Demokrasia iliyopo ndani ya CCM ni mfano wa kuigwa kwa vyama vyote Barani Afrika, hakuna wa kukiondoa madarakani

Demokrasia iliyopo ndani ya CCM ni mfano wa kuigwa kwa vyama vyote Barani Afrika, hakuna wa kukiondoa madarakani

Ni dalili za kuishiwa hoja ndio maana unaikimbia uwanja,Huwezi ikakua kiakili kwa mawazo yako mwenyewe, lazima Akili yako utadumaa na Nina Ina dalili za kuanza kudumaa kwako maana naonaga kila Siku wewe Ni mtu wa matusi tu
Endelea tu kujidhalilisha. CCM ina wenyewe na wewe siyo mmoja wao, wenyewe wanakuchora tu na ushamba wako.
 
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda na kupita kwa kishindooo kikubwa,kinachoibeba CCM Ni Sera na ajenda zake zinazomgusa mtanzania. Utekelezaji Bora wa ilani yake yenye kubeba masuala yote muhimu kwa wananchi ndiko kunakoifanya CCM Kuendelea kuaminika na kukubalika na watanzaniMbona wona

Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda na kupita kwa kishindooo kikubwa,kinachoibeba CCM Ni Sera na ajenda zake zinazomgusa mtanzania. Utekelezaji Bora wa ilani yake yenye kubeba masuala yote muhimu kwa wananchi ndiko kunakoifanya CCM Kuendelea kuaminika na kukubalika na watanzania
Mbona mnogopa mikutano ya siasa sasa? Ruhusuni muone mziki wa chadema. We unacheza peke yako uwanjani halafu ukifinga unajidai kwamba unajua mpira! Huo ni upumbavu
 
Mbona mnogopa mikutano ya siasa sasa? Ruhusuni muone mziki wa chadema. We unacheza peke yako uwanjani halafu ukifinga unajidai kwamba unajua mpira! Huo ni upumbavu
Hivi ulishaona Marekani wakishamaliza uchaguzi wao wanaanza kuzurula zurula mitaani Kama nyinyi wapinzani mnavyotaka hapa?
 
Hivi ulishaona Marekani wakishamaliza uchaguzi wao wanaanza kuzurula zurula mitaani Kama nyinyi wapinzani mnavyotaka hapa?
Mbona ccm mnafanya mikutano daily na mnashindana kuzulula mikoani. Marekani ingekuwa role model wenu kwa nini hamuigi demokrasia yao thru tume huru ya uchaguzi. Mbona mnaiba kura kila kukicha. Mmeshaona marekani Kuna mbungea ua diwani anapita bila kupingwa popote. Achiezi huo wizi ndo mjisifu mnapendwa au la.
 
Ndugu zangu CCM Ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga Tu,Huwezi ukazikwepa kuzisikia habari za CCM,huwezi ukajipa upofu wa kutokuona ukubwa na mizizi ya cccm hapa nchini,huwezi ukazuia habari za CCM na ukafanikiwa,huwezi ukaishinda CCM katika medani za kisiasa,huwezi ukaibomoa CCM hata kwa nyundo,huwezi ukaisambaratisha CCM kwa mdomo wako au fedha zako au mikono yako,huwezi ukaiteka CCM na kuifanya Kama Mali yako,huwezi ukaiteka CCM na kuiweka mfukoni mwako na ikakaa na kutosha Wala huwezi ukaihifadhi CCM katika begi lako.

CCM Ni kubwa ,Ni kubwa kuliko mtu mwingine yeyote,Ni kubwa kuliko mtu binafsi,Ni kubwa kuliko jina la mtu binafsi,CCM ni Taasisi,Taasisi iliyo imara ,nguvu na ushupavu wa kiuongozi, mizizi ya CCM Ni mirefu mikubwa ,mipana na iliyokwenda mbali sana,. Hakuna taasisis au eneo ambako hutaikuta CCM na Wana CCM,kila mahali lazima uikute CCM,lazima uione CCM,lazima uone sauti,ishara na matawi ya CCM, Ni CCM kila mahali ,Ni ccm kila eneo,Ni CCM kila uendako lazima uikute CCM na kukutana na nguvu ya CCM.

