DEMOKRASIA Kwa wajinga, wasiostaarabika, Wasiokuwa wazalendo yafaa nini?

DEMOKRASIA Kwa wajinga, wasiostaarabika, Wasiokuwa wazalendo yafaa nini?

Labda hujui maana ya demokrasia
Demokrasia haiondoi utawala Sheria na maadili ya utu

Rudi tena shule jifunze demokrasia inavyooperate


Mimi na walio wengi watafiti na wanazuoni tunaikubali demokrasia kuwa ni mfumo mzuri wa utawala duniani kwa jamii mchanganyiko kama za kwetu

Sijui wewe mwenzetu kwa utafiti wako ni mfumo Gani wa utawala unaona unafaa
Natamani akujibu hoja yako hapa.

Pamoja na uliyo eleza kuhusu uzuri wa demokrasia, hapo nadhani unasahau kwamba hizi nchi zetu hizi zinazoshinikizwa tufuate demokrasia inayo toka nje, hiyo siioni kuwa ni demokrasia yetu wenyewe. Hiyo ni ya kuletewa.

Kwa hiyo, huo "ubora" unao uzungumzia wewe, pengine maswala kama haya unayasahau kuwa ni muhimu.
Unaambiwa, ukitaka tukupe msaada, fanya hivi, hizo ndizo 'values' zetu za kidemokrasia. Wewe na jamii yako huko, hamuwezi kuwa na demokrasia yenu, inayojali 'values' zenu!

Demokrasia haiwezi kuwa bidhaa inayo uzwa kwenye vipaketi.
 
Pamoja na kutokataa maudhui ya mada yako, lakini ni wazi unaitafsiri Demokrasia isivyokuwa.

Mengi ya uliyo yaeleza/yataja humo hayaitafsiri demokrasia kuwa hivyo.
Kufanya uhalifu, uvunjifu wa sheria hiyo siyo demokrasia. Demokrasia haimpi mtu yeyote uhuru wa kumuua mtu mwingine, au kufanya makosa.

Lakini. Ninakubaliana na wewe, pamoja na kuipenda demokrasia, lakini bado kuna jamii zinazohitaji kiongozi mtumia mkono wa chuma. Hacheki na nyani hata mara moja. Kiongozi anaye heshimu sheria, na kuhakikisha kwamba sheria zilizopo zinafanya kazi. Kiongozi asiye onea mtu kwa sababu zake binafsi.
Kiongozi anaye hakikisha maslahi ya umma, taifa yanakuwa mbele dhidi ya maslahi ya mtu yeyote.
Kiongozi anayesimamia na kuhakikisha kwamba watumishi ndani ya serikali yake wanatumika ipasavyo kuwatumikia wananchi, wakati huo huo akijali maslahi ya watumishi hao

Ninamtaka sana kiongozi Dikteta wa namna hiyo hapa Tanzania. Vinginevyo, tumo kwenye mkwamo mzito sana.
Ndicho nilichomaanisha.

Kiongozi ambaye atasababisha Walio chini yake kuogopa kuiba.

Mnyoofu, mzalendo kiongozi wa mfano.

Mungu ni neema, atajalia tutampata tena.
 
Ndicho nilichomaanisha.

Kiongozi ambaye atasababisha Walio chini yake kuogopa kuiba.

Mnyoofu, mzalendo kiongozi wa mfano.

Mungu ni neema, atajalia tutampata tena.
Nina imani atapatikana.
Tanzania siyo nchi ya kuchezewa chezewa na hivi vikaragosi, sijui viliokotwa wapi hivi.
 
Natamani akujibu hoja yako hapa.

Pamoja na uliyo eleza kuhusu uzuri wa demokrasia, hapo nadhani unasahau kwamba hizi nchi zetu hizi zinazoshinikizwa tufuate demokrasia inayo toka nje, hiyo siioni kuwa ni demokrasia yetu wenyewe. Hiyo ni ya kuletewa.

