Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Tuanze kumlaumu Nyerere kwa harakati zake za kuitaka demokrasia na kufukuza wazungu.Naunga mkono title ya mada hii. Demkkrasia inafaa kwa mataifa yaliyoendelea tayari. Lakini kwetu sisi ni upotezaji wa rasilimali muda, fedha na nguvukazi
#YNWA
#YANGA_BINGWA