Huwezi ukaitisha Wala kuiyumbisha Wala kuikoromea CCM,.Hakuna mtu mwenye uwezo huo ,hayupo na Wala bado hajazaliwa.ukiondoka CCM kwa mbwembwe utarudi CCM kwa magoti na majuto ya kuondoka. Hakuna anayeweza kuondoka ndani ya CCM na akaiishi kwa amani uhamishoni,lazima aikumbuke CCM maana ndani ya CCM Kuna demokrasia ya kutosha na upendo wa kutosha

Hakuna ubaguzi Wala kubaguana ndani ya CCM,Hakuna udini Wala ukabila Wala ukanda ndani ya CCM,bali ndani ya CCM Kuna watu wa Dini zote,makabila yote na Kanda zote na wote wanaishi kwa amani upendo ushirikiano na mshikamano. Ndani ya CCM yeyote anaweza kuwa kiongozi wa ngazi yoyote Ile bila kujari familia aliyotokea kiuchumi. Ndani ya CCM wanachama wote Wana nafasi sawa,

Kinachokubeba kiuongozi na kuwa kiongozi ndani ya CCM ni Sera zako,sifa zako kiuongozi katika kumudu majukumu ya uongozi, kukubalika kwako na ushawishi wako kwa wanachama wenzako na mengine Kama hayo. Ndani ya CCM mfuko wako wa fedha siyo tiketi ya kupewa uongozi maana unaweza ukatoa fedha na ukanyimwa Kura.

Hakika vyama vingine Barani Afrika vina kila sababu ya kujifunza demokrasia Iliyopo Ndani ya CCM katika kuendesha mambo yake na kushughulikia migogoro ya wanachama wake. Vyama vya upinzani viache kujiendesha Kama vikundi vya watu binafsi kwa maslahi ya familia zao,visijiendshe Kama miradi ya kujipatia vipato binafsi,vsiwe Kama vitega uchumi vya watu kwa maslahi Binafsi.

Hakuna wakuitoa CCM madarakani,Hakuna chama Wala mtu mwenye ubavu huo,hayupo na Wala hajazaliwa bado. Hakuna chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Kama ilivyo kwa CCM,ndio maana vyama vingine vinapuuzwa na kudharaulika Sana, huku CCM ikiendelea kukubalika na kuungwa mkono na mamillion ya watanzania kutokana na umadhubuti na ushupavu wake kiuongozi na kimfumo ulio imara na Thabiti.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Hiyo namba ya simu umeweka ili wasipate shida ya kukupa taarifa pindi uteuliwapo?.
 
Hiyo kazi uliyoivaa kwa sasa we bwana ni kazi ngumu sana. Wenzio wengi wamepitia. Ni kazi ngumu kuisafisha ccm. Imeoza bado tu wananchi kuipinga live barabarani.
Kwa sasa endeleeni tu kunyang'anya chaguzi kwa mabavu
 
Ndugu zangu CCM Ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga Tu,Huwezi ukazikwepa kuzisikia habari za CCM,huwezi ukajipa upofu wa kutokuona ukubwa na mizizi ya cccm hapa nchini,huwezi ukazuia habari za CCM na ukafanikiwa,huwezi ukaishinda CCM katika medani za kisiasa,huwezi ukaibomoa CCM hata kwa nyundo,huwezi ukaisambaratisha CCM kwa mdomo wako au fedha zako au mikono yako,huwezi ukaiteka CCM na kuifanya Kama Mali yako,huwezi ukaiteka CCM na kuiweka mfukoni mwako na ikakaa na kutosha Wala huwezi ukaihifadhi CCM katika begi lako.

CCM Ni kubwa ,Ni kubwa kuliko mtu mwingine yeyote,Ni kubwa kuliko mtu binafsi,Ni kubwa kuliko jina la mtu binafsi,CCM ni Taasisi,Taasisi iliyo imara ,nguvu na ushupavu wa kiuongozi, mizizi ya CCM Ni mirefu mikubwa ,mipana na iliyokwenda mbali sana,. Hakuna taasisis au eneo ambako hutaikuta CCM na Wana CCM,kila mahali lazima uikute CCM,lazima uione CCM,lazima uone sauti,ishara na matawi ya CCM, Ni CCM kila mahali ,Ni ccm kila eneo,Ni CCM kila uendako lazima uikute CCM na kukutana na nguvu ya CCM.

