Demokrasia iliyopo ndani ya CCM ni mfano wa kuigwa kwa vyama vyote Barani Afrika, hakuna wa kukiondoa madarakani

1. Nimeishia kusoma kichwa cha uzi kisha nikaanza kusoma comment

2. Imebidi niangalie ID ya mleta mada

3. Ikabidi niangalie na profile ya mleta mada nikakuta ni ID mpya hata miezi sita haijakamilisha
4. Mleta mada anaposts elfu tatu huku reaction score zikiwa elfu moja maana yake asilimia kubwa ya post zake ni pumba/anapost kutafuta umaarufu

Nimewasilisha
 
Nakuhakikishia kuwa ccm bila wizi haiwezi kushinda popote!
 
Demokrasia ya kura za NDIO na HAPANA.......
 
Hapo uliposema hakuna wakuitoa madarakani nakuunga mkono, lakini Hapo kwenye demokrasia Kama uzi wako ungekua ni dunia ama gari la kwenda mbinguni kwakweli ningekuomba nishuke(Mana mbinguni Kuna moto na pepo, gari lenu lingeruhusiwa kwenda motoni ambako kwa binafsi sihitaji kwenda huko).
Nimekuunga mkono kwa maana ya kuwa ni vigumu hicho chama kutoka madarakani kwa sababu hakiishi misingi ya demokrasia.
Moja ya definition Nyepesi ya demokrasia Ni ile isemayo demokrasia Ni serikali ya watu(raia) iliyoundwa na watu(wananchi) kwa ajili ya watu( wananchi+raia). Ila demokrasia ya chama chetu inaruhusu kupatikana serikali yao iliyoundwa na wao kwaajili yao, ugumu wa wao kutoka madarakani ndo unapatikana Hapo.
 
KIJANA MZIMA UNAKUWA MJINGA KIASI HICHO KWELI
 
Kama chama haikiwezi kuondoka madarakani basi hakina tofauti na Mseven, kagame nk, chama gani toka kianzianzishwe hakijawahi kuwa na rais mbovu na kumtimua hiyo ni kasoro kubwa, chama badala ya kumkemea rais au serikali serikali inakemea chama.Bunge badala ya kukemea serikali, zerikali inakemea bunge na wewe kama ni mbunge ukainua mabega kwa serikali miaka 5 ikiisha harudi tena bungeni.Hiyo ndio ccm uipendayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…