Demokrasia haiwafai watu aina ya Mdude Nyagali

Demokrasia haiwafai watu aina ya Mdude Nyagali

Kuna yule wa uvccm aliyetaka wapinzani kuuwawa. Yule mbunge mama mwingine aliyesemea bungeni kutaka mbunge wa upinzani auawe.

Vipi yule aliyewauwa kina Azory Mawazo Ben. Aliyewajeruhi kina Lissu, kudhulumu watu, nk.

Kuna ushauri wowote mliwahi kuwapa au ni machozi mengine ya mamba tu?
Chadema haiwezi kujilinganisha na CCM. CCM ilishapoteza mwelekeo siku nyingi
 
Kama CCM hawatafanya detente, CHADEMA nao hawako tayari kufanya appeasement politics.
 
Kama ccm hawatafanya detente, CHADEMA nao hawako tayari kufanya appeasement politics.

Na hapo ndipo mwenye nguvu ndiye atakayeishi itakapotumika.

Malalamiko ndipo yatakapoanzia hapo.

Hata hivyo jamii yetu bado inawajinga wengi na masikini wengi hivyo nguvu ya Upinzani bado haiwezi kuwa kubwa
 
Na hapo ndipo mwenye nguvu ndiye atakayeishi itakapotumika.

Malalamiko ndipo yatakapoanzia hapo.

Hata hivyo jamii yetu bado inawajinga wengi na masikini wengi hivyo nguvu ya Upinzani bado haiwezi kuwa kubwa
Nguvu ya upinzani ni kubwa sana ndiyo maana ccm wanalazimika kutumia kila silaha waliyonayo kupambana na upinzani.

2015 -2020 waliamua kutarget individual politicians wakajikuta wanaloose ground muhimu kwenye politics ya wananchi.

Currently hawana ushawishi tena kwenye umma wako madarakani kwa sababu waliamua kubaki kwa nguvu ya vyombo vya dola.

Sasa hivi hawana cha kuwalinda zaidi ya kutumia nguvu wenzao wasifanye shughuli za kisiasa tena.

2020 kwenye uchaguzi walifanya self inflicted wounding kwa kutengeneza ugomvi wao ndani baada ya jiwe kukata wagombea alishinda mchakato wa uchaguzi.
 
Nguvu ya upinzani ni kubwa sana ndiyo maana ccm wanalazimika kutumia kila silaha waliyonayo kupambana na upinzani.

2015 -2020 waliamua kutarget individual politicians wakajikuta wanaloose ground muhimu kwenye politics ya wananchi.

Currently hawana ushawishi tena kwenye umma wako madarakani kwa sababu waliamua kubaki kwa nguvu ya vyombo vya dola.

Sasa hivi hawana cha kuwalinda zaidi ya kutumia nguvu wenzao wasifanye shughuli za kisiasa tena.

2020 kwenye uchaguzi walifanya self inflicted wounding kwa kutengeneza ugomvi wao ndani baada ya jiwe kukata wagombea alishinda mchakato wa uchaguzi.

JPM ndio alizingua,
Ingawaje Mimi tatizo kuu naliona Kwa wananchi waliowengi.
 
Mdude ashughulikiwe kihuni, hakuna haja ya mahakama
 
We mama umeambiwa utanyolewa kama mtangulizi wako [emoji23][emoji23] sasa sijui ni nywele za wapi [emoji119]
 
Kwahiyo wanohitaji Katiba ni wastaarabu kama wabunge wa CCM wanaotaka walipwe kwa dola kama mabunge mengine,wao posho ndio kipaumbele

Wakati wa vita dhidi ya ubaguzi wa Rangi, SA, Mzee Mandela, aliitwa Gaidi, wewe ungekuwepo kipindi kile, ungemuona Mandela sio "mstaarabu"kama Mdude

Ustaarabu gani tawala za CCM zimefanya tangu 1961? Escrow, Richmond, tuliambiwa maaadui ni watatu, Ujinga, umaskini, malazi, tukaambiwa Ili tuendelee tunahitaji, watu, siasa safi, na uongozi bora,
Watu wapo tangu 1961, vilivyokosekana ni "ustasrabu wa ccm.
 
Huwa napenda kusoma makala zako ambazo huwa ni moderate kwa kutokuwa upande huu au ule. Kiujumla huwa uko katikati...

Lakini kwa Mdude Chadema, umechemka. Sura yako halisi imetokelezea waziwazi...

Honestly, sijaona matusi ya Mdude Chadema. Katumia lugha kali kweli kweli lakini siyo matusi kama mnavyojaribu kumpaka....

".....Siwezi kunyamza. Wembe uliomnyoa Mwendazake John P. Magufuli, ndiyo utakaotumika kumyoa mama huyu...."

Hebu wewe "Taikon wa Fasihi", tuambie wanajukwaa wenzako, kuna tusi hapo? Kuna lugha ya matusi hapo..

Labda kama kuna jingine ambalo wengine hatujasoma au kuliona na kulisikia, basi mnapoandika muwe mnaweka kama reference kusapoti madai yenu ili wenye akili wakisoma, wawe wanaelewa kirahisi...
 
Huwa napenda kusoma makala zako ambazo huwa ni moderate kwa kutokuwa upande huu au ule. Kiujumla huwa uko katikati...

Lakini kwa Mdude Chadema, umechemka. Sura yako halisi imetokelezea waziwazi...

Honestly, sijaona matusi ya Mdude Chadema. Katumia lugha kali kweli kweli lakini siyo matusi kama mnavyojaribu kumpaka....

".....Siwezi kunyamza. Wembe uliomnyoa Mwendazake John P. Magufuli, ndiyo utakaotumika kumyoa mama huyu...."

Hebu wewe "Taikon wa Fasihi", tuambie wanajukwaa wenzako, kuna tusi hapo? Kuna lugha ya matusi hapo..

Labda kama kuna jingine ambalo wengine hatujasoma au kuliona na kulisikia, basi mnapoandika muwe mnaweka kama reference kusapoti madai yenu ili wenye akili wakisoma, wawe wanaelewa kirahisi...

Wembe uliotumika ndio uliojadiliwa hapa Mkuu
 
Chama cha siasa kikishindwa uchaguzi mara 3 kinageuka kuwa cha kigaidi..

Ndiko hii saccos chadema inakoelekea
 
JPM alikuwa mtu mwema......
huyu kijana angekutana na madikteta siku nyingi angekuwa mchangani.....
 
Back
Top Bottom