Demokrasia ni adui wa maendeleo

Demokrasia ni adui wa maendeleo

Sasa umepaniki nini na wewe em relax. Ka jinga

Huu ni mjadala tu mkuu, tunabadilishana mawazo

Libya ni mfano mzuri sana. Wewe unahisi wale wa Libya walikuwa wajinga?

Yaani you think kwamba wewe ni smart sana kuliko wale Walibya ambao waliingia mtaani kumtoa Gadaffi mwenyewe na ku-risk maisha yao kupigwa na mabomu?

Unadhani hao Wa libya walikuwa hawaoni maendeleo aliyoleta huyo Gadaffi? Ila wewe mtanzania ambaye unaishi Nangurukuru huko ndo unajifanya unaelewa saaaaana?

Kuna mambo mengi hujui kuhusu watu na vitu wanavyovitaka kwenye maisha yao so kama hujui shut the helll up

Yaaani usomeshe watu hadi chuo bure alafu utake kuwatawala kama watoto wako?
Moja ya tatizo la demokrasia ni kudhani kuwa maamuzi ya wengi ndiyo maamuzi ya akili. Sakata la Brexit limetuonyesha kinyume chake. So hata kama Walibya wengi wangetaka kweli kumtoa Ghadaffi haimaanishi wako sahihi sababu ni wengi.
 
Hakuna anayehadaika bwana. Vitu viko open.

Kwanini tuweke our destiny kwa mtu mmoja? Maana yake unataka tubahatishe?

Huyo mtu akiwa mjinga maana yake anapeleka taifa zima matopeni. Sasa ndo ujinga gani huo mkuu?

Waafrika mna reasons zenu nyingine za kutokuendelea na zinajulikana lakini msianze kusingizia demokrasia.

Mababu zenu na falme zenu za kizamani mbona hawakuwa wanafuata mfumo huu wa kidemokrasia na bado walikuwa wanajsaidia vichakani hata vyoo walishindwa kutengeneza?

Huo ni uvivu wa kufikiri
Udikteta siyo lazima uwe wa mtu mmoja. China na Vietnam wana vyama vinavyoshika madaraka, wanabadili tu katibu mkuu. Vietnam iliyopigwa mabomu na kuchomwa moto imetuacha mbali tukihangaika na demokrasia.
 
Nchi gani ya kidemokrasia imewahi toka kwenye umasikini hadi ikaendelea? Kilichomuua hasa Ghadaffi ni kutaka kuhatarisha petrodollar na si udikteta wake. Ndiyo maana nchi za magharibi zilimpiga mabomu. Kesi yake ni kama ya Venezuela. Pia kuwa na dikteta tu siyo tiketi ya maendeleo, lakini kuwa na demokrasia ni tiketi ya moja kwa moja ya kukosa maendeleo na kurudisha nyuma yale yaliyopatikana.

Misri, nchi ya pili au ya kwanza kwa uchumi barani Africa ni nchi inayoendeshwa kidikteta.

Hiyo ni secondary factor and its debatable.

But we know for a fact kwamba wale thousands of people walioenda kuandamana it was not because ya hiyo Petro Dollar unayoisema.

It was because Wa Libya walimchoka na alikuwa anauwa sana opposition and they wanted him out.

Western countries hawawezi kuhonga wale watu wote waandamane. Gaddafi ALICHOKWA and he was brutal.

Kama Wa Libya walikuwa wanampenda sana huyo baba wasingeingia mtaani massively kiasi kile.

=================================

Sasa kama unajua kuwa Udikteta sio tiketi moja kwa moja ya maendeleo kwanini umetumia Misri kama mfano?

Una uhakika gani kama udikteta ndo umefanya Misri iendeelee?
 
Uingereza na Netherlands zina monarchie and still ni democracies.

Kusema kuwa Afrika hatujaendelea kwa sababu ya demokrasia ni uvivu wa kufikiri na kukosa akili.

Mobutu Seseseko na Iddi Amin waliongoza kwa mkono wa chuma lakini leo Uganda na Congo ni shitholes.

Reasons on why hatuendelei kama Waafrika zipo na mnazijua acheni kuhamisha magoli.
Hizo nazo utaziita za kifalme. Tunazungumzia za kifalme kama KSA na UAE. Pia kumbuka hakuna aliyesema kuwa nchi ikiongozwa na dikteta basi itaendelea automatically. Uzi unasema jinsi ambavyo nchi ya kidemokrasia haiwezi kuendelea na jinsi demokrasia ilivyo adui wa maendeleo.
 
P.W.Botha alitoka hotuba yenye kuelezea ukweli mchumgu kwa sisi watu weusi,ukisoma na kutulia utajua sababu ya mtu mweusi kuwa hivi sio imeletwa na watu weupe au mifumo bali mtu mweusi mwenyewe anamatatizo.
 

