Demokrasia ya Kenya: Ruto aagiza Polisi watoe Ulinzi kwa Raila Odinga

Demokrasia ya Kenya: Ruto aagiza Polisi watoe Ulinzi kwa Raila Odinga

Kaagiza atoe ulinzi au kaagiza afanyiwe surveillance?...
Hata mm nimeelewa kama wewe. Hapa Ruto ni kama anamtisha Raila kwa kumpa uangalizi (siyo ulinzi) mzuri wa kipe anachotaka kujifanya . Ndiyo maana kamalizia maelezo yake kwa kupiga mkwara.
 
Nadhan hujaona sarcasm iliyoko kwenye Hilo agizo la Ruto... Kwani waziri wa ulinzi hajui majukumu yake mpaka Ruto ampatie maagizo kupitia kwenye majukwaa ya siasa akimulikwa na Camera na vipaza sauti?!....FYI ,Hakuna siasa chafu Africa hii kama ya Kenya.
Naona wewe wajua Kenya vizuri Kenya inaongoza kwenye dirty politics hapa Africa, wasio ujua kenya ndo wana wasifia
 
Umeandika pumba tupu tu hujui lolote kuhusu Kenya.
Challenge me with facts sio jaziba mimi najua Kenya kuliko unavo fikiri ntakutajia kila eneo, wasio jua ndo wanalinganisha kenya na TZ, labda kwa majengo ambayo ni ya wazungu na wahindi
 
Amani na utulivu na pia hatuna njaa hivyo ndo tunawazidi wa Kenya

Kwani kuna vita Kenya mkuu?? Hata hiyo njaa ilo wapi Kenya? Nadhani unazungumzia mambo ya tabia nchi kuwa kuna ukame kuliko Bongo, tukienda kwa standard hiyo, je kuna njaa Saudia Arabia??

Nchii hii imejaa vijana wa hovyo sana!! Nilidhani utasema uchumi wetu ni mkubwa kuliko wao, nilidhani utasema elimu yetu ni bora, na mambo mengine kama hayo. Siku idadi yako ya aina ya vijana ikipungua - nchi itasonga!!
 
Kuna baadhi ya vitu wakenya wanafanya ambayo sio levo ya Afrika kabisa bali ni ya huko Ulaya na America.

Raila Odinga anapanga kufanya mikutano kwenye baadhi ya miji mikubwa kama Nairobi, Mombasa, Kisuma Nakuru na Kakamega.

Saaa cha ajabu Williamu Ruto amegai waziri wa Mambo ya ndani kuhakikisha Keshi la Police linatoa ulinzi wa kutosha kwa huo mkutano hata wakitaka kuandamana pia wapeww ulinzi.

Hili kwa Bongo nazani kwa kizazi chetu tutakufa bila kulishuhudia labda wajukuu zetu ndio wanaweza kuja kushuhudia hii.

Ingejuwa ni Bongo tungeisha anza kuoma mazoezi ya Police Barabarani ili kutisha watu na by the way Uoga wetu ndio ni nguzo muhimu ya CCM kuendelea kutawala, Bila Watanzania kuwa waoga CCM ingeisha sahaulika kitamboView attachment 2435728

Lkn ulielewa kilicho andikwa!?
 
Hilo ni dogo sana ni kama camouflage politics za Kenya zina mapungufu mengi kuliko za Tanzania..........mtu bora aishi Tz na CCM yetu kuliko Kenya yenye vyama vya ukabila na vyeo vya ukabila
Mwambie huyo kibwengo.
 
Ndio muongozo wa katiba ya Kenya 2010, kuhusu maandamano na masuala kama hayo yanayohusiana na demokrasia. Sio kwamba ni hulka au upendo wa Rais Dr. WSR au kiongozi yeyote yule aliye usukani. Hiyo ni haki ya Rt. Hon. Raila, upinzani na wakenya wengine pia, ambao wana misimamo ambayo yanakinzana na rais au chama tawala.

Hivi ni vitu vya kawaida sana, ambavyo majirani mtazidi kuyashangaa shangaa kwa ulimbukeni na ushamba wenu. Hadi pale ambapo akili zitakapowarudia na mtakapokoma kabisa, kwa uoga wenu, kukuza viongozi miungu watu. Badala ya taasisi na mihimili huru inayozingatia utawala wa kisheria.

Kwa mfano rais Samia angekuwa ni rais wa Kenya hungesikia mkenya hata mmoja akimuita sijui Mama. Wala kumsifia sifia, kwenye vitu vya msingi na vya kawaida kama huduma za kiserikali, ambazo kisheria ni haki ya kila mwananchi. Ndio yale yale ya mwendazake, ambaye nyinyi wenyewe watanzania ndio mlimvimbisha kichwa. Alafu baadaye mkaanza kulialia alipoanza kuwabana na kuwafinya bila huruma.
 
