Demokrasia inavyohujumiwa CCM. Mwenyekiti hana mshindani

Demokrasia inavyohujumiwa CCM. Mwenyekiti hana mshindani

Shida ni kuwa bado hajasimikwa rasmi, ndiyo sababu vikao vinavyoendelea vinaendeshwa na Mangula
Wampe Samia uenyekiti haraka!
👆ni kama namsikiliza Magu anaamrisha huko aliko rahani! Duh, tutam'miss' sana i see!
 
ccm hawajahai kujitapa kokote kuwa wanaijua demokrasia...
Na muhimu ujue kuwa ccm bado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja na uhafidhina...
Sidhani hata kama ccm kinafiti kuwa chama cha siasa...
 
ccm hawajahai kujitapa kokote kuwa wanaijua demokrasia...
Na muhimu ujue kuwa ccm bado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja na uhafidhina...
Sidhani hata kama ccm kinafiti kuwa chama cha siasa...
Ndio chama dola sasa, ndio chama tawala sasa unasemaje!?
 
Kiti cha mwenyekiti wa CCM Taifa kiko wazi baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kinachofuata hivi sasa ni kumsimika Mama Samia Suluhu kuwa mwenyekiti mpya baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Hii si sawa kabisa na wala hakuna demokrasia hapo!

Kwanini kusifanyike uchaguzi ili wanachama wenye sifa washindanishwe kwa kupigiwa kura? Iko wapi demokrasia ambayo CCM inajitapa nayo? Makundi ndani ya CCM yanazaliwa kwa sababu hii. Kwani CCM isingeshinda kiti cha Urais utaratibu upi ungefuatwa kumpata mwenyekiti mpya?

Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.

Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
Ccm mmeanza Tabia mbaya,Sana hata x mwenyekiti kumpumzisha kwenye nyumba ya milele bado ,kumbe ndo maana mama mh rais leo katoa neno leo lenye maana mapana Sana wenye akili wamemuelewa
Leo ndo mnazungumzia Rais atokanaye na chama Cha ccm kwamba ni nongwa kuwa mwenyekiti wa chama ,imeanza lini ndani ya chama Cha ccm,Kama hata uchanguzi wa mwaka jana mlitia form moja ya mgombea wenu mkisema ndo mila na desturi ya chama, why Iyo democracy hamkuisema?
Je ni lini imetoka rais asiwe mwenyekiti wa chama katika marais waliopitia chama Cha ccm,na je katiba ya ccm kuhusu mwenyekiti wa chama unasemaje? Why mnaazisha mjadala huu leo,ku nani nyuma ya pazia,
Kama ilivyo na ilivyokua mh Rais mpya ataendelea kuwa mwenyekiti wako wa chama, leo kuanza ccm jilinganisha na chadema imeanza lini,
Ccm mkianza kumsumbua, mh Rais hivyo vivyeo wakati anakazi ngum ya kufanya mbele ,sie wananchi tutamkumbatia na tutawavulmisha mkose pa kutoke, KWA Sasa ni kujenga nchi,
 
Kiti cha mwenyekiti wa CCM Taifa kiko wazi baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kinachofuata hivi sasa ni kumsimika Mama Samia Suluhu kuwa mwenyekiti mpya baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Hii si sawa kabisa na wala hakuna demokrasia hapo!

Kwanini kusifanyike uchaguzi ili wanachama wenye sifa washindanishwe kwa kupigiwa kura? Iko wapi demokrasia ambayo CCM inajitapa nayo? Makundi ndani ya CCM yanazaliwa kwa sababu hii. Kwani CCM isingeshinda kiti cha Urais utaratibu upi ungefuatwa kumpata mwenyekiti mpya?

Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.

Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
Maana ya demokrasia ni ipi?
Kama mdivyo basi mbowe asingekuwa anaendelea kwa zaidi ya vipindi viwili,
Mbona huko hamuhoji?
 
Unataka Mwenyekiti Wa chama amfokee [emoji51]Rais wa Nchi.
Ndio kama ilivo ANC pale south afrika zuma na tabo mbeki hawakutoboa miaka yao kazini ,chama kinakuondoa hufai hufai...kofia mbili nimbinu yakuzuia mapinduzi yakiungozi ccm ,basi hakuna jingine lamana ,miaka 70 bado hawaaminiani ila madongo kwambowe anayepigiwa kura hilo nilazima
 
Kiti cha mwenyekiti wa CCM Taifa kiko wazi baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kinachofuata hivi sasa ni kumsimika Mama Samia Suluhu kuwa mwenyekiti mpya baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Hii si sawa kabisa na wala hakuna demokrasia hapo!

Kwanini kusifanyike uchaguzi ili wanachama wenye sifa washindanishwe kwa kupigiwa kura? Iko wapi demokrasia ambayo CCM inajitapa nayo? Makundi ndani ya CCM yanazaliwa kwa sababu hii. Kwani CCM isingeshinda kiti cha Urais utaratibu upi ungefuatwa kumpata mwenyekiti mpya?

Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.

Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
CCM kumejaa uozo balaa
 
Maana ya demokrasia ni ipi?
Kama mdivyo basi mbowe asingekuwa anaendelea kwa zaidi ya vipindi viwili,
Mbona huko hamuhoji?
Hata kama Mbowe angehudumu vipindi 10 haina tatizo ili mradi anachaguliwa kwa kura kwa kushindanishwa na wanachama wengine. Je Magufuli alishindanishwa na nani kama siyo kumsimika kama ambavyo Mama Samia atasimikwa bila kushindanishwa na mwanachama mwingine.
 
Ukitaka kujua kama CCM kuna demokrasia au la,fuatilia vyama vyake rafiki;Chama cha kikomunisti cha China,North Korea,Chama cha Putin,Cuba huko n.k.Ukitaka kujua tabia ya mtu angalia marafiki zake ni wa aina gani!
Ndege wafananao ndiyo warakao pamoja.
 
Kiti cha mwenyekiti wa CCM Taifa kiko wazi baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kinachofuata hivi sasa ni kumsimika Mama Samia Suluhu kuwa mwenyekiti mpya baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Hii si sawa kabisa na wala hakuna demokrasia hapo!

Kwanini kusifanyike uchaguzi ili wanachama wenye sifa washindanishwe kwa kupigiwa kura? Iko wapi demokrasia ambayo CCM inajitapa nayo? Makundi ndani ya CCM yanazaliwa kwa sababu hii. Kwani CCM isingeshinda kiti cha Urais utaratibu upi ungefuatwa kumpata mwenyekiti mpya?

Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.

Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
UNajua Katiba yao inasema nini juu ya hilo? Unawalaumu wafuate ya kwako wakati wao wana utaratibu uliopitishwa? Naona kama kuna kuwashwa washwa!
 
Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.[emoji1548][emoji1534][emoji1752]
Anapigiwa kura sawa, lakini kwa nini kila anayeonesha nia au kupambana naye mwisho wa siku anafukuzwa
 
Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.

Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
Hakuna cha kusema pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu ....... Mbowe naye hovyo tu! mambo ya kuharibu maendeleo ya chama kwa kudanganya unapigiwa kura. Kura gani ya kijinga hiyo. Mbowe aondoke awaachie wengine nao wawaze kivingine. Tusitake kumpamba kwa matendo ya kijinga-jinga!

Ukiamua kusema ukweli, sema kwa kila chama badala ya kupuliza udhaifu wa CHADEMA uonekane ni mdogo. Udhaifu wao ni mkubwa na hauwafikishi kokote, kwa enzi yoyote!
 
Back
Top Bottom