James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
😀😀😀😀As long as nimekuwa verified member nitahara sana humu. Jiandae tu kuzoa Dada. [emoji23] [emoji23]
hana marinda huyoNilikuwa somewhere stationery natoa photocopy then Mara ghafla kaingia demu mrembo wa haja nae kupata huduma stationery, jumla tukawa watatu mule ndani..Mimi na mhudumu pamoja na demu mwenye figure bomba, tako murua na tepetepe kama sofa la sufi,, sura ka Alicia keys, nywele natural long and flowing yaani kakamilika mbebi....! Tukiwa kimya almost wote Mara demu akajamba "puuuuuu" afu akaniangalia akaniambia "excuse me" nikajifanya mzungu nikamjibu.."its all gud!!! Hauna haja ya kuzuia gesi tumboni dawa ni kuiachia tu ipite" nikacheka kinafiki kumridhisha tu ila kimoyomoyo nikamvua vyeo vyote nilipanga kuchukua na namba nikaharisha, demu gani hana hata manners and can't behave? Afu ushuzi unanuka kama mapanki ya mwanza yale ya Darwin's nightmare Nahisi hata marinda anaweza kuwa hana ndio maana she can't hold gas in kwenye halaiki.
Nimekaa hapa muda huu ndio nakumbuka Leo ndio Mara ya kwanza kuona demu mzuri anajamba hadharani tangu nimezaliwa. Ooooopsiii! Wanawake wasiri sana maana mwanzoni nilihisi labda hata huwa hawajambi especially wale warembo zaidi.
No sweat...ila ndo hivyo demu mzuri lakini kajamba.
Hebu tupe uzoefu wako ikikitokea wewe unajizuia?Hahaaaa. Nimecheka kwa sauti lol.
Kwa kuwa naye ni binadamu aliyekamilika kama wengine sioni kama alichokifanya ni kitu cha ajabu sababu huenda ikawa amepon**kwa.
Eti "Excuse me" lol.
Mmh. Jamaani Sesten. Duuh [emoji85] [emoji85]Hebu tupe uzoefu wako ikikitokea wewe unajizuia?
Sasa unakimbia kwani umechukuliwa vipimo kwa ajili ya Afya Check na sasa unaogopa kupokea majibu Hajar!?Mmh. Jamaani Sesten. Duuh [emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaa. Lol.Sasa unakimbia kwani umechukuliwa vipimo kwa ajili ya Afya Check na sasa unaogopa kupokea majibu Hajar!?
Angalia lakini kwa mbio hizo usije ukafungulia kabda ya muda, maana wawahi ftar weweHahahaaaa. Lol.
Wacha nikimbie tu Sesten. [emoji23] nitarudi baadae.
Hahahaaa. Usijali. Niko makini. [emoji23] [emoji23]Angalia lakini kwa mbio hizo usije ukafungulia kabda ya muda, maana wawahi ftar wewe
Unazngua wwe kwann acjambe makalio hana au au ye ali...Nilikuwa somewhere stationery natoa photocopy then Mara ghafla kaingia demu mrembo wa haja nae kupata huduma stationery, jumla tukawa watatu mule ndani..Mimi na mhudumu pamoja na demu mwenye figure bomba, tako murua na tepetepe kama sofa la sufi,, sura ka Alicia keys, nywele natural long and flowing yaani kakamilika mbebi....! Tukiwa kimya almost wote Mara demu akajamba "puuuuuu" afu akaniangalia akaniambia "excuse me" nikajifanya mzungu nikamjibu.."its all gud!!! Hauna haja ya kuzuia gesi tumboni dawa ni kuiachia tu ipite" nikacheka kinafiki kumridhisha tu ila kimoyomoyo nikamvua vyeo vyote nilipanga kuchukua na namba nikaharisha, demu gani hana hata manners and can't behave? Afu ushuzi unanuka kama mapanki ya mwanza yale ya Darwin's nightmare Nahisi hata marinda anaweza kuwa hana ndio maana she can't hold gas in kwenye halaiki.
Nimekaa hapa muda huu ndio nakumbuka Leo ndio Mara ya kwanza kuona demu mzuri anajamba hadharani tangu nimezaliwa. Ooooopsiii! Wanawake wasiri sana maana mwanzoni nilihisi labda hata huwa hawajambi especially wale warembo zaidi.
No sweat...ila ndo hivyo demu mzuri lakini kajamba.