunia hii hii!
 
Mkuu

Unajua kwanini kuvamia nchi na kuua watu na kupora mali ni “halali”?

Unajua hilo?

Duh,Kashoggi?Kauliwa na serikali yake mwenyewe ya Saudia!Marekani inahusika vipi?

Upo hapa unakomaa na mabaya ya USA as if serikali yako ya Tanzania ni malaika?

Hakuna serikali malaika hapa duniani!

You motherfvckers are catching feelings pale USA anapowashinda zaidi yenu katika huo “ubaya” mnaodai!

Conspiracy theories ni hayo mauongo unayotoa kuhusu eti kujenga magonjwa na kusambaza duniani wakati na wao wao wapo dunia hii hii!
Hii ni "Biological Engineering," it is science which can be used for evil or for good purposes.Sasa kwa kuwa the American Government is evil,it is not using Biological Engineering for human advancement,but rather for human extermination.

Infact agents produced by Biological Engineering are used for Biological Warfare.Let me tell you this Ebola,HIV-Virus,Zeka,Herpatis A-D are only some of the Biological warfare agents being used by America and its' *allies* against humanity. America and its' *allies*are at war with us.Kama hulijui hili bad luck indeed.
 
Mkuu

Unajua kwanini kuvamia nchi na kuua watu na kupora mali ni “halali”?

Unajua hilo?

Duh,Kashoggi?Kauliwa na serikali yake mwenyewe ya Saudia!Marekani inahusika vipi?

Upo hapa unakomaa na mabaya ya USA as if serikali yako ya Tanzania ni malaika?

Hakuna serikali malaika hapa duniani!

You motherfvckers are catching feelings pale USA anapowashinda zaidi yenu katika huo “ubaya” mnaodai!

Conspiracy theories ni hayo mauongo unayotoa kuhusu eti kujenga magonjwa na kusambaza duniani wakati na wao wao wapo dunia hii hii!
Nilichosema ni kwamba Marekani wamefumbia macho kifo cha Kashoggi for economic gain,sijasema Marekani ndio waliomuua.Na
nika- indicate pia kwamba kama serikali inafumbia macho a gruesome murder as that of Khashoggi,how can it identity itself with good. Is that not hipocrisy of the highest order and double standards?Mimi nadhani you are making sense out of what I am saying,ila mnajitoa ufahamu for the sake of defending your payroll master.
 
Nilichosema ni kwamba Marekani wamefumbia macho kifo cha Kashoggi to economic gain,sijasema Marekani ndio waliomuua.Na
nika- indicate pia kwamba kama serikali inafumbia macho a gruesome killing as that of Khashoggi,how can it identity itself with something thought is being good. Is that not hipocrisy of the highest order and double standards?
Duuu naona pengine mtoa mada unakuwa huelewi concept,,umeambiwa demokrasia ni ndani ya nchi,, yaani wananchi wana sauti ya kumchagua kiongozi wanayemtaka kutoka chama chochote cha siasa,,au mgombea huru,,,,,Na pia haki za binadamu kutamalaki, na UHURU wahakama,,,,,,Sasa hayo masuala ya nchi ya demokrasia kuwa na rafiki dikteta hayaondoi wao kuwa na demokrasia,,,Ni jukumu la wananchio wa Saudi Arabia kujenga demokrasia,,wakilidhika na udikteta juu yao,,hilo haliwahusu wamarekani,,,hata wachina wakiamua kundelea na udikteta wao,,huwezi eti kuizuia Marekani kufanya biashara na China,,,na ETI IKIFANYA BIASHARA BASI haina demokrasia,,hiyo siyi sahihi,,,,,,,,,
 
Duuu naona pengine mtoa mada unakuwa huelewi concept,,umeambiwa demokrasia ni ndani ya nchi,, yaani wananchi wana sauti ya kumchagua kiongozi wanayemtaka kutoka chama chochote cha siasa,,au mgombea huru,,,,,Na pia haki za binadamu kutamalaki, na UHURU wahakama,,,,,,Sasa hayo masuala ya nchi ya demokrasia kuwa na rafiki dikteta hayaondoi wao kuwa na demokrasia,,,Ni jukumu la wananchio wa Saudi Arabia kujenga demokrasia,,wakilidhika na udikteta juu yao,,hilo haliwahusu wamarekani,,,hata wachina wakiamua kundelea na udikteta wao,,huwezi eti kuizuia Marekani kufanya biashara na China,,,na ETI IKIFANYA BIASHARA BASI haina demokrasia,,hiyo siyi sahihi,,,,,,,,,
Naona uko mbaali,haya bwana, naona siwezi kukusogeza hata millimetre moja ukanielewa.Ila kwa anayetaka kunielewa nadhani kanielewa.Lagards are always there.
 
