alley omar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 277
- 37
Hata kama alinyimwa nitabaki na msimamo wangu ule ule - udokozi siyo tabia nzuri
Amechukua bila ruhusa hajaiba, wewe mbona umelala kwake na ku-save ela za guest house na msosi
Mkuu unavutia kamba upande wako - hata kama alisogeza nabaki na msimamo wangu bado alikosea sanaKwanza huyo dada hakudokoa,
Alisogeza tu
mumeo kazi anayo!
Ha ha ha haya bana baba ya mibajeti..
Ungekuwa umeoa ndio ungejua wanavyoiba kwenye wallet. Wakati mwingine unapotezea tu yy anajifanya hujui. We acha tu .Book 5 ni cha mtoto
Mkuu pole, inaonekana hata wewe utakuwa na njaa.
Chukua hizi hapa upunguze machungu, usilielie...
mr. Sex... Mjomba unawapa kchwa.si lazma kla mkikutanA Na KE bas ahsante yako iwee pesa hiyo Ni laana "ulipewa bure..."Dem mlishe,mcheze mech,mlishe usku sepa.akdai ahsante huyo Ni Malaya.huyo Jamaa aluchokosea huko safarin angerud Na vjizawad mambo yangeenda ktk mstari.well kuiba kama kuiba alikosea,
ila why afikie kuiba? ni tabia yake au mazingira yalimfanye aamue kuiba? kama ni tabia yake, basi thats bad, kama ni mazingira, dogo anatakiwa atimize wajibu wake..ni aibu umelala na mwanamke hadi asubuhi kisha unaondoka unamwacha bila hata 'asante', ,mbaya zaidi umelala kwake...sio tabia nzuri