Demokrasia haiwafai watu aina ya Mdude Nyagali

Demokrasia haiwafai watu aina ya Mdude Nyagali

Sielewi kwa nini CDM wanaendelea kumtukana huyu Mama, nadhani wanamtengeneza dikteta mwingine. Makosa madogo madogo yapo, especially kwenye matamshi, hamna mtu kakamilika, Mama ana washauri, wanaweza kumwambia in a minute ishi kama magu, tutakimbiana humu. Magu alikuwa Rais sababu ya CDM na kubenea wao, you are repeating the same mistakes guys, just calm down and tuone huyu Mama anataka kutupeleka wapi. Kuhusu mikutano jaribuni kuita mkutano mmoja and tuone reaction ya utawala wake, siyo kila kitu hadi muambiwe, fuateni hii katiba iliyopo then tuoneshe dunia nzima nini kinaendelea tz

Kila mtu akiwa mzungumzaji WA chama matokeo yake hata Wavuta bangi na walevi hushika hatamu
 
Sielewi kwa nini CDM wanaendelea kumtukana huyu Mama, nadhani wanamtengeneza dikteta mwingine. Makosa madogo madogo yapo, especially kwenye matamshi, hamna mtu kakamilika....
Na ndio maana naona kumshambulia Rais ni kutaka kumfanya awe dictator Tena kwa Hili likatiba letu lilivo bovu mkuu wa nchi akiitumia ipasvyo tutaanza kulia ka enzi za Magufuli maana CDM walisababisha had akawa Rais matokeo yake yalikuwa kilio kila corner
 
Yes it was the enemy of my enemy is my friend, kwa sasa tumeshagawanyika, we no longer have the same enemy. Shauri yake asidhani Ile kelele ya kutaka atolewe kwa sasa itakuwepo kwa Ile magnitude.

Atafia ndani pekee waendelee kuchokonoa tu.

Magu alichukiwa na wengi huyu mama ni ngumu kupata maadui wengi pamoja watakuwepo sababu style yake sio kama ya bwana yule.

Aendelee tu atashangaa wanaomsapoti wengi watajitenga nae kwa sasa. Huu sio muda wa yeye kufanya siasa za enzi Ile, we all needed him by that time Ila sio sasa shauri yake.
Hata CDM nao wachange strategy zao Sasa sio kujifanya wababe kwa mama msikivu na wao kuleta ujeuri wananchi wengi hawatawaelewa kabisa, na siasa za kibabe hazifanyi kazi awamu hii, zilikuwa zinafanya kazi enzi za magufuli maana na yeye alikuwa harsh hajali hisia za wengi Hadi wananchi wakakerwa na matendo yake. Kwa Samia 100 za uongozi wake kajitahidi kugusa watu mbalimbali kiasi watu wanaona haya kumkosoa. So CDM wabadilike waje na siasa za hoja na kuonyesha mapungufu ila sio ku Force kingi kisa mama kawa mstaarabu
 
Mdude ana Historia ngumu sana. Hajui hata wazazi wake wako wapi, wala hajui kwao ni wapi. Hata viongizi wa CDM hawajui whether ni Mtanzania au Mkongo . Alizaliwa akajikuta anaishi tu na wasamaria wema. Up bringing yake ndiyo inamfanya awe kama myama, yaani fearless.

Siyo kwamba ana ujasiri bali maisha kwake hayana maana. Yuko kama mnyama akifa sawa, akijeruhiwa sawa, akilala shimoni sawa.

Mwenye akili nzuri, malezi na familia hawezi kutoa kauli kama Ike siku 3 tu baada ya kutoka kwenye mateso kama yale
Kwanini CDM wasimtafutie tiba ya Hilo tatizo lake maana ujasiri anao wakutosha wamsaidie
 
Mdude hajakosea

Na mimi nasema hivi, kama Samia atafuata njia ileile ya kidikteta ya Magufuli, basi wembe uleule tuliotumia kumnyoa Magufuli tutamnyoa nao na yeye pia.

