Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
- Thread starter
- #21
Kabisa hii ipo sana tuUnaona rahaa mwenyewe kuchepuka na kumuacha mkeo home ukijua yupo salama asilimia 100, dk tano baada ya kwenda kwa mchepuko wako njemba inampigia simu mkeo, njoo gesti fulani mi nishafika hapa weyeee,