Demokrasia inavyohujumiwa CCM. Mwenyekiti hana mshindani

Demokrasia inavyohujumiwa CCM. Mwenyekiti hana mshindani

Huwezi kuendesha nchi kama the highest ranking officer halafu uwe na bosi wako.ambaye ni kikundi kidogo tu kutoka katika kundikubwa unaloliongoza. Kwa wenye busara kama CCM tumeliona hilo ndio maana Raisi wa Jamuhuri lazima ndio awe Mwenyekiti wa Chama.

Na anakuwa mwenyekiti baada ya kuwa Rais... Sio Kabla. Regardless amepatikana Vipi.. lengo ni kuharmonize operations za taifa.

Sijui Vyama vingine vitatumia utaratibu gani vikipewa dhamana ya kuongoza.. ila natumaini busara ya utaratibu huu itaendelea kutumika.
Joe Bidden ni Mwenyekiti wa Demcratic Party?
 
Ahaaa,Chedema na demokrasia ni mbalimbali.
Zito,Sumaye,Mwambe walitaka uenyekiti,kilichowapata ni kupewa zengwe mpaka wakahama.
Lowasa alikuja Chadema akafikia kwenye kiti cha kugombea Urais bila mchakato.
Mwambe alifanyaje?
 
Joe Bidden ni Mwenyekiti wa Demcratic Party?
Naona unalinganisha machungwa na maandazi. Kama unanielewa.

Unazungumzia mataifa yenye mifumo tofauti kabisa wa kiuongozi. Na hata entire existence nitofauti pia.

Pili huwezi ukatatua shida zako/zangu kwa kutumia diagnosis ya mtu mwingine... Let say wao na sisi ni sawa.. kwann ufanye wanachofanya wao ..huwezi ukawa Pioneer of new ways on your own!?

Huu utaratibu wa chama cha mapinduzi ni utaratibu mzuri na uko very logical.. kwa mtu yeyote anayeusoma bila agenda... Tusipokee tuu.. tujipime kama inatusaidia.

NB. Kujibu swali lako.. Hapana Joe Biden sio mwenyekiti wa DP. Kwani chama gani kinaongoza Saudi Arabia na Morocco je!?
 
Na Chadema kwenye demokrasia ambako mwenyekiti ana miaka 20 pale kwenye kiti

Kama kawaida yako, umerudia treni kwa mbele!! Swala sio muda wa kuwa mwenyekiti. Ni amekuwaje mwenyekiti. Jikite kwenye mada, Mwenyekiti wa CCM huchaguliwa au husimikwa??? Anachosema mleta mada ni kuwa nafasi iko wazi, je mwenyekiti atapatikanaje!?

By the way, mimi sio Chadema. Naangalia hii kitu objectively!
 
Huwezi kuendesha nchi kama the highest ranking officer halafu uwe na bosi wako.ambaye ni kikundi kidogo tu kutoka katika kundikubwa unaloliongoza. Kwa wenye busara kama CCM tumeliona hilo ndio maana Raisi wa Jamuhuri lazima ndio awe Mwenyekiti wa Chama.

Na anakuwa mwenyekiti baada ya kuwa Rais... Sio Kabla. Regardless amepatikana Vipi.. lengo ni kuharmonize operations za taifa.

Sijui Vyama vingine vitatumia utaratibu gani vikipewa dhamana ya kuongoza.. ila natumaini busara ya utaratibu huu itaendelea kutumika.

Aina hii ya fikra ndio imetufikisha pabaya. Tanzania sio kisiwa, nasema tena sio kisiwa!! Tuna mambo ya ujumla katika dunia hii. Ulichokisema ndio “chama kushika hatamu”. Utakubali kuwa hata hapa nyumbani, Lissu na marehemu Seif hawakuwa viongozi wa juu kabisa katika vyama vyao. Hii ni ishahidi kuwa kinachofanyika CCM sio utaratibu wa ki-nchi bali ki-CCM. Na Mwinyi wa Zanzibar anawezaje kuongoza Zanzibar na wakati sio hata Mwenyekiti upande wa Zanzibar? Au unasema hapa kuwa anaamliwa na Mwenyekiti/Rais wa Jamhuri mambo ya kufanya? Ikiwa ni hivo, uko wapi uhuru wa mamlaka hiyo yenye bunge na mahakama zake??

Kiazi ni kiazi tu!! Ujuaji mwingiii kumbe hakuna kitu!
 