Huwezi ukaitisha Wala kuiyumbisha Wala kuikoromea CCM,.Hakuna mtu mwenye uwezo huo ,hayupo na Wala bado hajazaliwa.ukiondoka CCM kwa mbwembwe utarudi CCM kwa magoti na majuto ya kuondoka. Hakuna anayeweza kuondoka ndani ya CCM na akaiishi kwa amani uhamishoni,lazima aikumbuke CCM maana ndani ya CCM Kuna demokrasia ya kutosha na upendo wa kutosha

Hakuna ubaguzi Wala kubaguana ndani ya CCM,Hakuna udini Wala ukabila Wala ukanda ndani ya CCM,bali ndani ya CCM Kuna watu wa Dini zote,makabila yote na Kanda zote na wote wanaishi kwa amani upendo ushirikiano na mshikamano. Ndani ya CCM yeyote anaweza kuwa kiongozi wa ngazi yoyote Ile bila kujari familia aliyotokea kiuchumi. Ndani ya CCM wanachama wote Wana nafasi sawa,

Kinachokubeba kiuongozi na kuwa kiongozi ndani ya CCM ni Sera zako,sifa zako kiuongozi katika kumudu majukumu ya uongozi, kukubalika kwako na ushawishi wako kwa wanachama wenzako na mengine Kama hayo. Ndani ya CCM mfuko wako wa fedha siyo tiketi ya kupewa uongozi maana unaweza ukatoa fedha na ukanyimwa Kura.

Hakika vyama vingine Barani Afrika vina kila sababu ya kujifunza demokrasia Iliyopo Ndani ya CCM katika kuendesha mambo yake na kushughulikia migogoro ya wanachama wake. Vyama vya upinzani viache kujiendesha Kama vikundi vya watu binafsi kwa maslahi ya familia zao,visijiendshe Kama miradi ya kujipatia vipato binafsi,vsiwe Kama vitega uchumi vya watu kwa maslahi Binafsi.

Hakuna wakuitoa CCM madarakani,Hakuna chama Wala mtu mwenye ubavu huo,hayupo na Wala hajazaliwa bado. Hakuna chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Kama ilivyo kwa CCM,ndio maana vyama vingine vinapuuzwa na kudharaulika Sana, huku CCM ikiendelea kukubalika na kuungwa mkono na mamillion ya watanzania kutokana na umadhubuti na ushupavu wake kiuongozi na kimfumo ulio imara na Thabiti.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Mbona ugolo wa siku ni kama una sumu[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Hiyo kazi uliyoivaa kwa sasa we bwana ni kazi ngumu sana. Wenzio wengi wamepitia. Ni kazi ngumu kuisafisha ccm. Imeoza bado tu wananchi kuipinga live barabarani.
Kwa sasa endeleeni tu kunyang'anya chaguzi kwa mabavu
CCM inaaminika na kukubalika Sana na watanzania,Ndio sababu ya kupigiwa kura na kuungwa mkono kila uchaguzi kunakotokana na kuwa na Sera na ajenda nzuri zinazogusa maisha ya watanzania
 
Mbona ccm mnafanya mikutano daily na mnashindana kuzulula mikoani. Marekani ingekuwa role model wenu kwa nini hamuigi demokrasia yao thru tume huru ya uchaguzi. Mbona mnaiba kura kila kukicha. Mmeshaona marekani Kuna mbungea ua diwani anapita bila kupingwa popote. Achiezi huo wizi ndo mjisifu mnapendwa au la.
Inachofanya CCM Ni ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani take katika kuwatumikia na kuwahudumia watanzania,kuangalia Kama watanzania wanapata huduma Bora na stahiki, kuangalia Kama watanzania wanatendewa haki katika kuhudumiwa, kuangalia Kama maendeleo yanakwenda kwa wakati muafaka kwa watanzania,kuangalia Kama Kodi za watanzania zinatumika vyema
 
Yaani samia apate kura 1114 ktk kura 1115??eti ndo demokrasia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi ulishaona Marekani wakishamaliza uchaguzi wao wanaanza kuzurula zurula mitaani Kama nyinyi wapinzani mnavyotaka hapa?
Mbona ccm mnafanya mikutano daily na mnashindana kuzulula mikoani. Marekani ingekuwa role model wenu kwa nini hamuigi demokrasia yao thru tume huru ya uchaguzi. Mbona mnaiba kura kila kukicha. Mmeshaona marekani Kuna mbungea ua diwani anapita bila kupingwa popote.
Inachofanya CCM Ni ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani take katika kuwatumikia na kuwahudumia watanzania,kuangalia Kama watanzania wanapata huduma Bora na stahiki, kuangalia Kama watanzania wanatendewa haki katika kuhudumiwa, kuangalia Kama maendeleo yanakwenda kwa wakati muafaka kwa watanzania,kuangalia Kama Kodi za watanzania zinatumika vyema
Katiba inasemaje na kwa nini mnaivunja waziwazi na mahakama zenu zipo kimya. Je mmeshabadilisha katba kinyemela ili tujue!!
 
