Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu fala wa lumumba ROBERT HERIEL akili ubongo wake umeishia kwa MDUDE tu hao wengine yaliyowapata ni sawa tu kwake. shwain sana huyu
NDEZI wa meko 👌 😂Mimi sio walumumba,
Mbuzi wewe
Utakuwa na mimba changa wewe,Mdude hajakosea
Na mimi nasema hivi, kama Samia atafuata njia ileile ya kidikteta ya Magufuli, basi wembe uleule tuliotumia kumnyoa Magufuli tutamnyoa nao na yeye pia.
Mimi nampongeza Mdude kwa kauli nzuri kabisa ya kijasiri.
Kama Mdude kakosea mpelekeni mahakamani
Sote tunajua alikuwa akitumia lugha ya matusi kwa Rais aliye[ita. Hapa anamaanisha lugha ile ile ataitumia kwa mama. Au wewe ni mgeni wa post za mdude? Kuna matusi alikuwa anashusha balaa, yaani si freedom of speech tena, ilipitiliza. Angalia mifano ya wembe anaoumaanisha.Mnaompinga Mdude mna matatizo na mnafuata mkumbo. Wembe umekuwa tusi tangu lini? Au kama kuna tusi alilotukana tuoneshe.
Wacha wamtie ndimu akafiiiiirrrrrnnnyyywe tena maaambuzi.Wewe mpuuzi mvimbishe kichwa akirukiwa shauri yake
Imagine hii ni siasa sasa? Huyu ni mshenzi kabisa nilikuwa namfuatilia sana na niliamini angepitea kama yule saa sita sijui. Anayo bahati sana atulie kwanza aache matusi aisee.Sote tunajua alikuwa akitumia lugha ya matusi kwa Rais aliye[ita. Hapa anamaanisha lugha ile ile ataitumia kwa mama. Au wewe ni mgeni wa post za mdude? Kuna matusi alikuwa anashusha balaa, yaani si freedom of speech tena, ilipitiliza. Angalia mifano ya wembe anaoumaanisha.
View attachment 1842694
View attachment 1842700
Na awamu iliyopita ilikuwa rahisi watu kumshabikia sababu ya aina ya utawala uliokuwepo. Yaani the enemy of my enemy is my friend bila kujalisha anatumia silaha gani kupambana na adui yangu. Hizo technique hazitozaa matunda awamu hii, na zitamfanya apoteze credibility. Asome alama za nyakatiImagine hii ni siasa sasa? Huyu ni mshenzi kabisa nilikuwa namfuatilia sana na niliamini angepitea kama yule saa sita sijui. Anayo bahati sana atulie kwanza aache matusi aisee.
Ameshapata mileage za kutosha atulie aangalie sasa anataka siasa gani na wapi? Ajikite kuangalia future yake, watanzania watamtia ndimu Ila hela ataingia alone
Na awamu iliyopita ilikuwa rahisi watu kumshabikia sababu ya aina ya utawala uliokuwepo. Yaani the enemy of my enemy is my friend bila kujalisha anatumia silaha gani kupambana na adui yangu. Hizo technique hazitozaa matunda awami hii, na zitamfanya apoteze credibility. Asome alama za nyakati
Yes it was the enemy of my enemy is my friend, kwa sasa tumeshagawanyika, we no longer have the same enemy. Shauri yake asidhani Ile kelele ya kutaka atolewe kwa sasa itakuwepo kwa Ile magnitude.Na awamu iliyopita ilikuwa rahisi watu kumshabikia sababu ya aina ya utawala uliokuwepo. Yaani the enemy of my enemy is my friend bila kujalisha anatumia silaha gani kupambana na adui yangu. Hizo technique hazitozaa matunda awamu hii, na zitamfanya apoteze credibility. Asome alama za nyakati
Katina na sheria? Pimbi mkubwa hata elimu kichwani hauna.Katiba na sheria ndivyo vinapaswa kuongoza nchi, watu wakikosea wahukumiwe kwa haki kupitia uchunguzi na mahakama huru.
😂😂😂NDEZI wa meko 👌 😂
Katina na sheria? Pimbi mkubwa hata elimu kichwani hauna.
Ulimi hauna mfupa kenge wewe.Katiba sio Katina wewe parody wa Lumumba
Why CDM wasiamue kufanya hiyo mikutano then waone reaction ya utawala kwa sasa itakuaje? Ni rahisi sana kwa sasa kuitisha mkutano Mwembeyanga then kama nguvu kubwa itatumika itakuwa rahisi kuonesha mabwana wakubwa we are still there, me nafikiri wafanye hivyo kwa sasaHuyu Samia ndo alitoa kauli kuhusu Lissu kupigwa risasi kuwa "askari wao huwa hawakosei"
Juzi hapa naye anatoa kauli kuwa “Rais hakosei"
Amewahi kusema kuwa hata wasipopigiwa kura na wananchi watashinda tu
Kisha akamaliza kwa kutoa kauli ya kuvunja katiba kuwa Vyama vifanye mikutano ya ndani tu
Sasa huyu mama ambaye naye ameonyesha kumbe ana elementi za kidikteta akichiwa si ataanza kuwa kama Magufuli?
Kuna haja wembe uliotumika kumnyoa Magufuli utumike huohuo kumnyoa na yeye, Yaana mapambano ya kupinga udhalimu wake non stop
Sielewi kwa nini CDM wanaendelea kumtukana huyu Mama, nadhani wanamtengeneza dikteta mwingine. Makosa madogo madogo yapo, especially kwenye matamshi, hamna mtu kakamilika, Mama ana washauri, wanaweza kumwambia in a minute ishi kama magu, tutakimbiana humu. Magu alikuwa Rais sababu ya CDM na kubenea wao, you are repeating the same mistakes guys, just calm down and tuone huyu Mama anataka kutupeleka wapi. Kuhusu mikutano jaribuni kuita mkutano mmoja and tuone reaction ya utawala wake, siyo kila kitu hadi muambiwe, fuateni hii katiba iliyopo then tuoneshe dunia nzima nini kinaendelea tzNi kweli bado hajaongea lugha chafu wala hajatukana mtu.
Ila statement yake ya kusema wembe atakaoutumia ni ule ule alioutumia Kwa awamu iliyopita.
Na wembe huo ninaoufahamu ulijawa na matusi, lugha chafu zenye ukakasi, ndio sababu ya Mimi kumtahadharisha
Siyo kila mtu ni fala mkuu, kuna makosa mengi huko mliko, ila mmeamua kufumba macho, tujaribu kutengeneza upinzani wa hoja, tusiprovoke watu wenye nguvu kutushinda, sababu hatutashinda, CHADEMA mna wafuasi wengi sana, ila mnachohitaji ni kaustarabu kadogo tu kuendelea kupendwa na kila mtu, and siyo kila mstaarabu ni ccm, wengine wanapenda siasa safi tuhuyu fala wa lumumba ROBERT HERIEL akili ubongo wake umeishia kwa MDUDE tu hao wengine yaliyowapata ni sawa tu kwake. shwain sana huyu