THE BIG SHOW JF-Expert Member Joined Feb 28, 2012 Posts 16,950 Reaction score 13,527 Jul 30, 2021 Thread starter #21 tindo said: Hicho kinachomliza mleta mada ni nini kama hata Mbowe anashindana kwenye uchaguzi? Click to expand... Kwahiyo kama atakuwa ana shinda uchaguz hakuna shida aongoze tuh hata milele?
tindo said: Hicho kinachomliza mleta mada ni nini kama hata Mbowe anashindana kwenye uchaguzi? Click to expand... Kwahiyo kama atakuwa ana shinda uchaguz hakuna shida aongoze tuh hata milele?
Tindo JF-Expert Member Joined Sep 28, 2011 Posts 63,730 Reaction score 111,542 Jul 30, 2021 #22 THE BIG SHOW said: Kwahiyo kama atakuwa ana shinda uchaguz hakuna shida aongoze tuh hata milele? Click to expand... Jibu langu limeendana na alichoongea niliyemquote. Hata hivyo mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, kwenye nafasi ya kuchaguliwa ikiwemo huyo Mbowe, na msimamo wangu uko wazi kwenye hilo hapa jukwaani.
THE BIG SHOW said: Kwahiyo kama atakuwa ana shinda uchaguz hakuna shida aongoze tuh hata milele? Click to expand... Jibu langu limeendana na alichoongea niliyemquote. Hata hivyo mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, kwenye nafasi ya kuchaguliwa ikiwemo huyo Mbowe, na msimamo wangu uko wazi kwenye hilo hapa jukwaani.