Ndugu zangu CCM Ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga Tu,Huwezi ukazikwepa kuzisikia habari za CCM,huwezi ukajipa upofu wa kutokuona ukubwa na mizizi ya cccm hapa nchini,huwezi ukazuia habari za CCM na ukafanikiwa,huwezi ukaishinda CCM katika medani za kisiasa,huwezi ukaibomoa CCM hata kwa nyundo,huwezi ukaisambaratisha CCM kwa mdomo wako au fedha zako au mikono yako,huwezi ukaiteka CCM na kuifanya Kama Mali yako,huwezi ukaiteka CCM na kuiweka mfukoni mwako na ikakaa na kutosha Wala huwezi ukaihifadhi CCM katika begi lako.

CCM Ni kubwa ,Ni kubwa kuliko mtu mwingine yeyote,Ni kubwa kuliko mtu binafsi,Ni kubwa kuliko jina la mtu binafsi,CCM ni Taasisi,Taasisi iliyo imara ,nguvu na ushupavu wa kiuongozi, mizizi ya CCM Ni mirefu mikubwa ,mipana na iliyokwenda mbali sana,. Hakuna taasisis au eneo ambako hutaikuta CCM na Wana CCM,kila mahali lazima uikute CCM,lazima uione CCM,lazima uone sauti,ishara na matawi ya CCM, Ni CCM kila mahali ,Ni ccm kila eneo,Ni CCM kila uendako lazima uikute CCM na kukutana na nguvu ya CCM.

Huwezi ukaitisha Wala kuiyumbisha Wala kuikoromea CCM,.Hakuna mtu mwenye uwezo huo ,hayupo na Wala bado hajazaliwa.ukiondoka CCM kwa mbwembwe utarudi CCM kwa magoti na majuto ya kuondoka. Hakuna anayeweza kuondoka ndani ya CCM na akaiishi kwa amani uhamishoni,lazima aikumbuke CCM maana ndani ya CCM Kuna demokrasia ya kutosha na upendo wa kutosha

Hakuna ubaguzi Wala kubaguana ndani ya CCM,Hakuna udini Wala ukabila Wala ukanda ndani ya CCM,bali ndani ya CCM Kuna watu wa Dini zote,makabila yote na Kanda zote na wote wanaishi kwa amani upendo ushirikiano na mshikamano. Ndani ya CCM yeyote anaweza kuwa kiongozi wa ngazi yoyote Ile bila kujari familia aliyotokea kiuchumi. Ndani ya CCM wanachama wote Wana nafasi sawa,

Kinachokubeba kiuongozi na kuwa kiongozi ndani ya CCM ni Sera zako,sifa zako kiuongozi katika kumudu majukumu ya uongozi, kukubalika kwako na ushawishi wako kwa wanachama wenzako na mengine Kama hayo. Ndani ya CCM mfuko wako wa fedha siyo tiketi ya kupewa uongozi maana unaweza ukatoa fedha na ukanyimwa Kura.

Hakika vyama vingine Barani Afrika vina kila sababu ya kujifunza demokrasia Iliyopo Ndani ya CCM katika kuendesha mambo yake na kushughulikia migogoro ya wanachama wake. Vyama vya upinzani viache kujiendesha Kama vikundi vya watu binafsi kwa maslahi ya familia zao,visijiendshe Kama miradi ya kujipatia vipato binafsi,vsiwe Kama vitega uchumi vya watu kwa maslahi Binafsi.

Hakuna wakuitoa CCM madarakani,Hakuna chama Wala mtu mwenye ubavu huo,hayupo na Wala hajazaliwa bado. Hakuna chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Kama ilivyo kwa CCM,ndio maana vyama vingine vinapuuzwa na kudharaulika Sana, huku CCM ikiendelea kukubalika na kuungwa mkono na mamillion ya watanzania kutokana na umadhubuti na ushupavu wake kiuongozi na kimfumo ulio imara na Thabiti.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Naunga mkono hoja. Hata Korea ya Kaskazini wanademokrasia kama ya ccm. Nawahimiza USA nao waige mfano wa demokrasia ya ccm waiweke kwenye katiba yao kabisa ya mwaka 1788
 
Back
Top Bottom