Attachments

  • Screenshot_20241012-181151 (2).jpg
    Screenshot_20241012-181151 (2).jpg
    39.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241012-181144 (1).jpg
    Screenshot_20241012-181144 (1).jpg
    52.3 KB · Views: 3
Moja ya tatizo la demokrasia ni kudhani kuwa maamuzi ya wengi ndiyo maamuzi ya akili. Sakata la Brexit limetuonyesha kinyume chake. So hata kama Walibya wengi wangetaka kweli kumtoa Ghadaffi haimaanishi wako sahihi sababu ni wengi.

Maamuzi ya wengi kwenye nini?

Hata Marekani, France, Uingereza, Nigeria etc kuna vitu wananchi hawana maamuzi navyo hasa mambo ya kiuchumi na mambo ya kiusalama?

Still its a democracy.

Lakini kama wananchi hawakutaki unalazimisha ili nini yani? As a response unaamua kuteka and bombing the hell out of them. Wananchi wako?

Wa Libya sio wajinga wale. Dont think wewe mtanzania unawajua Wa Libya kuliko wanavyojijua. Wewe unasoma Cnn wenzako walimu-exprience Gadaffi first hand.
 
Maamuzi ya wengi kwenye nini?

Hata Marekani, France, Uingereza, Nigeria etc kuna vitu wananchi hawana maamuzi navyo hasa mambo ya kiuchumi na mambo ya kiusalama?

Still its a democracy.

Lakini kama wananchi hawakutaki unalazimisha ili nini yani? As a response unaamua kuteka and bombing the hell out of them. Wananchi wako?

Wa Libya sio wajinga wale. Dont think wewe mtanzania unawajua Wa Libya kuliko wanavyojijua. Wewe unasoma Cnn wenzako walimu-exprience Gadaffi first hand.
Watanzania wengi huwa nashangaa sana linapo kuja suala la Libya,hudhani wao ndo wenye akili nyingi kuhusu kilicho tokea Libya kuliko Walibya wenyewe.

Libya chini ya utawala wa Gadaffi,wanao jua mazuri na machungu ni Walibya wenyewe.
 
Hiyo ni secondary factor and its debatable.

But we know for a fact kwamba wale thousands of people walioenda kuandamana it was not because ya hiyo Petro Dollar unayoisema.

It was because Wa Libya walimchoka na alikuwa anauwa sana opposition and they wanted him out.

Western countries hawawezi kuhonga wale watu wote waandamane. Gaddafi ALICHOKWA and he was brutal.

Kama Wa Libya walikuwa wanampenda sana huyo baba wasingeingia mtaani massively kiasi kile.

=================================

Sasa kama unajua kuwa Udikteta sio tiketi moja kwa moja ya maendeleo kwanini umetumia Misri kama mfano?

Una uhakika gani kama udikteta ndo umefanya Misri iendeelee?
Huhitaji kuhonga kila raia ili kufanya waandamane.

Misri ni mfano mmojawapo. Na hapa hatuzungumzii udikteta. Tunazungumzia hasa kutokuwepo na kuwepo kwa demokrasia na maendeleo. Kinyume cha demokrasia siyo udikteta. Hivyo Misri ni mfano tu.
 
Hizo nazo utaziita za kifalme. Tunazungumzia za kifalme kama KSA na UAE. Pia kumbuka hakuna aliyesema kuwa nchi ikiongozwa na dikteta basi itaendelea automatically. Uzi unasema jinsi ambavyo nchi ya kidemokrasia haiwezi kuendelea na jinsi demokrasia ilivyo adui wa maendeleo.

Sasa kwanini mifano yako unatoa ya nchi zilizoendelea kwa kutumia udikteta?

Labda wewe utupe mfano wa nchi zilizoendelea nje ya mifumo hiyo miwili?

Otherwise huu uzi wako ulikuwa hauna maana.

Nimekupa those examples based on mifano uliyokuwa unatoa huko juu.

=========================================

Waafrika tumeanza ku-adopt this kind of democracy in in 1970s huko.

Before then wafalme na machifu mfumo waliokuwa wanatumia kwenye bara hili HAUKUWA wa kidemokrasia

Je at that time Tuliendelea? Kipindi ambacho tulikuwa hatuna demokrasia?
 
Maamuzi ya wengi kwenye nini?

Hata Marekani, France, Uingereza, Nigeria etc kuna vitu wananchi hawana maamuzi navyo hasa mambo ya kiuchumi na mambo ya kiusalama?

Still its a democracy.

Lakini kama wananchi hawakutaki unalazimisha ili nini yani? As a response unaamua kuteka and bombing the hell out of them. Wananchi wako?

Wa Libya sio wajinga wale. Dont think wewe mtanzania unawajua Wa Libya kuliko wanavyojijua. Wewe unasoma Cnn wenzako walimu-exprience Gadaffi first hand.
Hata wakati wa Brexit ungesema waingereza waliishi ndani ya UE hivyo wanavyopiga kura kuikataa siyo wajinga, wanaelewa wanachofanya. Leo wanajutia maamuzi yale. Leo majority ya walibya wanajuta kumtoa Ghadaffi. Moja ya tatizo la demokrasia ni kudhani watu wakiwa wengi wanakuwa na akili.
 
