Demokrasia inavyohujumiwa CCM. Mwenyekiti hana mshindani

Ahaaa,Chedema na demokrasia ni mbalimbali.
Zito,Sumaye,Mwambe walitaka uenyekiti,kilichowapata ni kupewa zengwe mpaka wakahama.
Lowasa alikuja Chadema akafikia kwenye kiti cha kugombea Urais bila mchakato.
 
Unapotenganisha kofia kunakuwa na checks and balances vinginevyo mtaishia kuwa na madikteta!
 
Mkitaka pakalike hapo nafasi ya Makamo mwombeni Tundu Lissu (Mumwombe msamaha) ashike hiyo nafasi kama ilivyo kwa Zanzibar alivyopewa Mgombea toka upinzani.

Kinyume na hapo mta parurana mpaka msambaratike.Maana makundi yote kambale.
 
Unapotenganisha kofia kunakuwa na checks and balances vinginevyo mtaishia kuwa na madikteta!
Mimi kama mwananchi sitaki nimpigie Rais kura... Halafu nijue kuwa ana bosi anayepigiwa kura na subset ya Taifa (Chama) that's illogical. Na huyo boss anaweza kunulify his(Rais) existence lkwenye.ofisi niliyompigia kura kumchagua na hakuna kitu naweza kufanya juu ya hilo.
 
Usichokijua ni kwamba unapokuwa Rais unaetokana na CCM unakuwa moja kwa moja mwenyekiti wa chama.
 
Msajili wa vyama hapo hutamsikia kabisaaa!
 
Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.[emoji1548][emoji1534][emoji1752]

Ahhhhhh. Huwa mnaanza kuwa wanachama kabla ya kuwa watu au watu baada ya kuwa wanachama. Mkuu unatia Aibu. Unatetea Nini Sasa hapa.
 
Ninavyojua hapa Tanzania hakuna chama chenye Demokrasia kilichopo hapa ni kila mwamba ngoma ngozi huvutia kwake
 
Kumbuka mwenyekiti wa chama hawezi kunulify Urais mwenyewe bali chama kupitia uongozi mzima kwa kupiga kura.
 
Usichokijua ni kwamba unapokuwa Rais unaetokana na CCM unakuwa moja kwa moja mwenyekiti wa chama.
Je pindi CCM itakapokosa Urais wa nchi kitapataje mwenyekiti wake?
 
Je,katiba ya chadema imekiukwa katika hilo?Mbowe amekuwa akihonga au kuwatishia wajumbe ili wamchague?
Huu utetezi kama wa viongozi wa ug and rwan Hauwezekani. Hakuna demokrasia ya aina hiyo. Binadamu ni viumbe wenye curiosity sana, wna hamu ya kuonja ladha tofauti baada ya muda fulani, hata kama ww ni kiongozi mzuri kiasi gani lazima kuna kipindi hutachaguliwa. Utlist hata mara kadhaa kisha urudishwe. Kuna namna mbowe anafanya.
 

Ili ccm iendelee kudumu na ifaidike na dola lazima rais awe mwenyekiti wa ccm. Hilo linafanyika kimkakati, ccm inajua kuachia kiti cha rais kikaliwe na mtu ambaye sio mwenyekiti wake ni kuingia kaburini moja kwa moja.
 
Kumbuka mwenyekiti wa chama hawezi kunulify Urais mwenyewe bali chama kupitia uongozi mzima kwa kupiga kura.
Anayeongoza hivyo chama kuandaa agenda, na kupiga kura anakuwa nani!?

Mwenyekiti wa chama is the most feared, respected and influencial person in the party. Natarajia kuona wanachama walimsikiliza vyema yeye zaidi ..kama mlinzi wa Dira yao kama taasisi.

Yaani Lissu awe Rais halafu awe na influence kubwa kwenye chama kuliko Mbowe!? This system gives the president an ability to manage a County well. Na nchi ni pamoja na Chama cha CCM ... Ni Muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…