Mimi nampongeza Mdude kwa kauli nzuri kabisa ya kijasiri.

Kama Mdude kakosea mpelekeni mahakamani

wakina mdude mpo wengi kumbe
 
Siyo kila mtu ni fala mkuu, kuna makosa mengi huko mliko, ila mmeamua kufumba macho, tujaribu kutengeneza upinzani wa hoja, tusiprovoke watu wenye nguvu kutushinda, sababu hatutashinda, CHADEMA mna wafuasi wengi sana, ila mnachohitaji ni kaustarabu kadogo tu kuendelea kupendwa na kila mtu, and siyo kila mstaarabu ni ccm, wengine wanapenda siasa safi tu
ona fala mwengine huyu 👉 👌
 
DEMOKRASIA HAIWAFAI WATU AINA YA MDUDE CHADEMA

Kwa Mkono wa, Robert Heriel

Mwaka juzi niliandika makala moja iliyokuwa ikimuonya na kumrekebisha Mwanaharakati na mwana chama wa Chadema, Ndugu Mdude Chadema kuwa ukosoaji wake haufai kwani anatumia lugha chafu zilizochanganyika na matusi.

Napenda wakosoaji, warekebishaji, Wanaharakati, ambao Wana misimamo mikali na wenye lugha ngumu lakini zisizo chafu wala matusi.

Mdude Chadema yakupasa ujirekebishe tena Kwa sehemu kubwa.

Kama ulivyozoea kukosoa basi Leo hii natumia nafasi hii kukukosoa kuhusu ukosoaji wako, ikiwa hii ni mara ya pili tangu nilipokukosoa mwaka 2019.

Tumia Lugha Kali Kama za wenzako kina Malisa, Maria Sarungi, Fatma Karume, miongoni mwa wengine.

Usije sema wewe u-unique wako ni kutumia lugha chafu zenye matusi. Huo ni Upumbavu.

Niliwahi andika kuwa Demokrasia haiwafai watu Masikini na Wapumbavu.

Wapumbavu wao huitumia demokrasia Kama kichaka cha kutukana wengine, kuwadhalilisha, kuwavua nguo Kwa matusi ya nguoni kabisa.

Watu dizaini ya Mdude Chadema huweza kuvumilika Kwa Watawala wenye dharau, wanaowapuuza, na wasiojali watu wapumbavu.

Lakini Kwa Watawala wasioweza kuvumilia, watu mithili ya Mdude huweza kujikuta katika taabu, dhahama na shurba isiyoelezeka.

Mdude Chadema Kwa vile hawezi kujizuia mipaka yake ya kuongea ni hatari ikiwa atakutana na mtawala asiyejua naye kujizuia mipaka yake ya mamlaka.

Hii ni kusema,
Mdude atatumia Uhuru wake wa kuongea vibaya.
Na mtawala naye atatumia Madaraka yake vibaya.

Hata hivyo,
Mdude Chadema anaweza akawa jasiri Jambo ambalo ni zuri, lakini kuwa jasiri kipumbavu ni Jambo baya.

Uwezo mzuri wa Mdude wa kuonyesha ujasiri wake ingependeza Kama angeutumia Kwa njia nzuri ya kukosoa kama mtu mwenye hekima.

Vita ya Mdude kipindi cha nyuma dhidi ya utawala wa JPM ilikuwa vita nzuri lakini iliyoharibiwa na wachezaji, wote Mdude na JPM.
Mdude alikuwa na hoja, lakini alikuwa akizitoa Kwa njia chafu na matusi Jambo ambalo halikuwa zuri na nilimtahadharisha.

Wembe alioutumia Mdude awamu ya JPM unafahamika, ulikuwa ni wembe wenye lugha chafu, matusi na lugha zenye ukakasi. Ndio maana mpaka naandika hapa ni kutokana na kuielewa kauli yake Kwa namna hiyo, nikikusudia kumtahadharisha na kumuomba atumie mbinu nyingine.
Kwa maana Kama atatumia wembe ule ule basi mtawala naye Hana budi kutumia shoka Kama alivyokuja akifanya JPM.