Hapa
Kenya wana uana kwasbb za ki kabila wana baguwans ufisadi na wizi wa Kenya ni mara mbili na watanzania, CCM na rahisi mtu kupanda cheo bila kuangalia kabila lake au dini yake,......
Tumeona wakiuana au wakiuliwa na CCM, wakibambikiwa kesi, viongozi wanaojenga viwanja vya ndege vijiji walivyotoka kama dikteta Mobutu.
Tupe incidence ya ufisadi wa Kenya siyo blaa blaa za wapambe wa Lumumba
 
Wewe hujui Kenya unaisikia tu gazetini na media hujawahi ku ishi Kenya haituzidi lolote labda njaa ukabila ufisadi na umasikini wa raia wa kawaida,
Na wewe unafikiri ni Kenya mzima iko na umasikini???huko kibra ni masikini wangapi wa tanzania wako huko??? Ukabila ndiyo imefanya kenya ikuwe na democracy. Kitu ingine, kila mraiya lazima asema "I'm proud to be whom I am"

Tumia pesa zikuzoee
 
Na wewe unafikiri ni Kenya mzima iko na umasikini???huko kibra ni masikini wangapi wa tanzania wako huko??? Ukabila ndiyo imefanya kenya ikuwe na democracy. Kitu ingine, kila mraiya lazima asema "I'm proud to be whom I am"

Tumia pesa zikuzoee
Umasikini wa Kenya ni wadamu, mkenye hata akipata kazi nzuri atakosa aridhi pakujenga nyumba, lisha ya kuishi Kenya miaka mingi sijawahi kuitamani iwe nchi yangu.
 
Saaa cha ajabu William Ruto ameagiza Waziri wa Mambo ya ndani kuhakikisha Jeshi la Polisi linatoa ulinzi wa kutosha kwa huo mkutano hata wakitaka kuandamana pia wapewe ulinzi.
Mikutano ya kisiasa haijapigwa marufuku huko ili wanyooshe nchi kwanza.
 
Kama umeishi kenya nadhani umeishi kaunti za mjini tu, Kenya unao sema ina high income inequality ni 2% ya wakenya ndo wenye maisha mazuri nyumba na mshahara mzuri 70% ya Wakenya ni landless living in urban poverty hawana wakika wa milo 3 kwa siku. Jingine 50% ni underemployed wanafanya odd jobs kama ulinzi toilet cleaners Hotel attendants nk 50% ya aridhi ya kenya ni arid land sio nzuri kwa kilimo.
Tanzania ni maziwa tu, hata raia wa kawaida anajajiri na anajenga mjini watu wana aridhi mitaji nk.
Huu utafiti ulifanya wapi ndugu? Ni wapi ulisoma kwamba asilimia mbili tu ya wakenya wana maisha mazuri?
 
Kuna baadhi ya vitu wakenya wanafanya ambayo sio levo ya Afrika kabisa bali ni ya huko Ulaya na America.

Raila Odinga anapanga kufanya mikutano kwenye baadhi ya miji mikubwa kama Nairobi, Mombasa, Kisuma Nakuru na Kakamega.

Saaa cha ajabu William Ruto ameagiza Waziri wa Mambo ya ndani kuhakikisha Jeshi la Polisi linatoa ulinzi wa kutosha kwa huo mkutano hata wakitaka kuandamana pia wapewe ulinzi.

Hili kwa Bongo nadhani kwa kizazi chetu tutakufa bila kulishuhudia labda wajukuu zetu ndio wanaweza kuja kushuhudia hii.

Ingekuwa ni Bongo tungeisha anza kuoma mazoezi ya Polisi Barabarani ili kutisha watu na by the way Uoga wetu ndio ni nguzo muhimu ya CCM kuendelea kutawala, Bila Watanzania kuwa waoga CCM ingeisha sahaulika kitamboView attachment 2435728
hakuna cha level yo yote hapo. huko ulaya na marekani huwezi ukakuta king'ang'anizi wa siasa kama raila. Ruto inabidi aamuru polisi wamlinde kwa sababu hata akijikwaa, wafuasi wake wapuuzi watamlaumu ruto na siajabu watasema ndiye alitega jiwe ili raila ajikwae
 
Umasikini wa Kenya ni wadamu, mkenye hata akipata kazi nzuri atakosa aridhi pakujenga nyumba, lisha ya kuishi Kenya miaka mingi sijawahi kuitamani iwe nchi yangu.
Kwetu pazuri nitapakumbuka. Pengine ulikuwa unaishi kenya pale kwa boder
 
Kuna baadhi ya vitu wakenya wanafanya ambayo sio levo ya Afrika kabisa bali ni ya huko Ulaya na America.

Raila Odinga anapanga kufanya mikutano kwenye baadhi ya miji mikubwa kama Nairobi, Mombasa, Kisuma Nakuru na Kakamega.

Saaa cha ajabu William Ruto ameagiza Waziri wa Mambo ya ndani kuhakikisha Jeshi la Polisi linatoa ulinzi wa kutosha kwa huo mkutano hata wakitaka kuandamana pia wapewe ulinzi.

Hili kwa Bongo nadhani kwa kizazi chetu tutakufa bila kulishuhudia labda wajukuu zetu ndio wanaweza kuja kushuhudia hii.

Ingekuwa ni Bongo tungeisha anza kuoma mazoezi ya Polisi Barabarani ili kutisha watu na by the way Uoga wetu ndio ni nguzo muhimu ya CCM kuendelea kutawala, Bila Watanzania kuwa waoga CCM ingeisha sahaulika kitamboView attachment 2435728
Hivi ni vijembe, dharau na kiburi kutoka kwa Rais kwenda Baba
 
Back
Top Bottom