Demokrasia ya Kenya: Ruto aagiza Polisi watoe Ulinzi kwa Raila Odinga

Demokrasia ya Kenya: Ruto aagiza Polisi watoe Ulinzi kwa Raila Odinga

ANAUPIGA MWINGI

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2022
Posts
389
Reaction score
757
Kuna baadhi ya vitu wakenya wanafanya ambayo sio levo ya Afrika kabisa bali ni ya huko Ulaya na America.

Raila Odinga anapanga kufanya mikutano kwenye baadhi ya miji mikubwa kama Nairobi, Mombasa, Kisuma Nakuru na Kakamega.

Saaa cha ajabu William Ruto ameagiza Waziri wa Mambo ya ndani kuhakikisha Jeshi la Polisi linatoa ulinzi wa kutosha kwa huo mkutano hata wakitaka kuandamana pia wapewe ulinzi.

Hili kwa Bongo nadhani kwa kizazi chetu tutakufa bila kulishuhudia labda wajukuu zetu ndio wanaweza kuja kushuhudia hii.

Ingekuwa ni Bongo tungeisha anza kuoma mazoezi ya Polisi Barabarani ili kutisha watu na by the way Uoga wetu ndio ni nguzo muhimu ya CCM kuendelea kutawala, Bila Watanzania kuwa waoga CCM ingeisha sahaulika kitambo
Screenshot_20221204_164648_com.facebook.katana.jpg
 
Kuna baadhi ya vitu wakenya wanafanya ambayo sio levo ya Afrika kabisa bali ni ya huko Ulaya na America.

Raila Odinga anapanga kufanya mikutano kwenye baadhi ya miji mikubwa kama Nairobi, Mombasa, Kisuma Nakuru na Kakamega.

Saaa cha ajabu Williamu Ruto amegai waziri wa Mambo ya ndani kuhakikisha Keshi la Police linatoa ulinzi wa kutosha kwa huo mkutano hata wakitaka kuandamana pia wapeww ulinzi.

Hili kwa Bongo nazani kwa kizazi chetu tutakufa bila kulishuhudia labda wajukuu zetu ndio wanaweza kuja kushuhudia hii.

Ingejuwa ni Bongo tungeisha anza kuoma mazoezi ya Police Barabarani ili kutisha watu na by the way Uoga wetu ndio ni nguzo muhimu ya CCM kuendelea kutawala, Bila Watanzania kuwa waoga CCM ingeisha sahaulika kitamboView attachment 2435728
Hilo ni dogo sana ni kama camouflage politics za Kenya zina mapungufu mengi kuliko za Tanzania..........mtu bora aishi Tz na CCM yetu kuliko Kenya yenye vyama vya ukabila na vyeo vya ukabila
 
Sisi ambao hatuna ukabila tunawazidi nini hao wenye ukabila?
Huijui Kenya halafu hiyo tweet ya mtoa mada hujaisoma mpaka mwisho. Kuna maneno haya

"They can demonstrate everyday once a week, every month and for how many years. You will nott blackmail this nation, and you will not threaten the people of Kenya"

Haya maneno yana harufu yote ya UDIKTETA Uchwara
 
Hilo ni dogo sana ni kama camouflage politics za Kenya zina mapungufu mengi kuliko za Tanzania..........mtu bora aishi Tz na CCM yetu kuliko Kenya yenye vyama vya ukabila na vyeo vya ukabila

But hata mawazo ya kapuku yanaheshimika
 
Hilo ni dogo sana ni kama camouflage politics za Kenya zina mapungufu mengi kuliko za Tanzania..........mtu bora aishi Tz na CCM yetu kuliko Kenya yenye vyama vya ukabila na vyeo vya ukabila
Hizo ni hisia zako zikijengwa na mapenzi yako kwa CCM, tuonyeshe hayo mapungufu tulinganishe na CCM yenu inayowabambikia kesi za ugaidi wapinzani
Kupora uchaguzi na mauaji ya wananchi kwenye chaguzi
Kuwafunga kwa kesi za uongo wanachama vya vyama vya siasa na kuwafunga maisha
Kuwashambulia na hata kuwaua wapinzani
 