Nilichosema ni kwamba Marekani wamefumbia macho kifo cha Kashoggi for economic gain,sijasema Marekani ndio waliomuua.Na
nika- indicate pia kwamba kama serikali inafumbia macho a gruesome murder as that of Khashoggi,how can it identity itself with good. Is that not hipocrisy of the highest order and double standards?Mimi nadhani you are making sense out of what I am saying,ila mnajitoa ufahamu for the sake of defending your payroll master.

Huelewi

Marekani ipo hapa duniani kutetea maslahi yake kwanza na watu wake

Kashoggi sio Mmarekani,kifo chake kimekinzana na maslahi ya Marekani,maslahi ya Marekani yana supersede maslahi ya Kashoggi

Angekua Mmarekani hakuna rangi dunia ingeacha kuona,ila sio Mmarekani hana maana!

Tanzania ni lazima iangalie maslahi yake na watu wake kwanza na sio raia wa nchi zingine

Mimi silipwi na mtu yeyote!

Unaniita eti nalipwa na USA na wewe unavyoitetea China hujioni?

Unaona kundu la mwenzio tu?Lako hutaki kuliona?
 
Huelewi

Marekani ipo hapa duniani kutetea maslahi yake kwanza na watu wake

Kashoggi sio Mmarekani,kifo chake kimekinzana na maslahi ya Marekani,maslahi ya Marekani yana supersede maslahi ya Kashoggi

Angekua Mmarekani hakuna rangi dunia ingeacha kuona,ila sio Mmarekani hana maana!

Tanzania ni lazima iangalie maslahi yake na watu wake kwanza na sio raia wa nchi zingine

Mimi silipwi na mtu yeyote!

Unaniita eti nalipwa na USA na wewe unavyoitetea China hujioni?

Unaona kundu la mwenzio tu?Lako hutaki kuliona?
Sijaitetea China,kama kweli unajua maana ya kutetea.Sitaki wadanganye watu na their fake system of democracy.Halafu kama kweli wewe ni binadamu,nadhani utakubaliana nami kwamba utu ndio jambo la msingi zaidi,mengine baadae, kinyume na hapo hutakuwa tofauti na mnyama.Mwisho, nakubali nchi kutetea maslahi yake,lakini sio kwa ku-exterminate wengine kama Marekani inavyofanya.Zipo njia za kiungwana zaidi za kufanya hivyo.
 
Sijaitetea China,kama kweli unajua maana ya kutetea.Sitaki wadanganye watu na their fake system of democracy.Halafu kama kweli wewe ni binadamu,nadhani utakubaliana nami kwamba utu ndio jambo la msingi zaidi,mengine baadae, kinyume na hapo hutakuwa tofauti na mnyama.Mwisho, nakubali nchi kutetea maslahi yake,lakini sio kwa ku-exterminate wengine kama Marekani inavyofanya.Zipo njia za kiungwana zaidi za kufanya hivyo.

Duuh

Utu according to who?

Huenda nina Machiavellian principle,ila mtu anakua expendable iwapo tu ananingilia maslahi au anakua threat kwa existence ya mtu mwingine!

US au Tanzania ana kudefine kama threat na expendable kwake iwapo tu utakua unaingilia maslahi yake au ni threat kwa namna yoyote kwake!

Hivyo ni lazima aku eliminate kabla hujamdhuru in any sense!

Wewe kwa upande wa pili utamuona US au Tanzania ni dhalimu!

Kumbuka kuna pande mbili hapa,wewe upo upande wa pili!

Ubinadamu unaodai wewe ni upi na kwa kiwango gani kwa mizani ipi!?

Mkuu,tuachane kila mtu na imani yake!

Mimi siwezi fata imani ya utopia ya ‘utu’ ambao definition yake ni kila mtu anavyojisikia na yupo upande gani!

Hakuna mtu neutral mzee!

Tuachie hapo

Thanks for your time though!
 
Dah,there is so much you do not know,hivi unaamini kwamba nchi za magharibi ni true democracies,not at all.Nchi democratic haiwezi kukubali ujinga wa Mobutu,Saudi Arabia na Bahrain mkuu,why are you so blind.Narudia Democracy is a tool for reaching a goal,total human domination and enslavement.Kama wewe umjinga kiasi cha kutokuliona hilo, bad luck for you.
Mfahamishe huyo jamaa mwenye upupu was West kuwa democracy, utandawazi, haki za binaadamu zote ni tools za ki Illuminati ki enslave na kuwa control watu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfahamishe huyo jamaa mwenye upupu was West kuwa democracy, utandawazi, haki za binaadamu zote ni tools za ki Illuminati ki enslave na kuwa control watu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunajaribu kuelimisha watu,lakini inakuwa ngumu kwa kuwa wengi tumekulia kwenye udanganyifu wa kimagharibi na kwa bahati mbaya tumeamini uongo wao.Unajua uongo ukirudiwa mara kwa mara akili inauamini.That is how the brain works.
 
Back
Top Bottom