Kati
Kiti cha mwenyekiti wa CCM Taifa kiko wazi baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kinachofuata hivi sasa ni kumsimika Mama Samia Suluhu kuwa mwenyekiti mpya baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Hii si sawa kabisa na wala hakuna demokrasia hapo!

Kwanini kusifanyike uchaguzi ili wanachama wenye sifa washindanishwe kwa kupigiwa kura? Iko wapi demokrasia ambayo CCM inajitapa nayo? Makundi ndani ya CCM yanazaliwa kwa sababu hii. Kwani CCM isingeshinda kiti cha Urais utaratibu upi ungefuatwa kumpata mwenyekiti mpya?

Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.

Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
Katiba ya CCM ni tofauti ni ya CHADEMA. Tuna utaratibu mzuri wa kurithisha madaraka ndani ya CCM. Kama unafikiri CHADEMA kunafikiri CHADEMA kuna demokrasia muulize Prof.Kitila Mkumbo, Mwigamba, Zitto, Chacha Wangwe, Sumaye nk kilichowapata baada ya kutamani uenyekiti wa chama hicho!
 
Kati

Katiba ya CCM ni tofauti ni ya CHADEMA. Tuna utaratibu mzuri wa kurithisha madaraka ndani ya CCM. Kama unafikiri CHADEMA kunafikiri CHADEMA kuna demokrasia muulize Prof.Kitila Mkumbo, Mwigamba, Zitto, Chacha Wangwe, Sumaye nk kilichowapata baada ya kutamani uenyekiti wa chama hicho!
Nini kilimtoa Shibuda CCM?
 
Kwa CCM Rais ndiyo mwenyeketi wa chama...

Isingekua hivyo na mwenyekiti akawa tofatuti, Je siku mwenyekiti akimvua mvua Rais uwanachama patatokea mkanganyiko...
 
Soma Katiba Kiongozi.... Soma. Ni muhimu sana.. kabla hujaungumza juu ya kitu uwe unakijua atleast mara tatu zaidi ya Mtu wa kawaida..

Na tusiwe watu wa kulalamika tuuu..kila wakati.. its unhealthy.. ukiona shida sema utatuzi..sio wakutoa hewani.. soma uone uvunjifu wa taratibu kwa Mujibu wa sheria zinazoongoza swala hilo.. tupe alternative... Unatoka umefaidika kwa kujua na sisi tunasoma bandiko lako tunakuwa tumejua kupitia kwako.

Tusome au tuulize ..tusije kuandika tu for the sake of writing.
Ni katiba gani unasema aisome? Je katiba ya CCM inasema Rais awe mwenyekiti? Nakushauri wewe badala ya kumwambia asome katiba basi wewe ndiye isome vizuri na endapo utakipata hicho kipengele kinachosema hivyo basi Mimi nitakubali kumfuata magufuli huko aliko.
 
Hiyo ndiyo demokrasia ya CCM.Inaanzia kwenye utungaji katiba yao.Kama unahoji unatakiwa kuanzia kwenye mchakato wa kutunga au kurekebisha katiba ya chama.Kama mchakato ulikuwa wa kidemokrasia basi utekelezaji wake utakuwa wa kidemokrasia.
 
Ni katiba gani unasema aisome? Je katiba ya CCM inasema Rais awe mwenyekiti? Nakushauri wewe badala ya kumwambia asome katiba basi wewe ndiye isome vizuri na endapo utakipata hicho kipengele kinachosema hivyo basi Mimi nitakubali kumfuata magufuli huko aliko.
Hawa wanajichanganya sana, kama Rais wa nchi ndiye automatically anakuwa mwenyekiti wa chama chao kwa nini waitane tena kumchagua mwenyekiti? Si wapeane taarifa kuwa kuanzia alipoapishwa Samia ndiye amekuwa mwenyekiti na hivyo vikao vinavyoendelea sasa vya kumtafuta Makamu wa Rais angeendesha Samia.
 
Aina hii ya fikra ndio imetufikisha pabaya. Tanzania sio kisiwa, nasema tena sio kisiwa!! Tuna mambo ya ujumla katika dunia hii. Ulichokisema ndio “chama kushika hatamu”. Utakubali kuwa hata hapa nyumbani, Lissu na marehemu Seif hawakuwa viongozi wa juu kabisa katika vyama vyao. Hii ni ishahidi kuwa kinachofanyika CCM sio utaratibu wa ki-nchi bali ki-CCM. Na Mwinyi wa Zanzibar anawezaje kuongoza Zanzibar na wakati sio hata Mwenyekiti upande wa Zanzibar? Au unasema hapa kuwa anaamliwa na Mwenyekiti/Rais wa Jamhuri mambo ya kufanya? Ikiwa ni hivo, uko wapi uhuru wa mamlaka hiyo yenye bunge na mahakama zake??

