Demu wangu kaniibia buku 5

Nimekusoma mangatara
 
acha wenge..... atakuibiaje wakati demu wako... na wewe umetoka safari....obvious anajua uko vizuri ki-wallet... kachukua tu hiyo sio kukuibia....
Wewe!kwanini asiombe?mbona mimi nilimuomba papuchi?just ustaarabu tu
 
Yani afue shahawa zako afu hata buku 5, hukutaka kumwachia!
 
haya mkuu... sasa muulize kwanini alichukua hela pasipo kuomba uone atasemaje
Tatizo ni kwamba ile pesa ilikuwa kwenye mfuko wa suruali,sasa yeye alitangulia kuamka kabla yangu,mimi kuamka nakuta hamna kitu!nitaanzaje kumuuliza?kuna mkuu humu alidai labda panya wamechukua!lakini kweli panya anaweza kuchomoa pesa kwenye kamfuko kadogo ka jinsi!!?
 
Khaaaaaaaaa!!!!!
 
Mang'ana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…