Demokrasia iliyokomaa nchini Marekani ni mfano wa kuigwa duniani kote.

Demokrasia iliyokomaa nchini Marekani ni mfano wa kuigwa duniani kote.

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha Democratic nchini Marekani Bibi Kamala Harris ameanza kumuwashia taa ya indicator mgombea wa chama cha Republican Bw. Donald Trump.

Hii ni kufuatia matokeo mbalimbali za kura za maoni zilizotolewa na mashirika kadhaa ya nchini humo.

Na kama hali itakuwa hivyo hadi mwisho basi huenda taifa la Marekani likapata rais mwingine mwenye asili ya Afrika kuweza kuliongoza taifa hilo kubwa na tajiri sana duniani na lenye nguvu nyingi za kijeshi.

Hilo pia litadhihirisha jinsi taifa la Marekani ilivyokomaa kidemokrasia kwa kuweza kuchagua mgombea wa nafasi nyeti kama ya urais bila kujali mambo ya kipuuzi kama rangi na jinsia tofauti na nchi nyingi duniani.

 
Hakuna demokrasia marekani Bali uhuru wa maoni, Clinton alimshinda kwa kura trump lakini trump ndiye aliyekaa ikulu baada ya deep state (electoral college) kumpa nchi trump,uchaguzi wa huko hakuna mwaka senate na congress vyote vikawa chini ya chama kimoja Cha rais aliyeshinda
 
Mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha Democratic nchini Marekani Bibi Kamala Harris ameanza kumuwashia taa ya indicator mgombea wa chama cha Republican Bw. Donald Trump.

Hii ni kufuatia matokeo mbalimbali za kura za maoni zilizotolewa na mashirika kadhaa ya nchini humo.

Na kama hali itakuwa hivyo hadi mwisho basi huenda taifa la Marekani likapata rais mwingine mwenye asili ya Afrika kuweza kuliongoza taifa hilo kubwa na tajiri sana duniani na lenye nguvu nyingi za kijeshi.

Hilo pia litadhihirisha jinsi taifa la Marekani ilivyokomaa kidemokrasia kwa kuweza kuchagua mgombea wa nafasi nyeti kama ya urais bila kujali mambo ya kipuuzi kama rangi na jinsia tofauti na nchi nyingi duniani.

Kamala Harris hana hata chembe ya uafrika. Baba yake ana asili ya Jamaica mama yake ni mhindi purest!
 
Mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha Democratic nchini Marekani Bibi Kamala Harris ameanza kumuwashia taa ya indicator mgombea wa chama cha Republican Bw. Donald Trump.

Hii ni kufuatia matokeo mbalimbali za kura za maoni zilizotolewa na mashirika kadhaa ya nchini humo.

Na kama hali itakuwa hivyo hadi mwisho basi huenda taifa la Marekani likapata rais mwingine mwenye asili ya Afrika kuweza kuliongoza taifa hilo kubwa na tajiri sana duniani na lenye nguvu nyingi za kijeshi.

Hilo pia litadhihirisha jinsi taifa la Marekani ilivyokomaa kidemokrasia kwa kuweza kuchagua mgombea wa nafasi nyeti kama ya urais bila kujali mambo ya kipuuzi kama rangi na jinsia tofauti na nchi nyingi duniani.

Marekani hamna demokrasia yaani wewe upo Njombe unatulisha ujinga wako kuwa Marekani kuna demokrasia Trump mwenyewe anasema aliibiwa kura na anatoa wito wa kulinda kura.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
DONALD TRUMP, alluding that the 2020 vote was stolen: “Whether you vote early, absentee, by mail or in person, we are going to protect the vote. That’s the most important thing we have to do is protect the vote. Keep your eyes open because these people want to cheat and they do cheat. And frankly, it’s the only thing they do well.”

THE FACTS: In a prerecorded video at the Republican National Convention on Wednesday, former President Donald Trump referenced baseless claims he made repeatedly after he lost the 2020 presidential race — that the election was “rigged” and that Democrats cheated to put President Joe Biden in the White House.

The election was not stolen.
 
Mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha Democratic nchini Marekani Bibi Kamala Harris ameanza kumuwashia taa ya indicator mgombea wa chama cha Republican Bw. Donald Trump.

Hii ni kufuatia matokeo mbalimbali za kura za maoni zilizotolewa na mashirika kadhaa ya nchini humo.

Na kama hali itakuwa hivyo hadi mwisho basi huenda taifa la Marekani likapata rais mwingine mwenye asili ya Afrika kuweza kuliongoza taifa hilo kubwa na tajiri sana duniani na lenye nguvu nyingi za kijeshi.

Hilo pia litadhihirisha jinsi taifa la Marekani ilivyokomaa kidemokrasia kwa kuweza kuchagua mgombea wa nafasi nyeti kama ya urais bila kujali mambo ya kipuuzi kama rangi na jinsia tofauti na nchi nyingi duniani.

Huyo ni mdosi hana hata asili ya kiafrica, pili jeshi la America halitakuwa tena super power, limenda jichimbia kaburi middle east litapewa kipigo halita sahau maishani kwake yeye na Israel
 
Demokrasia iliyoshiba na kwenda Shule.
 
Huyo ni mdosi hana hata asili ya kiafrica, pili jeshi la America halitakuwa tena super power, limenda jichimbia kaburi middle east litapewa kipigo halita sahau maishani kwake yeye na Israel
Una maana gani kwani watu weusi asili yao wapi ni Asia au Amerika ya Kusini. Watu wengine wamekaa kupinga tu ilimradi waonekane wameandika. Bure kabisa.
 