Kwa hiyo, huo "ubora" unao uzungumzia wewe, pengine maswala kama haya unayasahau kuwa ni muhimu.
Unaambiwa, ukitaka tukupe msaada, fanya hivi, hizo ndizo 'values' zetu za kidemokrasia. Wewe na jamii yako huko, hamuwezi kuwa na demokrasia yenu, inayojali 'values' zenu!

Demokrasia haiwezi kuwa bidhaa inayo uzwa kwenye vipaketi.
Kwamba wananchi Wana shida na mbolea,

Mkopeshaji anakwambia pesa hii nikupayo hakikisha unanunua kondom na vilainishi Kwa ajili ya mashoga,

Na mkopo huo, shart uje kununua kondom na vilainishi kwenye kampuni Toka Nchi yetu.

Hiyo ndio sababu Magu alienda kukopa kwenye MABENKI binafsi yenye Riba kubwa maana mikopo mingi Ina masharti mabaya.

Tunahitaji tukae chini tufanye kikao Cha familia ya Watanzania wote Ili kupata namna Bora ya kujitawala.
 
Kwamba wananchi Wana shida na mbolea,

Mkopeshaji anakwambia pesa hii nikupayo hakikisha unanunua kondom na vilainishi Kwa ajili ya mashoga,

Na mkopo huo, shart uje kununua kondom na vilainishi kwenye kampuni Toka Nchi yetu.

Hiyo ndio sababu Magu alienda kukopa kwenye MABENKI binafsi yenye Riba kubwa maana mikopo mingi Ina masharti mabaya.

Tunahitaji tukae chini tufanye kikao Cha familia ya Watanzania wote Ili kupata namna Bora ya kujitawala.
Hicho kikao hata akina Mwashamba watakuwemo.....Nacheka tu mkuu 'Rabbon'.

Hapana.
Kiongozi mwenye kulijali taifa hili hawezi kupoteza muda na vikao vya namna hiyo, ingawaje naelewa umuhimu wake.

Bila kujali ilivyotokea, na kuna sababu nyingi zinazo eleweka kuhusu "Ujamaa" enzi za akina Mwalimu Nyerere. Lakini maamuzi hayakusubiri hadi akina Mwashamba wa wakati huo na wao washiriki na kukubali.

Kiongozi mwenye dira, ataonyesha njia. Ndiyo sababu tunamtafuta kiongozi wa namna hiyo ajitokeze sasa.
 
Salaam, Shalom!!

Nauliza tu,

Hawa waliotuletea DEMOKRASIA mataifa ambayo Bado tunajitafuta yalilenga nini?

Mbona wao walipokuwa wanajenga Uchumi wao, miaka mingi iliyopita mbona waliotumia mijeredi?

Yaani mtoto asiyetaka shule, mzazi ampe mtoto huyo DEMOKRASIA na uhuru Ili iweje?

DEMOKRASIA kumpa bodaboda uhuru ,asiye na lesseni anayeingilia njia ya mwendokasi makusudi yafaa ni ni?

DEMOKRASIA na uhuru usio na mipaka wa kumwachia mtoto achezee bunduki yenye risasi yafaa nini?

DEMOKRASIA Kwa wezi, waovu ,wabadhirifu yafaa nini?

Kwanini wanasiasa wote na watumishi wa umma wasipelekwe JKT Kwa lazima Kwa angalau miezi SITA wafundishwe Uzalendo Kwa viboko?

Yaani HAKI za binadamu Kwa Wasiokuwa wazalendo Kwa nchi Yao, Ina mchango Gani Kwa maendeleo yetu?

DEMOKRASIA ni ya nini Kwa wezi wa kura?

Yaani mtu auze msitu Kwa Mfano, alindwe na Sheria, mchakato uanze Polepole, kabla kesi haijaenda mahakamani, ameshahonga wote hapo juu, baada ya siku chache hakuna kesi, hakuna msitu!!

