DEMOKRASIA Kwa wajinga, wasiostaarabika, Wasiokuwa wazalendo yafaa nini?

DEMOKRASIA Kwa wajinga, wasiostaarabika, Wasiokuwa wazalendo yafaa nini?

Dictator labda la kizungu ,bongo wachumia tumbo tuu
Flyovers, vivuko, meli zilijengwa, stendi za kisasa, ndege zilinunuliwa, madaraka busisi, airports nk nk zilijengwa within 5 years Kwa kiongozi aliyeitwa DIKTETA!!!

DEMOKRASIA Kwa wezi, wabadhilifu wasio wazalendo yafaa nini?

Mijeredi irudi tena.
 
Flyovers, vivuko, meli zilijengwa, stendi za kisasa, ndege zilinunuliwa, madaraka busisi, airports nk nk zilijengwa within 5 years Kwa kiongozi aliyeitwa DIKTETA!!!

DEMOKRASIA Kwa wezi, wabadhilifu wasio wazalendo yafaa nini?

Mijeredi irudi tena.
Ajira ngapi zilizalishwa?
Biashara ngapi za kati na kubwa zilifungwa wakabaki machinga wanatawala?
 
Wewe ni kama umechanganyikiwa au umechanganya madesa,
Hakuna demokrasia ambazo mbunge au Rais akivurunda hawezi kuondolewa
Ndio DEMOKRASIA hiyo,

Hata akiiba na akathibitika court kama yule mbunge jangili Bado wananchi hawakuweza kumwondoa.

Tulipo ni maigizo ya DEMOKRASIA,

Sasa Kwa kuwa DEMOKRASIA hatuwezi, ni Afadhali mijeredi irudi punda afikishe Mzigo salama.
 
Ndio DEMOKRASIA hiyo,

Hata akiiba na akathibitika court kama yule mbunge jangili Bado wananchi hawakuweza kumwondoa.

Tulipo ni maigizo ya DEMOKRASIA,

Sasa Kwa kuwa DEMOKRASIA hatuwezi, ni Afadhali mijeredi irudi punda afikishe Mzigo salama.
Huelewi chochote kuhusu demokrasia?
 
Flyovers, vivuko, meli zilijengwa, stendi za kisasa, ndege zilinunuliwa, madaraka busisi, airports nk nk zilijengwa within 5 years Kwa kiongozi aliyeitwa DIKTETA!!!

DEMOKRASIA Kwa wezi, wabadhilifu wasio wazalendo yafaa nini?

Mijeredi irudi tena.
Dunia hii bila udictecta uwezi kuongoza,hii nchi yafaa Sasa jeshi litawale
 
kila kabila lina chief wake lakin ungependa tuendelee na unyanyembe chiefdom nk ?
 
Mtoa mada umeelewela lkn umelitumia vibaya hilo neno la demokrasia

demokrasia ni nini?
 
Mtoa mada umeelewela lkn umelitumia vibaya hilo neno la demokrasia

demokrasia ni nini?
DEMOKRASIA ni kiongozi anaahiriki kutuongezea wananchi Bei Kwa shilingi 1000 Ili agawane na wenzie,

Ushahidi uko wazi, CAG atakuja kuripoti upotevu, Kisha walishiriki wizi huo, watajenga magorofa Kwa pesa hizo hizo na kukudhihaki tunaolalamikia wizi huo.

Mwaya utoleeao na DEMOKRASIA na uhuru na Sheria zilizopo Kwa waizi ndio huo usio na maana Yeyote.

DEMOKRASIA yafaa sana Kwa wenye AKILI, wenye HAKI, wanyoofu, wazalendo,wapenda Nchi Yao Kwa JASHO na Damu!!

Sijui umenielewa?
 
Dunia hii bila udictecta uwezi kuongoza,hii nchi yafaa Sasa jeshi litawale
Jeshi HAPANA,

Ainuke mtawala mkali, atakayewatisha wezi wasiibe,

Kiongozi asitetisha wezi, awaangalia wanaiba na kula Kisha wanafuta midomo na kusema hatujaiba, hafai!!
 
Jeshi HAPANA,

Ainuke mtawala mkali, atakayewatisha wezi wasiibe,

Kiongozi asitetisha wezi, awaangalia wanaiba na kula Kisha wanafuta midomo na kusema hatujaiba, hafai!!
Watamua tuu ,hiyo nguvu mtu wakawaida hawezi labda atoke jeshini Tena kwa kupindua
 
Halafu lengo la utawala wa sheria lilikuwa ni kwamba sheria zote zitakazotungwa na binadamu huko bungeni zitoke kwenye muongozo wa amri kumi za Mungu . Lakini siku hizi binadamu anatunga sheria za kumlinda shetani .

Haki za ki-Mungu ndizo zinatakiwa kutawala . Kinyume na hapo , hasira ya Mungu inawaka .
 
Salaam, Shalom!!

Nauliza tu,

Hawa waliotuletea DEMOKRASIA mataifa ambayo Bado tunajitafuta yalilenga nini?

Mbona wao walipokuwa wanajenga Uchumi wao, miaka mingi iliyopita mbona waliotumia mijeredi?

