Kwa namna ya kibongo na chama chenu ni kama kumkalisha mlevi wa chang'a tu.Mwanachadema anasema " lisu hafai kuwa mwenyekiti wa chama taifa ana uwezo mdogo labda asubiri agombee urais ndio kuna mfaa" yaani mwanachadema anaona kuongoza chama ni kazi ngumu kuliko kuongoza nchi .
Ukiwa chadema unakuwa na akili za maiti kabisa
USSR
INAWEZEKANA YUKO SAWA. KWANI ANAYEONGOZA SS NI MTU WA MASIJALA. WATU HAO WANA AKILI KUBWA?Mwanachadema anasema " lisu hafai kuwa mwenyekiti wa chama taifa ana uwezo mdogo labda asubiri agombee urais ndio kuna mfaa" yaani mwanachadema anaona kuongoza chama ni kazi ngumu kuliko kuongoza nchi .
Ukiwa chadema unakuwa na akili za maiti kabisa
USSR
CDM ni gwiji la demokrasia Tanzania.Mwanachadema anasema " lisu hafai kuwa mwenyekiti wa chama taifa ana uwezo mdogo labda asubiri agombee urais ndio kuna mfaa" yaani mwanachadema anaona kuongoza chama ni kazi ngumu kuliko kuongoza nchi .
Ukiwa chadema unakuwa na akili za maiti kabisa
USSR
ni utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu sana kupambana na kiongozi wako. Ni chanzo cha uhasama na migawanyiko. Ni sababu ya hujuma na kuanguka au kutokufanikiwa kwa uongozi utakao shika hatamu.Hongera CDM kwa kuonesha upeo mkubwa wa ki-demokrasia kwa kuwa na mfumo unaoruhusu wanachama kugombea vyeo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uenyekiti wa chama.
Huwezi kusikia mwanachama wa CCM anatangaza nia yake ya kugombea uenyekiti wa CCM dhidi ya mwenyekiti aliyepo madarakani.
Chadema endeleeni kuwa kinara wa demokrasia nchini na tunawaunga mkono kwa utaratibu huu mzuri.
Jibu hoja we unaona kuna mtu huko ccm anaweza kuchuana na saa100Hili nalo neno!
ni utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu sana kupambana na kiongozi wako. Ni chanzo cha uhasama na migawanyiko. Ni sababu ya hujuma na kuanguka au kutokufanikiwa kwa uongozi utakao shika hatamu.
kwa mfano, hizi hadaa na dharau anazoonyesha Lisu kwa Mbowe, zinaweza kua chanzo cha uhasama na hujuma kwa chama endapo huyo Lisu atafanikiwa kushinda nafasi hiyo,
Kwasababu, mbowe na wafuasi wake ndani ya Chadema watakua na kazi moja tu, ambayo ni kuhakikisha Lisu hafanikishi chochote ndani ya Chadema katika kipindi chake chote cha uongozi wa miaka yote mi5,
Ili kuhakikisha comeback ya Mbowe uongozini inakua ya kitofauti sana.
Chukua hiyo point, itakusaidia sana 🐒
Akitokea itakuaje..?Jibu hoja we unaona kuna mtu huko ccm anaweza kuchuana na saa100
Iva
Utaratibu wao laknHawezi kutokea
Washasema mama anatosha
Ova
Udiktea mkubwa sana huu!Kule CCM ni full adabu, akuna wa kuthubutu kitia nia hata kwa kuguna - ni form moja tu.
demokrasia au kuviziana, tamaa au uchu wa madaraka?CCM wajifunze demokrasia ya kweli CDM.
Wanajua urais hapatiMwanachadema anasema " lisu hafai kuwa mwenyekiti wa chama taifa ana uwezo mdogo labda asubiri agombee urais ndio kuna mfaa" yaani mwanachadema anaona kuongoza chama ni kazi ngumu kuliko kuongoza nchi .
Ukiwa chadema unakuwa na akili za maiti kabisa
USSR
CocobeachHongera CDM kwa kuonesha upeo mkubwa wa ki-demokrasia kwa kuwa na mfumo unaoruhusu wanachama kugombea vyeo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uenyekiti wa chama.
Huwezi kusikia mwanachama wa CCM anatangaza nia yake ya kugombea uenyekiti wa CCM dhidi ya mwenyekiti aliyepo madarakani.
Chadema endeleeni kuwa kinara wa demokrasia nchini na tunawaunga mkono kwa utaratibu huu mzuri.