Huhitaji kuhonga kila raia ili kufanya waandamane.

Misri ni mfano mmojawapo. Na hapa hatuzungumzii udikteta. Tunazungumzia hasa kutokuwepo na kuwepo kwa demokrasia na maendeleo. Kinyume cha demokrasia siyo udikteta. Hivyo Misri ni mfano tu.

Kwa hiyo wale wa LIBYA walikuwa ni vichaa?

Yaani mamilioni ya watu walirogwa to the point wakaanza kuandamana bila sababu za msingi wakijua fika wanaweza kwenda KUFA?

Nimekuuliza swali.

Before uhuru na African societies most hazikuwa na demokrasia hii ya sasa.

Ziliendelea?
 
Afrika hakuna maendeleo kwasababu mmekataa demokrasia ya kweli. Mmebaki na demokrasia ya kudanganyia Wafadhili.

Niambie nchi gani yenye demokrasia ya kweli hapa duniani ambayo ni maskini?
 
Nchi inaweza kupata maendeleo ikitawaliwa kidikteta lakini siyo guarantee. Mfano Shelisheli, Libya ya Ghaddafi, labda Misri na Hata Morocco iliyo kifalme. Lakini chini ya demokrasia ni kama haiwezekani kupata maendeleo.
Ni sawa na kusema nchi ili iendelee lazima raia wake wawe na dini kwa sababu nchi zote zilizoendelea raia wake wengi walikuwa na dini, ujinga mtupu.
 
Hata wakati wa Brexit ungesema waingereza waliishi ndani ya UE hivyo wanavyopiga kura kuikataa siyo wajinga, wanaelewa wanachofanya. Leo wanajutia maamuzi yale. Leo majority ya walibya wanajuta kumtoa Ghadaffi. Moja ya tatizo la demokrasia ni kudhani watu wakiwa wengi wanakuwa na akili.

Umeanza kuhamisha magoli mambo ya BREXIT yanaingiaje hapa?

Tunajadili suala la Libya. Stick kwenye mada.

Kiongozi yoyote ambaye hatakiwi na watu inabidi aondoke. Hata kama ulikuwa unawapa chakula bure.

Ukianza kuwanyanyasa watakuondoa tu.

Ni nature ya dunia ilivyo.
 
Sasa kwanini mifano yako unatoa ya nchi zilizoendelea kwa kutumia udikteta?

Labda wewe utupe mfano wa nchi zilizoendelea nje ya mifumo hiyo miwili?

Otherwise huu uzi wako ulikuwa hauna maana.

Nimekupa those examples based on mifano uliyokuwa unatoa huko juu.

=========================================

Waafrika tumeanza ku-adopt this kind of democracy in in 1970s huko.

Before then wafalme na machifu mfumo waliokuwa wanatumia kwenye bara hili HAUKUWA wa kidemokrasia

Je at that time Tuliendelea? Kipindi ambacho tulikuwa hatuna demokrasia?
Sijatoa mifano ya nchi za kidikteta tu. Pale mwanzo nimeandika mifano ya nchi za kidikteta na za kifalme. Na pia kuna nchi kama China na Vietnam ambazo zinaongozwa na vyama.

Watu wa kale, kwa wakati wao waliendelea kwa viwango vyao. Miaka 2000 ijayo USA ya leo itaonekana primitive. So, wakati wa wafalme na machifu tuliendelea. Mifano ipo mingi, mfano bora kabisa ni utawala wa mafarao wa Misri. Unataka kusema enzi za machifu na wafalme tulikuwa hatujaendelea?
 
Kama jamii inakuwa iko developed, educated and can sustain itself. Below that huo mfumo ni tatizo.
Kwa wenzetu unafanikies sababu kule jamii zimeshavuka stages fulani ambazo sisi bado hatujavuka

This is a blank statement.

Hebu taja hizo stages?
 
Umeanza kuhamisha magoli mambo ya BREXIT yanaingiaje hapa?

Tunajadili suala la Libya. Stick kwenye mada.

Kiongozi yoyote ambaye hatakiwi na watu inabidi aondoke. Hata kama ulikuwa unawapa chakula bure.

Ukianza kuwanyanyasa watakuondoa tu.

Ni nature ya dunia ilivyo.
Tu stick kwenye mada. Mada inasema Demokrasia ni adui wa maendeleo. Na kuwa nchi masikini haiwezi kuendelea ikiwa inatawaliwa kidemokrasia. Una mifano kutoka sehemu mbalimbali duniani inayoonyesha nchi masikini zilizoendelea zikiwa chini ya demokrasia?
 
Afrika hakuna maendeleo kwasababu mmekataa demokrasia ya kweli. Mmebaki na demokrasia ya kudanganyia Wafadhili.

Niambie nchi gani yenye demokrasia ya kweli hapa duniani ambayo ni maskini?
Hizo nchi zimekuwa tajiri sababu ya demokrasia au zina demokrasia sababu ni tajiri?
 
Back
Top Bottom