Demu mzuri lakini kajamba!

Hahaaa. Ndio hivyo Mbalizi.

Kijana kaona ni jambo la ajabu.
Kwani wewe unaona kawaida best? Its so unusual yaani demu kujamba hadharani? I never seen this shiit before.
 
Hahaaaa. Akikua ataona jambo la kawaida.
Hakika

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ujue kijana kageuka kuwa kichekesho na kwa namna alivohadithia sasa!
 
Siku ukikutana na anae banja umpige picha utuletee kabisa[emoji23] [emoji23]
 
Mi ningekuuskia ningejua kama ana marinda au laa!
 

Kwa kukusaidia tu Mkuu kama kuna Jinsia ambayo kungekuwa na Kombe la Dunia la ' Ujambaji ' basi kila Msimu wa hayo Mashindano wangekuwa Mabingwa ni ya Kike / Wanawake. Humu kwenye Madaladala ' wanatujambia ' sana hadi inafika muda Sisi Wanaume tunashikana mashati na kusingiziana ' Kujamba ' kumbe ' Lijambaji ' limekaa tu katika Siti na ' Dela ' lake Kubwa tu huku ' likikodolea ' Simu yake na ' mimacho ' yake inazunguka utadhani Mamba wa Mto Ruaha ameona Kitoweo.

Tena bora ukutane na Mwanamke aliyejamba akiwa Kavaa ama Sketi tu au Suruali lakini ikitoke ukakutana na Mwanamke aliyevaa ' Dela ' halafu ' akajamba ' utakoma kuringa kwani Kwanza ule ' Ushuzi ' wake akishamaliza Kuutoa mule ndani ya ' Dela ' huwa unazunguka mule mule ndani huku ukijikusanya tayari kabisa kuanza kupenya nje na kuja Kutusumbua Sisi Raia wema tusiokuwa na hatia yoyote / kosa lolote lile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…