Demokrasia: Mbowe na Lipumba washauriwe wapishe na ziingie fikra mpya kwenye Siasa za Vyama vingi

Demokrasia: Mbowe na Lipumba washauriwe wapishe na ziingie fikra mpya kwenye Siasa za Vyama vingi

Kwahiyo kama atakuwa ana shinda uchaguz hakuna shida aongoze tuh hata milele?

Jibu langu limeendana na alichoongea niliyemquote. Hata hivyo mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, kwenye nafasi ya kuchaguliwa ikiwemo huyo Mbowe, na msimamo wangu uko wazi kwenye hilo hapa jukwaani.
 
Back
Top Bottom