Demu wako au mke wako analiwa Kwa style ile ile ambayo we unawala wake za watu au mademu za watu.

Demu wako au mke wako analiwa Kwa style ile ile ambayo we unawala wake za watu au mademu za watu.

Write your reply...ndio uhalisia huo unakuta mtu anaishi mbali na mpenzi wake alafu unakuta yeye anachepuka lakini anaumia sana akijua na mpenziwe anachepuka mi naona amna haja ya kuumia sana ilihali we mwenyew unafanya hayo ye ni nani hasa aweze kuwa mwema sana kama ww unashindwa kuwa ivo
NB :utampata yule unaestaili na si vinginevyo kama ujatulia nayeye atakua ivyo ivyo
 
Sababu kuchepuka,
Tatizo ni kwamba ukioa mtu wa tabia kama zako tegemea kwamba anaweza kufanya yote ambayo wewe wafanya, yawe mazuri au mabaya. Mume na Mke huendana sana sanaaa, hivyo kama wewe ni mtu mwema basi mkeo naye anaweza kuwa mwema: Unavyoingia kwenye ndoa lazima akili yake itulie ili mwenzako akose visababu vya kwenda nje kuchepuka....Tuliza kichwa sanaaaaa
Agiza", kinywaji ukipendacho nakuja kulipa" nephew"
 
Na wake zao watalalwa tu.Ukilala mke wa mtu na wako ataliwa tu.Embu fuatilia hii kitu Kwa ukaribu utagundua hilo
maisha haypo hivyo mkuu",waweza kuwa umetulia namtiifu wa ndoa yako" au mahusiano yko" ikawa ndio umempa tickets mwenzako ya kuchepuka", na kuanza kukuona boya" ..hii ipo kwa hizi jinsia zote aisee""...

binafsi huwaga siamini kuwa kuna mwanamke ambaye hachepuki" anaweza kutochepuka " lakini hilo litajiri kwa muda".... inshort ukiwa unaishi na hawa jinsia pinzani" usiwe na mawazo ya kusalitiwa salitiwa",utakuja kupatwa na kiharusi
 
Kwa hiyo Mkuu mkeo ni Malaya mkubwa ndio ujumbe hasa uliotuletea na kwamba mpaka anagongwa na Polisi kisa wewe ulikula polisi may be mliambizana
 
Write your reply...ndio uhalisia huo unakuta mtu anaishi mbali na mpenzi wake alafu unakuta yeye anachepuka lakini anaumia sana akijua na mpenziwe anachepuka mi naona amna haja ya kuumia sana ilihali we mwenyew unafanya hayo ye ni nani hasa aweze kuwa mwema sana kama ww unashindwa kuwa ivo
NB :utampata yule unaestaili na si vinginevyo kama ujatulia nayeye atakua ivyo ivyo
Hii ndiyo habari yenyewe
 
maisha haypo hivyo mkuu",waweza kuwa umetulia namtiifu wa ndoa yako" au mahusiano yko" ikawa ndio umempa tickets mwenzako ya kuchepuka", na kuanza kukuona boya" ..hii ipo kwa hizi jinsia zote aisee""...

binafsi huwaga siamini kuwa kuna mwanamke ambaye hachepuki" anaweza kutochepuka " lakini hilo litajiri kwa muda".... inshort ukiwa unaishi na hawa jinsia pinzani" usiwe na mawazo ya kusalitiwa salitiwa",utakuja kupatwa na kiharusi
Teh teh teh cha msingi usijue
 
Ukimtendea mwenzio na wewe utatendewa hivyo hivyo.
Kama wewe ni Bingwa wa kutembea na wanafunzi kaa ukijua katoto Kako ka kike katapata tabu sana.

Kuna Matukio kadhaa yanafanana ndo yamenifanya niandike Uzi huu huenda na Kwa wengine ikawa hivyo.
Nilikuwa natafuna Askari polisi mmoja mke wa Daktari,kumbe hata mke wangu naye alikuwa anatafunwa na Polisi mmoja. nikawa na kademu Fulani permanent kumbe na wife naye ana kidumu permanent japo Kwa Siri na home mambo yanaenda sawa.Na mambo mengine mengi Kila tukio nimefanya na Kwa wife naye kafanya.Toka tukiwa wapenzi hatujawa mume na mke.
Zilipofika Arobaini ndo nikagundua mbivu na mbichi nilijua mengi lkn matukio yote yalifanana na niliyofanya.Niliumia sana kuona kuwa mke wangu ni mchepukaji long time.
Ila nilijifunza kuwa Kwa jinsi unavochepuka ndiyo hivohivo na mwenza wako anachepuka Kwa karibu kiwango hicho hicho jaribuni kufuatilia.Muulize demu unayechepuka naye Mr Ake yupoje.
Poa tu kwani shida iko wapi, kila mbabe ana mbabe wake ujue.
 
Back
Top Bottom