JPM naye hakuona ulazima wa kutumia busara Kwa kijana atumiaye upumbavu kumshambulia. Matokeo yake tunayajua.

Mdude na wenzako WA namna yako.
Lazima uelewe kuwa kanuni ya mapambano au vita hutumia Mirror principles ambapo unashambuliwa kadiri unavyokuja.
Ukija unacheka utashumbuliwa unacheka, ukija unapiga mayowe utashumbuliwa wakiwa wanapiga mayowe.

Kanuni za kioo ambazo huzingatia law isemayo input is equal to output ndio msingi WA mapambano.
Wahenga walisema; Dawa ya Moto ni Moto.

Mdude Chadema sitaki kuamini kuwa wewe ni mpumbavu ambaye Demokrasia huiwezi.

Tafadhali, fanya Sub katika mapambano yako, ingiza akili na hekima alafu mtoe upumbavu akae bench Kwanza.

Siku zote ukitumia upumbavu basi matokeo yatakayo kupata yatafanana kiwango cha upumbavu uliowekeza. Halikadhalika na ukitumia akili, hekima na maarifa.

Pambano liendelee lakini tahadhari zizingatiwe, sheria za mchezo zisipuuzwe.

Linda nchi yako, penda watu wako.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Huyu Mdude ni sikio la kufa, halisikii Dawa, ndio kwanza amezidi kuwekeza kwenye ujinga.

Kama kuna watu wa Chadema wanamuunga mkono mtu huyu basi wajitafakari upya.
 
Mbona umepaniki shehe unakubali mwanachadema mwenzio apatwe na majanga[emoji16]
Huyu Mdude ni sikio la kufa, halisikii Dawa, ndio kwanza amezidi kuwekeza kwenye ujinga.

Kama kuna watu wa Chadema wanamuunga mkono mtu huyu basi wajitafakari upya.
 
DEMOKRASIA HAIWAFAI WATU AINA YA MDUDE CHADEMA

Kwa Mkono wa, Robert Heriel

Mwaka juzi niliandika makala moja iliyokuwa ikimuonya na kumrekebisha Mwanaharakati na mwana chama wa Chadema, Ndugu Mdude Chadema kuwa ukosoaji wake haufai kwani anatumia lugha chafu zilizochanganyika na matusi.

Napenda wakosoaji, warekebishaji, Wanaharakati, ambao Wana misimamo mikali na wenye lugha ngumu lakini zisizo chafu wala matusi.

Mdude Chadema yakupasa ujirekebishe tena Kwa sehemu kubwa.

Kama ulivyozoea kukosoa basi Leo hii natumia nafasi hii kukukosoa kuhusu ukosoaji wako, ikiwa hii ni mara ya pili tangu nilipokukosoa mwaka 2019.

Tumia Lugha Kali Kama za wenzako kina Malisa, Maria Sarungi, Fatma Karume, miongoni mwa wengine.

Usije sema wewe u-unique wako ni kutumia lugha chafu zenye matusi. Huo ni Upumbavu.

Niliwahi andika kuwa Demokrasia haiwafai watu Masikini na Wapumbavu.

Wapumbavu wao huitumia demokrasia Kama kichaka cha kutukana wengine, kuwadhalilisha, kuwavua nguo Kwa matusi ya nguoni kabisa.

Watu dizaini ya Mdude Chadema huweza kuvumilika Kwa Watawala wenye dharau, wanaowapuuza, na wasiojali watu wapumbavu.

Lakini Kwa Watawala wasioweza kuvumilia, watu mithili ya Mdude huweza kujikuta katika taabu, dhahama na shurba isiyoelezeka.

Mdude Chadema Kwa vile hawezi kujizuia mipaka yake ya kuongea ni hatari ikiwa atakutana na mtawala asiyejua naye kujizuia mipaka yake ya mamlaka.

