Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #81
JPM alikuwa mtu mwema......
huyu kijana angekutana na madikteta siku nyingi angekuwa mchangani.....
Siwezi kukataa wala kukubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM alikuwa mtu mwema......
huyu kijana angekutana na madikteta siku nyingi angekuwa mchangani.....
JPM alikuwa mtu mwema......
huyu kijana angekutana na madikteta siku nyingi angekuwa mchangani.....
Wembe uliotumika ndio uliojadiliwa hapa Mkuu
Umeeleweka na tumemwelewa Mdude Chadema...
Swali ni hili;
Kuna tusi gani hapo? Hiyo ni lugha kali na ni kweli...
Wanasiasa wote ni "Makenge" na wanahitaji kufikishiwa ujumbe unaowahusu kwa lugha kali kali kabisa ili waelewe...
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake Magufuli....
He was strongly and brutally criticized and foolishly, he reacted the same way and even worse...
Wewe hofu yako ndo iko hapo...
Kwamba, "unamwonea huruma" Mdude Chadema kwa sbb Rais Samia akiamua kuwa brutal kama Mwendazake, basi Mdude ataumia, atarudi gerezani...!!
Wewe huwa unaandika makala za kiimani. Na kwenye ukristo huwa unagusa. Kwa hiyo unaujua ukristo. Unaijua Biblia...
Na unamjua Yesu Kristo na huduma yake ya miaka 3 na nusu hapa duniani...
Kwa ujumla, huduma ya Injili ya Yesu Kristo hapa duniani ilikuwa juu ya tawala onevu na dhalili za dunia hii...
Kuna wakati Yesu Kristo mbele yao hao watawala aliwahi kuwaita "....enyi watoto wa uzao wa shetani/ibilisi........"
Ni lugha kali na ya matusi eti..??
Kama ndiyo, unadhani watawala wa dunia ya leo akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, wana tofauti gani na watawala wa Rumi ya kale...??
Watawala hawa ni sharti wakosolewe kwa lugha ile wasiyoipenda ili katika kujibu (ku - react) kwao, wafanye makosa ya kiufundi na wajiue menyewe...!
Magufuli alifanya hivyo, akafa...
Warumi na wayahudi walifanya vile dhidi ya Yesu Kristo, wakafa wenyewe na Yesu yu hai leo na hata milele...!!
Kuna yule wa uvccm aliyetaka wapinzani kuuwawa. Yule mbunge mama mwingine aliyesemea bungeni kutaka mbunge wa upinzani auawe.
Vipi yule aliyewauwa kina Azory Mawazo Ben. Aliyewajeruhi kina Lissu, kudhulumu watu, nk.
Kuna ushauri wowote mliwahi kuwapa au ni machozi mengine ya mamba tu?
Huku nako Steven Nyerere kaweka yakeMdude hajakosea
Na mimi nasema hivi, kama Samia atafuata njia ileile ya kidikteta ya Magufuli, basi wembe uleule tuliotumia kumnyoa Magufuli tutamnyoa nao na yeye pia.
Mimi nampongeza Mdude kwa kauli nzuri kabisa ya kijasiri.
Kama Mdude kakosea mpelekeni mahakamani
Dikteta fashisti Hamnazo alikuwa mtu mwema?JPM alikuwa mtu mwema......
huyu kijana angekutana na madikteta siku nyingi angekuwa mchangani.....
Nanukuu tu "washughulikie huko bungeni, mimi nawashughulikia huku uraiani, "wapinzani wanapaswa kuchomwa sindano za sumu" ...n. k
Kwa kauli yako sasa umeamua kilinda chanzo cha tatizo kwasababu mlalamikaji alitumia lugha kali, hebu niambie, una hakika angetumia lugha laini ndio angejibiwa au ndio tatizo lingeongezeka? hiki ulichoandika hapa hakina mantiki.Chanzo cha tatizo unafikiri sikijui???
Mdude anahoja nzuri lakini uwasilishaji wake ni wahovyo, sitegemei Kama atapewa majibu ya maana isipokuwa ya hovyo Kama alivyowasilisha.
Mkuu tujaribu kuweka mizani sawa. Yule aliyemtukana mwananchi ambaye alitaka kutoa maoni kuwa kalisha matakle chini alikuwa sahihi?Kwa Chadema lugha anayotumia huyo kijana ndio lugha tukufu katika chama chao! Anapongezwa sana kwa kuharisha kwa kutumia kinywa
Mbona hujibu swali la msingi "Taikon wa Fasihi...??"Lugha Kali haijakatazwa Ila lugha CHAFU yenye matusi dooh.
Siujui mkuu, nijuze.Nimekuuliza unaujua wembe alioutumia Mdude enzi za JPM??
Siujui mkuu, nijuze.
ROBERT HERIEL acha double standard kauli ya Mdude ni nyepesi kuliko ya Herry James, kuliko ya Magufuli kuliko ya Samia mwenyewe kipindi cha kampeni.
Utapimiwa kwa kiwango kile kile utoacho. Tumefika hapa kwasababu kuna watu wanaamini wana haki kuliko wengine, wanastahili heshima kuliko wengine, wanajiona miungu watu naona miaka mitano hamjajifunza mnataka kurudi kwenye kuabudu watu.
Akili ya mwafrika ndo maana hata sasa ni watumwa.