Kiazi ni kiazi tu!! Ujuaji mwingiii kumbe hakuna kitu!
Na unadhani Lissu na Maalim wangeshika hatamu nani angekuwa absolute ruler!?

Lissu au Mwenyekiti wa Chadema!? Lazima ujue Huwezi kuwa kiongozi wa Seti kubwa wakati subset ya set hiyo hiyo.. inakuongoza wewe... HAIWEZEKANI.
 
Ni katiba gani unasema aisome? Je katiba ya CCM inasema Rais awe mwenyekiti? Nakushauri wewe badala ya kumwambia asome katiba basi wewe ndiye isome vizuri na endapo utakipata hicho kipengele kinachosema hivyo basi Mimi nitakubali kumfuata magufuli huko aliko.
Unajua Logic yakufanya hivyo!?

Umewahi kusikia uchaguzi wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi!? Au unajua Anapatikanaje!?

Je huwa tunachagua mwenyekiti ndio tunakwenda kwenye uchaguzi!? Au tunashinda uchaguzi ndio tunampokea mwenyeki!?

Hivi vitu vina maana sio maswala ya kukurupuka ili kufurahishana.. Hayafanyiki kwa burudani tu na taratibu za kila siku ndio maana nasema kunashida kwenye namna tunavyofikiri
 
Aina hii ya fikra ndio imetufikisha pabaya. Tanzania sio kisiwa, nasema tena sio kisiwa!! Tuna mambo ya ujumla katika dunia hii. Ulichokisema ndio “chama kushika hatamu”. Utakubali kuwa hata hapa nyumbani, Lissu na marehemu Seif hawakuwa viongozi wa juu kabisa katika vyama vyao. Hii ni ishahidi kuwa kinachofanyika CCM sio utaratibu wa ki-nchi bali ki-CCM. Na Mwinyi wa Zanzibar anawezaje kuongoza Zanzibar na wakati sio hata Mwenyekiti upande wa Zanzibar? Au unasema hapa kuwa anaamliwa na Mwenyekiti/Rais wa Jamhuri mambo ya kufanya? Ikiwa ni hivo, uko wapi uhuru wa mamlaka hiyo yenye bunge na mahakama zake??

Kiazi ni kiazi tu!! Ujuaji mwingiii kumbe hakuna kitu!
Kwani CCM Zanzibar inakuwa chini ya mwenyekiti yupi!?

Malezi mabaya yanatusumbua sana. Ni kuwadhalilisha wazazi wako tu. Hivi unashindwaje kuandika kile unachoulizwa au kuhoji.. unaishia kwenye lugha za ajabu.

Kwenye majadiliano often huwa hakuna aliyebora.. ili kiko kilichobora. Kizungumze tukijue.. sio unatumia lugha zisizo za staha..

Kwani shida yetu ni nini sisi!? Honestly!?
 
Kiti cha mwenyekiti wa CCM Taifa kiko wazi baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kinachofuata hivi sasa ni kumsimika Mama Samia Suluhu kuwa mwenyekiti mpya baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Hii si sawa kabisa na wala hakuna demokrasia hapo!

Kwanini kusifanyike uchaguzi ili wanachama wenye sifa washindanishwe kwa kupigiwa kura? Iko wapi demokrasia ambayo CCM inajitapa nayo? Makundi ndani ya CCM yanazaliwa kwa sababu hii. Kwani CCM isingeshinda kiti cha Urais utaratibu upi ungefuatwa kumpata mwenyekiti mpya?

Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.

Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
Taratibu ndugu mbona unaharaka sana! Mwenyekiti ni Samia kwani shida ni nini?
 
Siyo tu kuhonga, bali hata kuua na kufukuza wanaojaribu kuwania nafasi hiyo. Kwanini Lowasa na Sumaye walikimbia Chadema?
Na kwa nini walikimbia CCM kwenda Chadema labda tuanzie hapo?.
 
Taratibu ndugu mbona unaharaka sana! Mwenyekiti ni Samia kwani shida ni nini?
Shida ni kuwa bado hajasimikwa rasmi, ndiyo sababu vikao vinavyoendelea vinaendeshwa na Mangula
 
Back
Top Bottom