Demu wako au mke wako analiwa Kwa style ile ile ambayo we unawala wake za watu au mademu za watu.

Huo ndio miongoni mwa uadilifu wa Mola wetu. Yaani huwa anawakutanisha mnaofanana ili muendeshane vizuri.

Yaani kama wewe ni mshirikina lazima utakuna na mshirikina mwenzako au kama wewe ni mzinzi lazima utakutana na mzinzi mwenzako au mfano wake.
 
Huo ndio miongoni mwa uadilifu wa Mola wetu. Yaani huwa anawakutanisha mnaofanana ili muendeshane vizuri.

Yaani kama wewe ni mshirikina lazima utakuna na mshirikina mwenzako au kama wewe ni mzinzi lazima utakutana na mzinzi mwenzako au mfano wake.
Exactly the point,
Kama wewe ni mwema utapata mke mwema tu!
 
Asikudanganye mtu kutokula vya wanzio (Mke/mume) wa Mtu hakuleti salama kwamba na vyako havitaliwa ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…