Huyo ni mdosi hana hata asili ya kiafrica, pili jeshi la America halitakuwa tena super power, limenda jichimbia kaburi middle east litapewa kipigo halita sahau maishani kwake yeye na Israel
Wewe unaongea kwa misingi ya imani ya kidini kwa sababu unaongelea vita ambavyo havijafanyika bado na kujitangazia matokeo feki.
 
Marekani hamna demokrasia yaani wewe upo Njombe unatulisha ujinga wako kuwa Marekani kuna demokrasia Trump mwenyewe anasema aliibiwa kura na anatoa wito wa kulinda kura.

DONALD TRUMP, alluding that the 2020 vote was stolen: “Whether you vote early, absentee, by mail or in person, we are going to protect the vote. That’s the most important thing we have to do is protect the vote. Keep your eyes open because these people want to cheat and they do cheat. And frankly, it’s the only thing they do well.”

THE FACTS: In a prerecorded video at the Republican National Convention on Wednesday, former President Donald Trump referenced baseless claims he made repeatedly after he lost the 2020 presidential race — that the election was “rigged” and that Democrats cheated to put President Joe Biden in the White House.

The election was not stolen.
Kwa mtazamo wako unafikiri ni mataifa gani unayoweza kusema ni ya kidemokrasia zaidi duniani.
 
Marekani hamna demokrasia yaani wewe upo Njombe unatulisha ujinga wako kuwa Marekani kuna demokrasia Trump mwenyewe anasema aliibiwa kura na anatoa wito wa kulinda kura.

DONALD TRUMP, alluding that the 2020 vote was stolen: “Whether you vote early, absentee, by mail or in person, we are going to protect the vote. That’s the most important thing we have to do is protect the vote. Keep your eyes open because these people want to cheat and they do cheat. And frankly, it’s the only thing they do well.”

THE FACTS: In a prerecorded video at the Republican National Convention on Wednesday, former President Donald Trump referenced baseless claims he made repeatedly after he lost the 2020 presidential race — that the election was “rigged” and that Democrats cheated to put President Joe Biden in the White House.

The election was not stolen.
Trump aliambiwa aende mahakamani akathibitishe namna ambavyo uchaguzi ulihujumiwa lakini alishindwa jambo linalo thibitisha kwamba madai yake hayakuwa ya kweli.
 
Trump aliambiwa aende mahakamani akathibitishe namna ambavyo uchaguzi ulihujumiwa lakini alishindwa jambo linalo thibitisha kwamba madai yake hayakuwa ya kweli.
Wewe hata ufahamu unachotetea ufahamu chochote kuhusu Marekani aliambiwa na nani? wakati wanasheria wake walepeleka kesi mahakamani ya wizi wa kura Jaji akatupilia mbali hiyo kesi. Bado povu linakutoka kuwa Marekani kuna demokrasia.😀
 
Mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha Democratic nchini Marekani Bibi Kamala Harris ameanza kumuwashia taa ya indicator mgombea wa chama cha Republican Bw. Donald Trump.

Hii ni kufuatia matokeo mbalimbali za kura za maoni zilizotolewa na mashirika kadhaa ya nchini humo.

Na kama hali itakuwa hivyo hadi mwisho basi huenda taifa la Marekani likapata rais mwingine mwenye asili ya Afrika kuweza kuliongoza taifa hilo kubwa na tajiri sana duniani na lenye nguvu nyingi za kijeshi.

Hilo pia litadhihirisha jinsi taifa la Marekani ilivyokomaa kidemokrasia kwa kuweza kuchagua mgombea wa nafasi nyeti kama ya urais bila kujali mambo ya kipuuzi kama rangi na jinsia tofauti na nchi nyingi duniani.

Kwenye issue ya Democracy,Taifa la Marekani wana mengi ya Kujifunza kutoka Tanzania. waambie milango ipo wazi.
 
Hapana haifai inaangamiza maadili vibaya sana marekani inajimaliza kwa ndani yenyewe.
 
Huyo ni mdosi hana hata asili ya kiafrica, pili jeshi la America halitakuwa tena super power, limenda jichimbia kaburi middle east litapewa kipigo halita sahau maishani kwake yeye na Israel
Siyo kweli. Baba yake alitokana na familia yenye asili ya kiafrika na kizungu. Ila Mama yake ni Mhindi. Hivyo, ukisema hana chembe ya Kiafrika siyo sawa. Wajamaika wengi wana asili ya Afrika.
 
Nani amekuambia Marekani kuna demokrasia? Hakuna kitu kama hicho, ila wanaigiza kufuata demokrasia lakini vyama vyote viwili master wao ni mmoja.
 
Mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha Democratic nchini Marekani Bibi Kamala Harris ameanza kumuwashia taa ya indicator mgombea wa chama cha Republican Bw. Donald Trump.

Hii ni kufuatia matokeo mbalimbali za kura za maoni zilizotolewa na mashirika kadhaa ya nchini humo.

Na kama hali itakuwa hivyo hadi mwisho basi huenda taifa la Marekani likapata rais mwingine mwenye asili ya Afrika kuweza kuliongoza taifa hilo kubwa na tajiri sana duniani na lenye nguvu nyingi za kijeshi.

Hilo pia litadhihirisha jinsi taifa la Marekani ilivyokomaa kidemokrasia kwa kuweza kuchagua mgombea wa nafasi nyeti kama ya urais bila kujali mambo ya kipuuzi kama rangi na jinsia tofauti na nchi nyingi duniani.

Sahau
 
Sina nia yakuwatukana ila nawapa ukweli
Niwajinga pekee na wapumbavu watakaosema americant kuna demokrasia
Americant inatakiwa ije afrika kufunzwa maana halisi ya demokrasia
 
Back
Top Bottom