Yaani mtoto asiyetaka shule, mzazi ampe mtoto huyo DEMOKRASIA na uhuru Ili iweje?

DEMOKRASIA kumpa bodaboda uhuru ,asiye na lesseni anayeingilia njia ya mwendokasi makusudi yafaa ni ni?

DEMOKRASIA na uhuru usio na mipaka wa kumwachia mtoto achezee bunduki yenye risasi yafaa nini?

DEMOKRASIA Kwa wezi, waovu ,wabadhirifu yafaa nini?

Kwanini wanasiasa wote na watumishi wa umma wasipelekwe JKT Kwa lazima Kwa angalau miezi SITA wafundishwe Uzalendo Kwa viboko?

Yaani HAKI za binadamu Kwa Wasiokuwa wazalendo Kwa nchi Yao, Ina mchango Gani Kwa maendeleo yetu?

DEMOKRASIA ni ya nini Kwa wezi wa kura?

Yaani mtu auze msitu Kwa Mfano, alindwe na Sheria, mchakato uanze Polepole, kabla kesi haijaenda mahakamani, ameshahonga wote hapo juu, baada ya siku chache hakuna kesi, hakuna msitu!!

Swali: DEMOKRASIA Kwa wajinga Ina manufaa Gani?

OMBI: TULETEENI DIKTETA MWINGINE TAFADHALI!!!

Karibuni!!
Hapo kwenye JKT umekosea .

JKT ni kichaka cha kujenga wezi wanaojiamini na wasio na woga wa kuiba malo za umma.
JKT ni kichaka cha kujenga wahuni wasiotii sheria za kiraia.

JKT ingafaa tu kama nchi ingakua inaendeshwa kijeshi au kidikteta mana wamejifunza kutii kwa amri na sio kwa hiyari.

Mafano mdogo ni vijana wakiomaliza JKT wenge ndio wanaoaniriwa serikalini lakini wanageuka kuwa wezi na wanadhithirifu wasio na chembe ya utu. Tofauti na wale wa sekta binafsi ambao wanaajiriwa kwa utaallamu na ujuzi wao na wanafanya vizuri zaidi.

Mfumo wa JKT ni mfumo wa kijeshi hautakiwi utolewe kwa raia bila kiwa na malengo ya kijeshi.

Kule JKT kuna msemo mmoja 'Iba lakini usikamatwe'
Mtu anaweza akachukua hata unifomu ya mwenake akavaa alimradi asikamatwe . Akikamatwa atakipata cha mtema kuni!!
Sasa mbinu kama hizo hazimjengi mtu mwema zaidi ya mtu anayejihami kwa nafsi yake na sio ya wengine.

Mfumo wa JKT unapaswa ubadilike iwe ni sehemu ya kuwajenga watu katika kazi ,kinidhamu na kimaadili na sio woga wa kutii kwa lazima. Iwe kama inavyokuwa kwenye Seminari . Hawana purukushani za Kijeshi lakini nidhamu inakua ya hali ya juu lakini pia mtoto anajengwa kimaarifa.

JKT ile ya JPM ilikua inaanza kuleta maana na pia magereza zilianza kunadilika na kuwa zenye tija kwa jamii na kuwarekebisha wakosaji?

Jambo la pili JKT hawafundishwi kuwaheshimu watu na taasisi nyingine mfano kutii sheria na wasimamizi wake kama Polisi na Vyombo vingine . Polisi wanawaita wanawake tu. Sasa mtu asiyeheshimu wasimamizi wa sheria na sheria huyo ni mhalifu na hafai kikanidhiwa mali ya umma mana haogopi chochote wala haheshimu chochote isipokua kwa kulazimishwa na mtutu wa bunduki .

Bukina Faso ni mfano mzuri wa mageuzi ya kijamii na kiuchumi kuelekea maendeleo ya kweli.

Hongera sana Jeshi la BukinaFaso
 
Hapo kwenye JKT umekosea .

JKT ni kichaka cha kujenga wezi wanaojiamini na wasio na woga wa kuiba malo za umma.
JKT ni kichaka cha kujenga wahuni wasiotii sheria za kiraia.

JKT ingafaa tu kama nchi ingakua inaendeshwa kijeshi au kidikteta mana wamejifunza kutii kwa amri na sio kwa hiyari.

Mafano mdogo ni vijana wakiomaliza JKT wenge ndio wanaoaniriwa serikalini lakini wanageuka kuwa wezi na wanadhithirifu wasio na chembe ya utu. Tofauti na wale wa sekta binafsi ambao wanaajiriwa kwa utaallamu na ujuzi wao na wanafanya vizuri zaidi.

Mfumo wa JKT ni mfumo wa kijeshi hautakiwi utolewe kwa raia bila kiwa na malengo ya kijeshi.

Kule JKT kuna msemo mmoja 'Iba lakini usikamatwe'
Mtu anaweza akachukua hata unifomu ya mwenake akavaa alimradi asikamatwe . Akikamatwa atakipata cha mtema kuni!!
Sasa mbinu kama hizo hazimjengi mtu mwema zaidi ya mtu anayejihami kwa nafsi yake na sio ya wengine.

