Democrats wa Marekani wamechanganyikiwa? Mbona wanajiendea kama gari bovu?!

Democrats wa Marekani wamechanganyikiwa? Mbona wanajiendea kama gari bovu?!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
We unamuunga nani mkono!?
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Unazijua siasa za Marekani kuliko wao?
 
Poor Democrats! They have made a whole bunch of unforced errors!

They could have avoided all this chaos but for Joe Biden’s obstinacy.

June 27th changed everything. Trump knocked him out.

Now time is not on their side. How are they going to pull this off in a matter of less than four months?

The best way to go about it is to have a brokered convention.

Let contestants compete for the delegates’ votes.

That way at least you get the best, strongest candidate that you can get.

They have some solid governors and senators.

I think Andy Beshear and Senator Joe Machin could be solid nominees for them.

Coronating the cackling word salad queen is not going to work in the long run.
 
Kwangu huyo Kamala ana afadhali kuliko Trump kwa sababu anaheshimu demokrasia ila kwingine kote naona amepwaya tu, Trump ni wa hovyo kila kona.
Democrats wengi wala hawaheshimu demokrasia.

Wangekuwa wanaheshimu demokrasia wasingemfanyia Trump figisu zote walizomfanyia!

Na Kamala kama anaheshimu demokrasia basi atakataa coronation.
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Siasa ya Marekani inatumia akili sana why if kama Kamala anatolewa kafara ili siku zisogee
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Kila Mmoja anauogopa mziki wa mzee Trumpet,na atawang'oa ubongo wote.
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Mfumo wa Siasa za Marekani ni kama wa CCM.

Kuna suala la Utamaduni, kama hakuna sababu zilizo nje ya uwezo wa Kibanadamu basi mgombea aliyeko Madarakani atamalizia muhula wa pili, na kwa sasa Kamala Ndio mgombea mwenza wa Biden, so ni vyema akaendelea alipoishia Biden, japo wengine wanaweza kutangaza nia na hata kushinda
 
Kila Mmoja anauogopa mziki wa mzee Trumpet,na atawang'oa ubongo wote.
Halafu watu wamesahau kuwa Democrats walim impeach mara mbili!

Binafsi mimi wala si mshabiki wa Trump.

Lakini sipendi kabisa uonevu wa kisiasa.

Yote Democrats waliyomfanyia Trump, ukibadili kibao na iwe Biden, napo nitamtetea Biden.

They have overplayed their hand.
 
Democrats wengi wala hawaheshimu demokrasia.

Wangekuwa wanaheshimu demokrasia wasingemfanyia Trump figisu zote walizomfanyia!

Na Kamala kama anaheshimu demokrasia basi atakataa coronation.
Hakuna figisu zozote Democrats wamemfanyia Trump,
Walikuwa sahihi kufanya impeachment zote mbili ya kwanza ikiwa yeye kumtaka Zelenskyy amchafue Biden na ya pili iliyohusu yeye kuwa chanzo cha wafuasi kuvamia bunge Jan 6 na kutaka kukwamisha peaceful transfer of power. Kwenye nchi nyingi za Ulaya ambazo siasa hazijawa polarised kama Marekani sasa hivi Trump angekuwa jela kwa makosa ya uhaini.

Makosa mengine ya ubakaji pamoja na kulala na porn star kisha kumlipa kesi kuficha yamethibitishwa na mahakama huru za Marekani ambazo Biden hana mkono wake kabisa.

Makosa ya kuondoka na nyaraka za siri za serikali kila mtu anaona jaji wa mahakama aliyeteuliwa na Trump mwenyewe alivyomnasua Trump
 
Mfumo wa Siasa za Marekani ni kama wa CCM.

Kuna suala la Utamaduni, kama hakuna sababu zilizo nje ya uwezo wa Kibanadamu basi mgombea aliyeko Madarakani atamalizia muhula wa pili, na kwa sasa Kamala Ndio mgombea mwenza wa Biden, so ni vyema akaendelea alipoishia Biden, japo wengine wanaweza kutangaza nia na hata kushinda
Hauko hivyo, huwa kunakuwa na ushindani, hata katika hili la Democrats na Kamala kutakuwa na wagombea na ushindani ishu hapa ni kwamba viongozi wengi wa Democrats tayari wanataka Kamala ndiye awe mgombea ila hawawezi kulazimisha wajumbe wapiga kura.
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Ishi ya kuchagua bado ipo sana tu hapo ni kelele tu

USSR
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Mkuu wewe upo Tanzania unataka kuwapangia Wamerekani kuchagua viongozi wao Kamala ni msomi ni kaishapata uzoefu kupitia Joe,
 
Mkuu wewe upo Tanzania unataka kuwapangia Wamerekani kuchagua viongozi wao Kamala ni msomi ni kaishapata uzoefu kupitia Joe,
Uchaguzi wa Marekani una maslahi na kila mtu wa dunia hii, kuanzia Warusi, Wachina, Wahindi, Waafrika hadi ndugu zako Waarabu.
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Biden kawavuruga hivyo wanajaribu tu kuzima moto kwa Sasa.
 
Hakuna figisu zozote Democrats wamemfanyia Trump,
Walikuwa sahihi kufanya impeachment zote mbili ya kwanza ikiwa yeye kumtaka Zelenskyy amchafue Biden na ya pili iliyohusu yeye kuwa chanzo cha wafuasi kuvamia bunge Jan 6 na kutaka kukwamisha peaceful transfer of power. Kwenye nchi nyingi za Ulaya ambazo siasa hazijawa polarised kama Marekani sasa hivi Trump angekuwa jela kwa makosa ya uhaini.

Makosa mengine ya ubakaji pamoja na kulala na porn star kisha kumlipa kesi kuficha yamethibitishwa na mahakama huru za Marekani ambazo Biden hana mkono wake kabisa.

Makosa ya kuondoka na nyaraka za siri za serikali kila mtu anaona jaji wa mahakama aliyeteuliwa na Trump mwenyewe alivyomnasua Trump
Hata Biden aliondoka na nyaraka na special counsel akahitimisha kuwa ingawa Joe alikosea, hakuona haja ya kumfungulia mashitaka kwa sababu ni mzee na akili yake imeanza kupungua. Unabisha?

Majimbo kadhaa yanayoongozwa na Democrats yalitaka kumwondoa Trump asishiriki kabisa kwenye uchaguzi mkuu kwenye hayo majimbo yao. Baadaye mahakama ya upeo ikaamua kuwa Trump ana haki ya kushiriki chaguzi kwenye majimbo hayo. Unabisha?

Prosecutors wote waliomfungulia mashitaka Trump, Fani Willis, Alvin Bragg, Leticia James, na Jack Smith, wote ni Democrats, unabisha?

Michael Colangelo naye alikuwa anafanya kazi kwenye serikali ya Joe Biden, unabisha?

Kusema Biden hana mkono kabisa kwenye hizo figisu ni kuwa naive.

Ndiyo, anaweza kujitetea kupitia plausible deniability. Lakini kila mtu mwenye akili anajua kinachowndelea.
 
Back
Top Bottom