emailpassword
Member
- Jun 15, 2017
- 99
- 92
Wapo wengine waelewa na waaminifu ,kuna watu wanapata wake malighafi (wife material) humu mkuu..mi siwezi mana atakua much know kama mange, mcharuko kama gigi, mashauzi kama diva, akiwa tomboy basi ni chemical, matusi hayamkauki mdomoni kama povu la shilawadu, aaaaaa usicheze na mademu wa jf
Post sent using JamiiForums mobile app
Sorry but totally misleadedmi siwezi mana atakua much know kama mange, mcharuko kama gigi, mashauzi kama diva, akiwa tomboy basi ni chemical, matusi hayamkauki mdomoni kama povu la shilawadu, aaaaaa usicheze na mademu wa jf
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35]Siwezi kamwe maana mademu wengi wa JF ni sawa na wa Bongo muvi au wa uchochoroni.....unaweza toka naye na kwenda naye kuchapa utashitukia unachapwa wewe na picha yako ikaja kubandikwa hapa JF kwa majigambo kuwa Mkereketwa_Huyu mshana jr ni bwabwa tu, hili hapa nimelila jana usiku kucha.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35]
Post sent using JamiiForums mobile app
Kaka faini imeniokoa na seloPole kwa kifungo Mkuu.
Kaka faini imeniokoa na selo
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji115] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Hongera Mkuu.
Mambo babyPumba dot com
Poa swiriiMambo baby
sio kweli ni vile hujakutana nao tuMadem wa jf ni wapenda pesa alaf wagumu kutoa papuchi [emoji4][emoji4]
Post sent using JamiiForums mobile app