Mfumo wa JKT unapaswa ubadilike iwe ni sehemu ya kuwajenga watu katika kazi ,kinidhamu na kimaadili na sio woga wa kutii kwa lazima. Iwe kama inavyokuwa kwenye Seminari . Hawana purukushani za Kijeshi lakini nidhamu inakua ya hali ya juu lakini pia mtoto anajengwa kimaarifa.

JKT ile ya JPM ilikua inaanza kuleta maana na pia magereza zilianza kunadilika na kuwa zenye tija kwa jamii na kuwarekebisha wakosaji?

Jambo la pili JKT hawafundishwi kuwaheshimu watu na taasisi nyingine mfano kutii sheria na wasimamizi wake kama Polisi na Vyombo vingine . Polisi wanawaita wanawake tu. Sasa mtu asiyeheshimu wasimamizi wa sheria na sheria huyo ni mhalifu na hafai kikanidhiwa mali ya umma mana haogopi chochote wala haheshimu chochote isipokua kwa kulazimishwa na mtutu wa bunduki .

Bukina Faso ni mfano mzuri wa mageuzi ya kijamii na kiuchumi kuelekea maendeleo ya kweli.

Hongera sana Jeshi la BukinaFaso
Kabla ya kufikiri Bukinafaso,

Tuangalie kwanza yatakayojiri 2025.

Itafahamika tu.
 
Watamua tuu ,hiyo nguvu mtu wakawaida hawezi labda atoke jeshini Tena kwa kupindua
Wapo wazalendo wengi ambao hawaogopi kifo,

Kwao Taifa ni muhimu kuliko faida binafsi za kipesa.
 
Wapo wazalendo wengi ambao hawaogopi kifo,

Kwao Taifa ni muhimu kuliko faida binafsi za kipesa.
Hii nchi Ina maigizo yakutisha brotha ,utagusa wapi umwache mtu salama! Then wabaki wanakwangalia
 
Wakurugenzi wa halmashauri, Wakuu wa mikoa na wilaya ambao ni watu wenye nguvu kubwa sana nchi hii hawachaguliwi kwa kura wala kudhibitiwa na bunge au mabaraza ya madiwani.
Hata wakiteuliwa na wananchi na kuthibitisha na bunge,

Ikiwa hawatatishwa kuogopa pesa za umma,

Wasipofundishwa kuipenda na kuithamini Nchi Yao,

Ikiwa hawatapona ugonjwa uitwao " RUSHWA" Bado tutakuwa tuko pale pale.
 
Hii nchi Ina maigizo yakutisha brotha ,utagusa wapi umwache mtu salama! Then wabaki wanakwangalia
Nakwambia Nchi hii,

Wakinyongwa watu kumi tu hadharani ambao wamethibitika kuhujumu pesa za umma,

Uzalendo utafundishwa Kwa VITENDO!!

Watajua HASARA za wizi wa Mali ya umma.
 
Nakwambia Nchi hii,

Wakinyongwa watu kumi tu hadharani ambao wamethibitika kuhujumu pesa za umma,

Uzalendo utafundishwa Kwa VITENDO!!

Watajua HASARA za wizi wa Mali ya umma.
Kuna wizi wenye mizizi ,Kuna biashara haramu za watu mahiri zenye mizizi ni ngumu ila kwa Mungu yote yawezekana
 
Kuna wizi wenye mizizi ,Kuna biashara haramu za watu mahiri zenye mizizi ni ngumu ila kwa Mungu yote yawezekana
Mungu atatusaidia.

Muhimu tuwe na Nia ya shati kuhitaji true changes katika Nchi yetu.
 
Karibuni!!
Pamoja na kutokataa maudhui ya mada yako, lakini ni wazi unaitafsiri Demokrasia isivyokuwa.

Mengi ya uliyo yaeleza/yataja humo hayaitafsiri demokrasia kuwa hivyo.
Kufanya uhalifu, uvunjifu wa sheria hiyo siyo demokrasia. Demokrasia haimpi mtu yeyote uhuru wa kumuua mtu mwingine, au kufanya makosa.

Lakini. Ninakubaliana na wewe, pamoja na kuipenda demokrasia, lakini bado kuna jamii zinazohitaji kiongozi mtumia mkono wa chuma. Hacheki na nyani hata mara moja. Kiongozi anaye heshimu sheria, na kuhakikisha kwamba sheria zilizopo zinafanya kazi. Kiongozi asiye onea mtu kwa sababu zake binafsi.
Kiongozi anaye hakikisha maslahi ya umma, taifa yanakuwa mbele dhidi ya maslahi ya mtu yeyote.
Kiongozi anayesimamia na kuhakikisha kwamba watumishi ndani ya serikali yake wanatumika ipasavyo kuwatumikia wananchi, wakati huo huo akijali maslahi ya watumishi hao

Ninamtaka sana kiongozi Dikteta wa namna hiyo hapa Tanzania. Vinginevyo, tumo kwenye mkwamo mzito sana.
 
Back
Top Bottom