Demu ananiomba anilalie zipuni!!

Wewe utakuwa una yako! Mwanaume kamili akiwa katika situation hiyo hana haja ya kuuliza au kuomba ushauri kwa watu. Tumia akili ya kuzaliwa.
 
kwanza umempenda kama si kumpenda umemtamani hamna haja ya kuomba ushauri mfanye utakavyo.
Poa!
Ngoja leo tufike Mwanza,lazima nikambinue leo!
Labda awe jini.
 
Rejao duh balaa
jamaa mziki wake wa kukoroma hapo ni balaa midomo yote wazi
Mkuu kama unamuona kabisa ana pete ya ndoa na ni mfanyakazi wa wizara ya mambo ya ndani na ni mtu wa musoma ogopa sana hiyo kitu aise
Angekuwa wa Kagera, je ungemshauri nini?
 

Mkuu labda huyo dem ni mbilikimo.
 
.....shukuru Mungu amekupa wazo la kutuma hii kitu tukushauri....
Huenda ulikua warudi mavumbini usiku huu....
U can take it or leave.....
Kengere ya hatari inagonga kichwani,ngoja niangalie namna ya kulivua gamba,iweje awe rahisi hivi kwangu?
 
Kengere ya hatari inagonga kichwani,ngoja niangalie namna ya kulivua gamba,iweje awe rahisi hivi kwangu?
Hujui kama kuna mfumuko wa bei?
Lipstick bei juu!
Lotion bei juu!
Sijui ile nini makufuri bei juu!
Kwanini asiwe rahisi na ujeda wake?
Kula mzigo kaka,achana na wanaokukatisha tamaa na kukutisha,hao wote wanakuonea wivu.......
 
kichurachura cha kiunoni!? Acha uwoga. Sagula mitumba wewe!

Mwambie wewe pengine atakuelewa,
Humu ndani kuna watu wanamuonea wivu sana,mara oh jini,mara oh piga simu bugando wakuwekee chumba,mara oh Lulu huyo andika urithi,now which is which?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…