Hii ni kusema,
Mdude atatumia Uhuru wake wa kuongea vibaya.
Na mtawala naye atatumia Madaraka yake vibaya.

Hata hivyo,
Mdude Chadema anaweza akawa jasiri Jambo ambalo ni zuri, lakini kuwa jasiri kipumbavu ni Jambo baya.

Uwezo mzuri wa Mdude wa kuonyesha ujasiri wake ingependeza Kama angeutumia Kwa njia nzuri ya kukosoa kama mtu mwenye hekima.

Vita ya Mdude kipindi cha nyuma dhidi ya utawala wa JPM ilikuwa vita nzuri lakini iliyoharibiwa na wachezaji, wote Mdude na JPM.
Mdude alikuwa na hoja, lakini alikuwa akizitoa Kwa njia chafu na matusi Jambo ambalo halikuwa zuri na nilimtahadharisha.

Wembe alioutumia Mdude awamu ya JPM unafahamika, ulikuwa ni wembe wenye lugha chafu, matusi na lugha zenye ukakasi. Ndio maana mpaka naandika hapa ni kutokana na kuielewa kauli yake Kwa namna hiyo, nikikusudia kumtahadharisha na kumuomba atumie mbinu nyingine.
Kwa maana Kama atatumia wembe ule ule basi mtawala naye Hana budi kutumia shoka Kama alivyokuja akifanya JPM.

JPM naye hakuona ulazima wa kutumia busara Kwa kijana atumiaye upumbavu kumshambulia. Matokeo yake tunayajua.

Mdude na wenzako WA namna yako.
Lazima uelewe kuwa kanuni ya mapambano au vita hutumia Mirror principles ambapo unashambuliwa kadiri unavyokuja.
Ukija unacheka utashumbuliwa unacheka, ukija unapiga mayowe utashumbuliwa wakiwa wanapiga mayowe.

Kanuni za kioo ambazo huzingatia law isemayo input is equal to output ndio msingi WA mapambano.
Wahenga walisema; Dawa ya Moto ni Moto.

Mdude Chadema sitaki kuamini kuwa wewe ni mpumbavu ambaye Demokrasia huiwezi.

Tafadhali, fanya Sub katika mapambano yako, ingiza akili na hekima alafu mtoe upumbavu akae bench Kwanza.

Siku zote ukitumia upumbavu basi matokeo yatakayo kupata yatafanana kiwango cha upumbavu uliowekeza. Halikadhalika na ukitumia akili, hekima na maarifa.

Pambano liendelee lakini tahadhari zizingatiwe, sheria za mchezo zisipuuzwe.

Linda nchi yako, penda watu wako.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
CHADEMA, Je mumefikia wapi katika kumrekebisha huyu mwathirika wa mateso ya Magufuli?

Kama mnadharau ushauri, atawa cost vibaya huko mbele
 
😀😀
Kumrekebisha Mdude sio Jambo Dogo.
Wewe MTU yote yaliyomtokea hayajambadilisha unafikiri kuna kitakachomdalisha Kwa mdomo?
Nimekuelewa, jela tu ndiyo inaweza kumfunza mengine ni kupoteza muda. Yeye mwenyewe kwenye posts zake anaandika kutaka ku irritate au ku trigger process ya kukamata na kumfungulia mashtaka
 
Kumbe na wewe umeanza kuandika namba ya Simu kama Mwashambwa, all the best kwa unachotarajia
 
Uvunjaji wa Sheria na ukosefu wa demokrasia ndio huzaliza wakina mdude
 
Kumbe na wewe umeanza kuandika namba ya Simu kama Mwashambwa, all the best kwa unachotarajia

Hiyo post Angalia ni yalini.

Nilikuwa naandika miaka ya 2017-2020 nikaona usumbufu kupigiwa pigiwa simu.
Nikaacha.

Ichukue nawe, unicheki. Kwako sitaona usumbufu
 
Back
Top Bottom