Patriotic and visionary
Member
- Oct 19, 2022
- 25
- 41
MkuuSerikali ina tuhuma nyingi sana dhidi yake yenyewe.
Lakinu kinakosekanika kitu kimoja nacho ni PROOF ya hayo matuhuma.
Tumbebeshe Rais tuhuma ambazo zina evidences zenye muelekeo wa kuaminisha na siyo mere accusations without facts
VYAMA vya UPINZANI TANZANIA ukikiacha Chama cha CHADEMA sio VYAMA vya UPINZANI kulijua hilo lazima uwe na AKILI KUBWAEti Rais wa nchi ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anaweza kuzuia Chama xyz kisipewe usajili hii ni Demokrasia au ujinga? Nchi ya Kidemokrasia mtu yoyote anaweza kuanzisha Chama chochote popote na muda wowote, angalia hata Kenya watu wanaanzisha Vyama kila uchwao sijawahi kusikia chama kikinyimwa usajili, lkn Tanzania kuanzisha Chama ni ishu, Rais aliyeko madarakani akiona hicho chama kinaweza kuwa tishio anakipinga kinanyimwa usajili.
Ulaya watu wanaanzisha mpaka vyama vya wanywa bia, kuna vyama vya wageni tu wahamiaji Ulaya kuna vyama vya Kanisa tu vyote poa tu.
Hapa Bongo Mbatia katimuliwa kwenye Chama chake na Polisi, kisa yuko mlengo tofauti na walamba asali na amekataa kulamba asali, …
Maelezo ya msajili yapoje ktk kujibu hii hoja?Mkuu
Chama cha umoja party!!
Waafrika [ watanzania ] kwa sasa tuna hitaji maendeleo hatuhitaji blah blah za majukwaani zisizo na msaada kwetu wowote ule Afrika ipo nyuma tena bado ipo nyuma sana bila kukaza mikanda hatuta fika popote pale kimaendeleo.
Wamekipiga chini aiseh hakipo tena!Maelezo ya msajili yapoje ktk kujibu hii hoja?
Nasubiri kisajiliwe nikate kadi maana CCM imeshavunda tayari
ni lazima CCM iwe na vyama pandikizi ili ku justify Demokrasia.VYAMA vya UPINZANI TANZANIA ukikiacha Chama cha CHADEMA sio VYAMA vya UPINZANI kulijua hilo lazima uwe na AKILI KUBWA
MkuuWamekipiga chini aiseh hakipo tena!
Kuna Jamaa walitaka kuanzisha chama cha umoja party hapa Bongo kwamba kitaenzi legacy ya JPM,wakapeleka pendekezo kwa msajili Ndugu Mutungi,japokuwa walifuata taratibu zote wamenyimwa usajili hadi Sasa!!Mkuu
Jambo unalolijua siyo kwamba wote wanalijua
Just share the info or clue tupate uhakika tuweze ku opt other solutions
Nikadhani Msajili ametoa statement kuwa kimenyimwa usajili.Kuna Jamaa walitaka kuanzisha chama cha umoja party hapa Bongo kwamba kitaenzi legacy ya JPM,wakapeleka pendekezo kwa msajili Ndugu Mutungi,japokuwa walifuata taratibu zote wamenyimwa usajili hadi Sasa!!
Kwenye hiyo Tumbocrasia na wapinzani nao wamo ?!!Mbatia kosa lake ni kukataa "MOU" na pia kukataa kumuita Samia "Mama" badala yake yeye anamuita"Dada" hapa Tanzania hakuna Demokradia bali "Tumbocrasia"
Kwanini hawaendi mahakamani ili ifahamike mbivu na mbichi ?Kuna Jamaa walitaka kuanzisha chama cha umoja party hapa Bongo kwamba kitaenzi legacy ya JPM,wakapeleka pendekezo kwa msajili Ndugu Mutungi,japokuwa walifuata taratibu zote wamenyimwa usajili hadi Sasa!!
Wanasema ni cha warundi!Kwanini hawaendi mahakamani ili ifahamike mbivu na mbichi ?
Huyo mtoa mada hufahamu vizuri, ni mtu aliyekuwa akishangilia mwendazake alivyokuwa aki terrorize wapinzani, sio mfuasi wa demokrasia huyo, ni mnafiki na lazima tumuambieni mnafiki
Hawa wa sasa ni wapumbavu.Kwa hiyo hayo maendeleo yataletwa hivi na hawa ?