Democrats wa Marekani wamechanganyikiwa? Mbona wanajiendea kama gari bovu?!

Democrats wa Marekani wamechanganyikiwa? Mbona wanajiendea kama gari bovu?!

Hata Biden aliondoka na nyaraka na special counsel akahitimisha kuwa ingawa Joe alikosea, hakuona haja ya kumfungulia mashitaka kwa sababu ni mzee na akili yake imeanza kupungua. Unabisha?

Majimbo kadhaa yanayoongozwa na Democrats yalitaka kumwondoa Trump asishiriki kabisa kwenye uchaguzi mkuu kwenye hayo majimbo yao. Baadaye mahakama ya upeo ikaamua kuwa Trump ana haki ya kushiriki chaguzi kwenye majimbo hayo. Unabisha?

Prosecutors wote waliomfungulia mashitaka Trump, Fani Willis, Alvin Bragg, Leticia James, na Jack Smith, wote ni Democrats, unabisha?

Michael Colangelo naye alikuwa anafanya kazi kwenye serikali ya Joe Biden, unabisha?

Kusema Biden hana mkono kabisa kwenye hizo figisu ni kuwa naive.

Ndiyo, anaweza kujitetea kupitia plausible deniability. Lakini kila mtu mwenye akili anajua kinachowndelea.
Hongera mkuu
Walau wewe unaonyeshesha unzajiua siasa za Us in deep kidogo
Wengine wanachambua kupitia habari za kimataifa za TBC tu
 
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?

Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!

Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Mpaka sasa hawaoni mtu atakae vaa viatu zaidi ya Harris,ni bora Harriss hatatumia muda mwingi kufahamika anauzoefu wa Kampeni.
 
Mpaka sasa hawaoni mtu atakae vaa viatu zaidi ya Harris,ni bora Harriss hatatumia muda mwingi kufahamika anauzoefu wa Kampeni.
Walikuwepo, wangewashindanisha
 
Poor Democrats! They have made a whole bunch of unforced errors!

They could have avoided all this chaos but for Joe Biden’s obstinacy.

June 27th changed everything. Trump knocked him out.

Now time is not on their side. How are they going to pull this off in a matter of less than four months?

The best way to go about it is to have a brokered convention.

Let contestants compete for the delegates’ votes.

That way at least you get the best, strongest candidate that you can get.

They have some solid governors and senators.

I think Andy Beshear and Senator Joe Machin could be solid nominees for them.

Coronating the cackling word salad queen is not going to work in the long run.
Wow! Look at me 😀.
 
Back
Top Bottom