Swali: DEMOKRASIA Kwa wajinga Ina manufaa Gani?

OMBI: TULETEENI DIKTETA MWINGINE TAFADHALI!!!

Karibuni!!
Demokrasi ni namna ya kumpata kiongozi bora. Labda hujui maana ya demokrasia.

Usipokuwa na demkrasi uta.pata kiongozi bogus kama jpm
 
Mpaka sasa bado hayo mataifa makubwa hayana Demokrasia, ni maigizo tu.
Kaangalie uingereza. Waziri mkuu akizingua siku hiyohiyo anajiudhuru kwa kupenda au kutopenda. Hii ndo maama ya demkrasia. Ila kwendu jpm alizingua kila sehemu lakini nani athubutu kumwajibisha ikiwa bunge zima aliingiza maccm kwa nguvu bila kushinda
 
Demokrasi ni namna ya kumpata kiongozi bora. Labda hujui maana ya demokrasia.

Usipokuwa na demkrasi uta.pata kiongozi bogus kama jpm
Huyo unayemdharau ndiye alifanikiwa kuwatisha wauza drugs, cocaine ikaadimika mtaani,

Ndiye aliyewatisha Majambazi wakasalimisha silaha,

Ndiye aliyefanya vitu ambavyo Hadi sasa hatujui pesa alipata wapi!!

Sasa kumbe Watz wanahitaji utisho Ili kufanya KAZI,

Mijeredi irudi tu hakuna namna.
 
Kaangalie uingereza. Waziri mkuu akizingua siku hiyohiyo anajiudhuru kwa kupenda au kutopenda. Hii ndo maama ya demkrasia. Ila kwendu jpm alizingua kila sehemu lakini nani athubutu kumwajibisha ikiwa bunge zima aliingiza maccm kwa nguvu bila kushinda
Kujiudhuru ndo nn!!
 
Sasa kama Mama Anaenda kuomba mikopo lukuki Unategemea nini? Sasa hivi majambazi yamerudi maana Yanatetewa tena Wanao onekana kutaka kukata mirija yao wanaambia waacheubabe sasa unategemea Nini?

Tuna safari ndefu sana kufikia nchi ya Ahadi. Panya wana nenepa kwenye sufuria la Unga.
 
Salaam, Shalom!!

Nauliza tu,

Hawa waliotuletea DEMOKRASIA mataifa ambayo Bado tunajitafuta yalilenga nini?

Mbona wao walipokuwa wanajenga Uchumi wao, miaka mingi iliyopita mbona waliotumia mijeredi?

Yaani mtoto asiyetaka shule, mzazi ampe mtoto huyo DEMOKRASIA na uhuru Ili iweje?

DEMOKRASIA kumpa bodaboda uhuru ,asiye na lesseni anayeingilia njia ya mwendokasi makusudi yafaa ni ni?

DEMOKRASIA na uhuru usio na mipaka wa kumwachia mtoto achezee bunduki yenye risasi yafaa nini?

DEMOKRASIA Kwa wezi, waovu ,wabadhirifu yafaa nini?

Kwanini wanasiasa wote na watumishi wa umma wasipelekwe JKT Kwa lazima Kwa angalau miezi SITA wafundishwe Uzalendo Kwa viboko?

Yaani HAKI za binadamu Kwa Wasiokuwa wazalendo Kwa nchi Yao, Ina mchango Gani Kwa maendeleo yetu?

DEMOKRASIA ni ya nini Kwa wezi wa kura?

Yaani mtu auze msitu Kwa Mfano, alindwe na Sheria, mchakato uanze Polepole, kabla kesi haijaenda mahakamani, ameshahonga wote hapo juu, baada ya siku chache hakuna kesi, hakuna msitu!!

Swali: DEMOKRASIA Kwa wajinga Ina manufaa Gani?

OMBI: TULETEENI DIKTETA MWINGINE TAFADHALI!!!

