Demokrasia ya Kenya: Ruto aagiza Polisi watoe Ulinzi kwa Raila Odinga

Challenge me with facts sio jaziba mimi najua Kenya kuliko unavo fikiri ntakutajia kila eneo, wasio jua ndo wanalinganisha kenya na TZ, labda kwa majengo ambayo ni ya wazungu na wahindi
Mwehu wewe, muongo, a blind patriot.., unadanganya wenzako ni wivu inakusukuma, najua watanzania sambuli yako.., nenda kadanganye makapuku wenzako pale vijiweni., jikubali pale mlipo..,
 
Umasikini wa Kenya ni wadamu, mkenye hata akipata kazi nzuri atakosa aridhi pakujenga nyumba, lisha ya kuishi Kenya miaka mingi sijawahi kuitamani iwe nchi yangu.
Mimi ni mkenya, umedanganya., bladfwakin kabisa.., I know hii lafudhi ni ya nani, a zezeta πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Huu utafiti ulifanya wapi ndugu? Ni wapi ulisoma kwamba asilimia mbili tu ya wakenya wana maisha mazuri?
Huyo ni mwehu, anasukumwa na wivu na blind patriotrism, hajui lolote, yeye bora TZ ionekane iko juu ya Kenya ajisikie vizuri, hana uelewa wowote ni zezeta la vijiweni.,
 
Umasikini wa Kenya ni wadamu, mkenye hata akipata kazi nzuri atakosa aridhi pakujenga nyumba, lisha ya kuishi Kenya miaka mingi sijawahi kuitamani iwe nchi yangu.
Ukweli mchungu kaka.., jikubali mlivyo, mifukara wa kutupwa EAC na SADC.., πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nasema mara nyingi. Kenya wametuzidi mbali sana kwa kila nyanja. Tukubali tukubali tukatae lakini huo ndio ukweli.
 
Ujinga
 
Hayo maneno hayana udikteta wowote. Infact ni dongo. Kama hawana kazi za kufanya wanaweza kuandamana daily bila bugudha na waache mikwara ya kutishia maandamano (blackmailing..)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…