Covax, nimeishi Kenya miaka 10, sawa kuna sehemu masikini sana kama Kibera ila ni sababu ya mfumo wa ubepari. Wenzetu hawana blaablaaa, wanaenda na wakati. Kwenye vikundi utakuta wanaongea tu mambo ya maendeleo, sisi mara nyingi ni mpira na mambo mengine yasiyo na tija. Angalia watu wenye kazi za kimataifa Kenya wapo wengi. Nikuulize, unapewa swali, kiuchumi ni nchi ipi iko juu Kenya au Tz, usiweke siasa.
 
Hizo ni hisia zako zikijengwa na mapenzi yako kwa CCM, tuonyeshe hayo mapungufu tulinganishe na CCM yenu inayowabambikia kesi za ugaidi wapinzani
Kupora uchaguzi na mauaji ya wananchi kwenye chaguzi
Kuwafunga kwa kesi za uongo wanachama vya vyama vya siasa na kuwafunga maisha
Kuwashambulia na hata kuwaua wapinzani
Kenya wana uana kwasbb za ki kabila wana baguwans ufisadi na wizi wa Kenya ni mara mbili na watanzania, CCM na rahisi mtu kupanda cheo bila kuangalia kabila lake au dini yake,......
 
Covax, nimeishi Kenya miaka 10, sawa kuna sehemu masikini sana kama Kibera ila ni sababu ya mfumo wa ubepari. Wenzetu hawana blaablaaa, wanaenda na wakati. Kwenye vikundi utakuta wanaongea tu mambo ya maendeleo, sisi mara nyingi ni mpira na mambo mengine yasiyo na tija. Angalia watu wenye kazi za kimataifa Kenya wapo wengi. Nikuulize, unapewa swali, kiuchumi ni nchi ipi iko juu Kenya au Tz, usiweke siasa.
Kama umeishi kenya nadhani umeishi kaunti za mjini tu, Kenya unao sema ina high income inequality ni 2% ya wakenya ndo wenye maisha mazuri nyumba na mshahara mzuri 70% ya Wakenya ni landless living in urban poverty hawana wakika wa milo 3 kwa siku. Jingine 50% ni underemployed wanafanya odd jobs kama ulinzi toilet cleaners Hotel attendants nk 50% ya aridhi ya kenya ni arid land sio nzuri kwa kilimo.
Tanzania ni maziwa tu, hata raia wa kawaida anajajiri na anajenga mjini watu wana aridhi mitaji nk.
 
Kama umeishi kenya nadhani umeishi kaunti za mjini tu, Kenya unao sema ina high income inequality ni 2% ya wakenya ndo wenye maisha mazuri nyumba na mshahara mzuri 70% ya Wakenya ni landless living in urban poverty hawana wakika wa milo 3 kwa siku. Jingine 50% ni underemployed wanafanya odd jobs kama ulinzi toilet cleaners Hotel attendants nk 50% ya aridhi ya kenya ni arid land sio nzuri kwa kilimo.
Tanzania ni maziwa tu, hata raia wa kawaida anajajiri na anajenga mjini watu wana aridhi mitaji nk.
Wewe wataka ule mara 3 wataka kunenepeana kama tembo?
 
Wewe wataka ule mara 3 wataka kunenepeana kama tembo?
Hapo ndo ujue tz tuko vizuri Kenya kula mara tatu ni nasa au luxury, hali ngumu kule viongozi wao zaidi ya show-off na kuongea kiingereza cha imitation hawawasaidie
 
Nadhan hujaona sarcasm iliyoko kwenye Hilo agizo la Ruto... Kwani waziri wa ulinzi hajui majukumu yake mpaka Ruto ampatie maagizo kupitia kwenye majukwaa ya siasa akimulikwa na Camera na vipaza sauti?!....FYI ,Hakuna siasa chafu Africa hii kama ya Kenya.
 
Back
Top Bottom