Karibuni!!
Orijino Makasiriko Orchestra Jazz Band.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂💉
 
Kwanini watumishi wa umma tu ndio waende JKT kwa lazima na sio watanzania wote? Na je, kwenda JKT ndio mtu anapata uzalendo? Hata jakaya, Chenge, walipita JKT.
 
Aisee jiwe azinduke atawale hata kama atakuwa mifupa mitupu nyama zitarudi baadae
 
Watanzania ni makondoo na wanafiki na wazembe tunahitaji Magufuli wa pili katili zaidi ainyooshe nchi...tukana uwezavyo lkn bila hivyo nchii ni kilema
Jizazi!

Ni wewe kweli unayesema hivi?

Kha!

Wajua nini? Hata kule kwao huko inakotoka hii demokrasia uchwara hawakuendelea kwa kubembelezana. Weengi waliendelea wakati wakitawaliwa na udikteta wa kifalme na kimalkia. Naamini kama wangekuwa na huu upuuzi unaoitwa sijui demokrasia wasingeweza kutoboa. Demokrasia imekuja wakati wengi wao wameshakuwa stable. Na mpaka sasa pamoja na demokrasia yao kuna mambo huwa hawachezi nayo. Ukicheza na ufisadi kama huu wetu wa kihayawani watakufunga. Ukicheza na ulipaji wa kodi watakufunga. Na mengine ya msingi.

Naamini hata Mchina angekuwa na hizi ngonjera sijui za demokrasia asingeweza kutoboa. Ndiyo maana mimi huwa nasema kwamba Afrika nzima Kusini mwa jangwa la Sahara tupate viongozi dizaini ya akina Magufuli na Kagame halafu tuwape miaka 30 wafanye watakavyo na baada ya hapo wote waondoke halafu turudi kwenye huu ujinga wa demokrasia. Aisee wataiacha Afrika mahali pazuri sana.

Naamini hii demokrasia ya kizungu hii ni mtego mwingine ambao wametuletea ili tusiweze kuendelea. Na demokrasia ya kweli daima ni ile inayotokana na watu wenyewe; na inaheshimu historia, mila, desturi na tamaduni zao. Sisi badooooo!
 
Salaam, Shalom!!

Nauliza tu,

Hawa waliotuletea DEMOKRASIA mataifa ambayo Bado tunajitafuta yalilenga nini?

Mbona wao walipokuwa wanajenga Uchumi wao, miaka mingi iliyopita mbona waliotumia mijeredi?

Yaani mtoto asiyetaka shule, mzazi ampe mtoto huyo DEMOKRASIA na uhuru Ili iweje?

DEMOKRASIA kumpa bodaboda uhuru ,asiye na lesseni anayeingilia njia ya mwendokasi makusudi yafaa ni ni?

DEMOKRASIA na uhuru usio na mipaka wa kumwachia mtoto achezee bunduki yenye risasi yafaa nini?

DEMOKRASIA Kwa wezi, waovu ,wabadhirifu yafaa nini?

Kwanini wanasiasa wote na watumishi wa umma wasipelekwe JKT Kwa lazima Kwa angalau miezi SITA wafundishwe Uzalendo Kwa viboko?

Yaani HAKI za binadamu Kwa Wasiokuwa wazalendo Kwa nchi Yao, Ina mchango Gani Kwa maendeleo yetu?

DEMOKRASIA ni ya nini Kwa wezi wa kura?

Yaani mtu auze msitu Kwa Mfano, alindwe na Sheria, mchakato uanze Polepole, kabla kesi haijaenda mahakamani, ameshahonga wote hapo juu, baada ya siku chache hakuna kesi, hakuna msitu!!

Swali: DEMOKRASIA Kwa wajinga Ina manufaa Gani?

OMBI: TULETEENI DIKTETA MWINGINE TAFADHALI!!!

Karibuni!!
Ninachoweza kusema ni kwamba hujitambui. Pole sana.
 
Back
Top Bottom