Demokrasia iliyopo ndani ya CCM ni mfano wa kuigwa kwa vyama vyote Barani Afrika, hakuna wa kukiondoa madarakani

CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.
CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo na ccm ndio chama chenye uchungu na maisha ya watanzania
 
Sahihi kabisa Lucas
 
Kama anaamini basi atakuwa tahira.Ila sababu pekee nayoiona ya kuandika huo upuuzi ni hela anayolipwa
Kama wewe unalipwa kwa ajili ya kuja kutukana watu hapa usifikirie hata Mimi nalipwa kuandika na kuwasilisha mawazo yangu hapa
 
 

Attachments

  • Screenshot_20221207-000707_Samsung Internet.jpg
    161.5 KB · Views: 3
Membe alikuwa na Msemo wa "Niguse ninuke" kama ngao ya Kujikinga na Mizengwe kutoka kwenye Chama Chake.

Dr.Bashiru kaja na Msemo Mpya wa "Toboa Mtumbwi,tugawane Mbao"

Ndiyo unaowatishia Viongozi wa CCM Kumgusa,kuhofia Chama chao kufa kama watamgusa au Kumuita Ktk Maadili
 
Mshana jr ndani ya CCM Hakuna aliye mkubwa na hakuna anayeweza kuitisha CCM kwa maneno au hata matendo, CCM Ni kubwa kuliko mtu Binafsi,CCM Ni kubwa kuliko yeyote,hata uwe umewahi kushika ngazi gani ndani ya CCM na serikali ya CCM utabaki kuwa mdogo kwa CCM, Hii Ni Taasisi kweliii kweliii iliyo imara na nguvu zisizo mithirika ndio maana huwezi ukaichezea CCM kwa namna yoyote ile,. CCM inaweza kukukuza na kukushusha,inaweza kukupa umaarufu na kukubomoa,inaweza kukutengeneza ukawa jitu Kama jabali na inaweza pia ikakushusha ukawa mdogo Kama vidonge vya piritoni, Mtu binafsi huwezi kuishusha CCM maana mfumo wake Ni imara Sana na huwezi kupambana nayo kuiangamiza au kuisambalatisha maana utakuwa unapamba na Dude moja kubwa Sana ambalo huwezi hata kulishika au kujuwa ulipige wapi
 
No ya cm ishaonekana nakushaur ndugu tuma CV yako kweny email address ya CCM itarahisisha hili zoezi!!
 
CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo na ccm ndio chama chenye uchungu na maisha ya watanzania

Matumaini au mnapora uchaguzi mkae madarakani kwa shuruti ili kushibisha familia zenu? Kukatika kwa umeme ndio utatuzi wa matumaini ya watanzania?
 
Matumaini au mnapora uchaguzi mkae madarakani kwa shuruti ili kushibisha familia zenu? Kukatika kwa umeme ndio utatuzi wa matumaini ya watanzania?
Napendekeza huyu chawa Lucas Mwashambwa asijibiwe mwacheni aendelee kujidhalilisha wateuzi wenyewe wameshampuuza
 
Ru
Ruhusuni free na fair election muone Kama hamtiki asubuhi mapema. Polisi wasiingilie mikutano ya vyama vya upinzani muoni Kama hamng'oki asubuhi. Ruhusuni mikutano ya siasa muone Kama hamfungashi vilago kabla jogoo hajawika. Acheni kuteka na kuua kwa masasi Kama mlivyofanya kummiminia lisu lisasi ili kumuua muone Kama hamkojoi haraka Sana. Finally ruhusuni kuwe na time huru ya uchaguzi muone Kama hamjanya karanga.
 
Msafwa
siku hizi amecharuka tatizo hana anuani ya barua pepe.
 
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda na kupita kwa kishindooo kikubwa,kinachoibeba CCM Ni Sera na ajenda zake zinazomgusa mtanzania. Utekelezaji Bora wa ilani yake yenye kubeba masuala yote muhimu kwa wananchi ndiko kunakoifanya CCM Kuendelea kuaminika na kukubalika na watanzania
 
Napendekeza huyu chawa Lucas Mwashambwa asijibiwe mwacheni aendelee kujidhalilisha wateuzi wenyewe wameshampuuza
Ni dalili za kuishiwa hoja ndio maana unaikimbia uwanja,Huwezi ikakua kiakili kwa mawazo yako mwenyewe, lazima Akili yako utadumaa na Nina Ina dalili za kuanza kudumaa kwako maana naonaga kila Siku wewe Ni mtu wa matusi tu
 
Hivi hizi ni akili zako, au umepagawa na mapepo. Kwa mtu mwenye akili hawezi andika upuuzi kama huu hata kama ana njaa. Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…