We unamuunga nani mkono!?Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Unazijua siasa za Marekani kuliko wao?Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Kwanza kabisa unaposema karibu viongozi wote wa Democrats wamemkubali Kamala unamaanisha nani na nani?Hapana mkuu, sizijui sana siasa za Marekani ndio maana nimeuliza, hembu nieleweshe.
Democrats wengi wala hawaheshimu demokrasia.Kwangu huyo Kamala ana afadhali kuliko Trump kwa sababu anaheshimu demokrasia ila kwingine kote naona amepwaya tu, Trump ni wa hovyo kila kona.
Siasa ya Marekani inatumia akili sana why if kama Kamala anatolewa kafara ili siku zisogeeMbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Kila Mmoja anauogopa mziki wa mzee Trumpet,na atawang'oa ubongo wote.Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Mfumo wa Siasa za Marekani ni kama wa CCM.Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwa nini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Halafu watu wamesahau kuwa Democrats walim impeach mara mbili!Kila Mmoja anauogopa mziki wa mzee Trumpet,na atawang'oa ubongo wote.
Hakuna figisu zozote Democrats wamemfanyia Trump,Democrats wengi wala hawaheshimu demokrasia.
Wangekuwa wanaheshimu demokrasia wasingemfanyia Trump figisu zote walizomfanyia!
Na Kamala kama anaheshimu demokrasia basi atakataa coronation.
Hauko hivyo, huwa kunakuwa na ushindani, hata katika hili la Democrats na Kamala kutakuwa na wagombea na ushindani ishu hapa ni kwamba viongozi wengi wa Democrats tayari wanataka Kamala ndiye awe mgombea ila hawawezi kulazimisha wajumbe wapiga kura.Mfumo wa Siasa za Marekani ni kama wa CCM.
Kuna suala la Utamaduni, kama hakuna sababu zilizo nje ya uwezo wa Kibanadamu basi mgombea aliyeko Madarakani atamalizia muhula wa pili, na kwa sasa Kamala Ndio mgombea mwenza wa Biden, so ni vyema akaendelea alipoishia Biden, japo wengine wanaweza kutangaza nia na hata kushinda
Ishi ya kuchagua bado ipo sana tu hapo ni kelele tuMbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Mkuu wewe upo Tanzania unataka kuwapangia Wamerekani kuchagua viongozi wao Kamala ni msomi ni kaishapata uzoefu kupitia Joe,Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Uchaguzi wa Marekani una maslahi na kila mtu wa dunia hii, kuanzia Warusi, Wachina, Wahindi, Waafrika hadi ndugu zako Waarabu.Mkuu wewe upo Tanzania unataka kuwapangia Wamerekani kuchagua viongozi wao Kamala ni msomi ni kaishapata uzoefu kupitia Joe,
Bora waambie wanaojifanya wanaojua siasa ya Marekani!Democrats wengi wala hawaheshimu demokrasia.
Wangekuwa wanaheshimu demokrasia wasingemfanyia Trump figisu zote walizomfanyia!
Na Kamala kama anaheshimu demokrasia basi atakataa coronation.
Biden kawavuruga hivyo wanajaribu tu kuzima moto kwa Sasa.Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala ya uchumi na usalama?
Kwanini vigogo wa Democrats hawakutaka kujielekeza zaidi kuwaachia wajumbe wa chama kuchagua mgombea katika mchuano wa ushindani ndipo wamuunge mkono huyo mgombea?!
Vipi ikiwa Kamala Harris atashindwa katika mchuano wa chama au uchaguzi mkuu? Huu si utakuwa mtafaruku mwingine mkubwa ?
Hata Biden aliondoka na nyaraka na special counsel akahitimisha kuwa ingawa Joe alikosea, hakuona haja ya kumfungulia mashitaka kwa sababu ni mzee na akili yake imeanza kupungua. Unabisha?Hakuna figisu zozote Democrats wamemfanyia Trump,
Walikuwa sahihi kufanya impeachment zote mbili ya kwanza ikiwa yeye kumtaka Zelenskyy amchafue Biden na ya pili iliyohusu yeye kuwa chanzo cha wafuasi kuvamia bunge Jan 6 na kutaka kukwamisha peaceful transfer of power. Kwenye nchi nyingi za Ulaya ambazo siasa hazijawa polarised kama Marekani sasa hivi Trump angekuwa jela kwa makosa ya uhaini.
Makosa mengine ya ubakaji pamoja na kulala na porn star kisha kumlipa kesi kuficha yamethibitishwa na mahakama huru za Marekani ambazo Biden hana mkono wake kabisa.
Makosa ya kuondoka na nyaraka za siri za serikali kila mtu anaona jaji wa mahakama aliyeteuliwa na Trump mwenyewe alivyomnasua Trump