Demu kanitokea live, lkn hataki tu-do.

Usipoangalia utauziwa mbuzi kwenye gunia kwani hayo mambo ya kusubira yapo kweli siku hizi sidhani lazima utest kwanza mzigo kama unalipa au laah ha ha ha ha

Ndio nashangaa watu wanavyomshauri asubirie lol....
 


Wewe mtoto wa kiume bana kwa nini uzinguliwe bila mpango??Alishawahi kutoa ndogo sasa wewe ndio anataka asikupe mpaka umuoe naona kachoka kutoa sasa anatafuta wa kukaa nae...Kama vipi tambaa tafuta mwingine wapo wengi tu wanawake kwa nini ukae usubirie eti mwaka mzima hujamlamba??Hapana anaweza akawa anampa mtu mwingine huko shuleni si unajuwa madent walivyo??So shtuka mapema!
 
Sioni yeye kukutokea na kukataa kuhusiana kimwili kwa sasa vinaingiliana vipi!!
Kama unampenda kweli msubirie..anasababu zake..either hataki kuchezewa bila uhakika wa kuwekwa ndani au anataka kukuuzia kondoo kweny gunia!

Mpaka sasa ni mwaka mzima sasa jamaa aendelee kusubiria mpaka lini??Basi demu atakuwa ana megwa huko shule na mtu mwingine la sivyo angeshatoa ndogo!
 

Lakini una hakika nae kwa 100% huko shule hamegwi??Kuwa makini aisee mwaka mmoja sio mdogo eti usubirie tu
 
Hainipi huyo anakubania kwa nini? bora angekuwa bikira angeeleweka. mweleze unavyojisikia kwa undani na uonyeshe hisia kabisa. anaogopa ku take risk tena kama alivyofanyiwa kabla kama sivyo amekuweka akiba yeye anaendelea kufanya tu na wengine

Hahahaha kumbe na wewe unajuwa au sio??Hiyo ndio hali halisi ninavyoona na sio vingine
 
Akuruhusu ukachakachue hivi mambo ya kusubiri harusi bado yapo tu? basi fanya haraka muoane kama imeshindikana kusubiri

Bado yapo naona......ila mda mrefu sana kwangu haijanitokea so nikajuwa yamekwisha tayari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…