Democracy ya kweli ipo ccm sio CHADEMA mtu anagombea mnamuona msaliti? Mnamshambulia na kumtusi mlitaka mgombea gani?

Democracy ya kweli ipo ccm sio CHADEMA mtu anagombea mnamuona msaliti? Mnamshambulia na kumtusi mlitaka mgombea gani?

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Tundu Lissu ndiye katuonyesha ujinga wa CHADEMA na ujinga wa wanachama wake.

Wanachadema ni manamba wa mtu, tuseme CHADEMA iliundwa kwa ajili ya Mbowe tu au watu wa kaskazini. Lakini najiuliza swali, kwa nini demokrasia CHADEMA ni ngumu sana kuipata?

Badala ya kumpima kwa hoja, wao wanamuona msaliti! Kugombea nafasi ni usaliti?

Na hamjaanza leo! Zitto Kabwe alipotaka nafasi hiyo mlimuita msaliti na mkapambana naye sana. Chama kiliunda timu ya kumshambulia mitandaoni na kumnyang'anya uanachama wake.

Wa pili ni Chacha Wangwe na wengine kibao! Chama gani ambacho mtu akitaka nafasi ya uenyekiti anakuwa adui? Demokrasia gani ya uoga wa aina hii?
 
Tundu Lissu ndiye katuonyesha ujinga wa CHADEMA na ujinga wa wanachama wake.

Wanachadema ni manamba wa mtu, tuseme CHADEMA iliundwa kwa ajili ya Mbowe tu au watu wa kaskazini. Lakini najiuliza swali, kwa nini demokrasia CHADEMA ni ngumu sana kuipata?

Badala ya kumpima kwa hoja, wao wanamuona msaliti! Kugombea nafasi ni usaliti?

Na hamjaanza leo! Zitto Kabwe alipotaka nafasi hiyo mlimuita msaliti na mkapambana naye sana. Chama kiliunda timu ya kumshambulia mitandaoni na kumnyang'anya uanachama wake.

Wa pili ni Chacha Wangwe na wengine kibao! Chama gani ambacho mtu akitaka nafasi ya uenyekiti anakuwa adui? Demokrasia gani ya uoga wa aina hii?
Ni lini umeona mwanachama wa CCM anatangaza nia ya kugombea uenyekiti wa CCM kama ilivyofanyika CHADEMA? CCM hawana demokrasia ya upeo wa CDM.
 
Tundu Lissu ndiye katuonyesha ujinga wa CHADEMA na ujinga wa wanachama wake.

Wanachadema ni manamba wa mtu, tuseme CHADEMA iliundwa kwa ajili ya Mbowe tu au watu wa kaskazini. Lakini najiuliza swali, kwa nini demokrasia CHADEMA ni ngumu sana kuipata?

Badala ya kumpima kwa hoja, wao wanamuona msaliti! Kugombea nafasi ni usaliti?

Na hamjaanza leo! Zitto Kabwe alipotaka nafasi hiyo mlimuita msaliti na mkapambana naye sana. Chama kiliunda timu ya kumshambulia mitandaoni na kumnyang'anya uanachama wake.

Wa pili ni Chacha Wangwe na wengine kibao! Chama gani ambacho mtu akitaka nafasi ya uenyekiti anakuwa adui? Demokrasia gani ya uoga wa aina hii?
Hayo matusi/dhihaka/vijembe ndio demokrasia yenyewe...
Huko ccm mnaweza mfanyia hivyo mama mtukufu?!
Cc Lucas Mwashambwa na mmachame johnthebaptist
 
Back
Top Bottom